Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,329
- 6,447
Kama Chadema watawakaribisha wapinzani wengine kwenye kambi hiyo Bungeni basi TLP iachwe kabisa kwani ni hatari kama UKIMWI. Mrema amekuwa akimpigia kampeni JK kwenye jimbo lake badala ya aliyekuwa mgombea Urais kupitia TLP.
Kumweka Mrema kwenye kambi hiyo mambo hayatakwenda kama itakavyokuwa inapangwa.
Kumweka Mrema kwenye kambi hiyo mambo hayatakwenda kama itakavyokuwa inapangwa.