certified mdokozi
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 1,403
- 809
Mkapa aliipokea ikiwa 500 akaondoka ikiwa 1050 ...alieipokea 1050 kaondoka ikiwa 2210 kuna mtu ataondoka ikiwa 4200
Na kwa umuhimu zaidi ukuaji uliweza kuwagusa wakulima ambao ndiyo wengi zaidi. Uwepo wa processing industries, agro cooperatives na hata tume ya bei ya mazao ulihakikisha mkulima anafaidika moja kwa moja na nguvu zake.Usiongee kibashite bashite tangu tulipopata Uhuru mpaka vita vya Idd Amin uchumi ulikuwa unakuwa kila mwaka.Miaka hiyo aliweza kujenga viwanda,vufuo umeme,kutoa matibabu na elimu bila malipo.Kukua huko kwa uchumi kiliwezesha kuajiriwa kila muhitimu wa kuanzia kidato cha nne.
Unawezeje kufananisha na uhabithi na komedi ya 7% unaondelea sasa?
Asilimia 90% ya ulivyovitaja mpaka Mwinyi anaingia NBC pekee ndio ilikuwa ikipata faida. Mengine yalikuwa yakipata hasara na kuendshwa kwa ruzuku ya serikali kupitia kodi na miaada ya maendeleo na mikopo.Katika watu wasiotumia ubongo wao vizuri ni wewe.Enzi za JKN Taifa lilikuwa na Viwanda vya nguo,viatu,ngozi,nyama,maziwa,matairi.
Kulikuwa na bank ya nyumba,NBC,Bank ya ushirika,RTC,NIC,State Travelling corp..............duh leo tuna kitu gani??
Tuanshindwa hata kutengeneza wembe.kama hujui sema hujui uelimishwe.
Exchange ya Tsh 2200 kwa $1 ingekuwa ni faida kwetu kama tungekuwa na vitu vya kuuza nje.
Wakati mwingine benki kuu inaweza ikashusha thamani ya fedha ili kuhamasisha wanunuzi wa kigeni kununua bidhaa kwa wingi (purposefully the centeral bank decides to depreciate the currency to boost importation)
Mkuu watu hawalijui hilo kuna siku Nyerere alihutubia pale Mang'ula alipoalikwa kufungua karakana ya mataluma alimpiga vijembe mwinyi na serikali yake baada ya kukimbilia kushusha thamani ya pesa alisema " Ninyi watanzania mnashusha thamani ya pesa kwa manufaa ya nani? Marekani wakiona wamezalisha vitu vingi na havinunuliki ndani wanashusha thamani ya dola ili watu kutoka nje wanunue mali yao ya ndani vile vile wakiona wnataka kuagiza mali kutoka nje wanapandisha thamani ya dola yao. Sasa ninyi watanzania na hiyo shilingi yenu mnamsaidia nani kushusha thamani ya dola????" watu hawaelewi kabisa hii dhana ya thamani ya shilingi yetu...Exchange ya Tsh 2200 kwa $1 ingekuwa ni faida kwetu kama tungekuwa na vitu vya kuuza nje.
Wakati mwingine benki kuu inaweza ikashusha thamani ya fedha ili kuhamasisha wanunuzi wa kigeni kununua bidhaa kwa wingi (purposefully the centeral bank decides to depreciate the currency to boost importation)
Yes kama tu wananchi wanategemea kuagiza bidhaa wanazotumia kila siku kutoka ng'amboKushusha thamani ya shilingi ni kuongeza mzigo mkubwa wa gharama za maisha kwa Watanzania.
Na hasa kwa nchi kama Tanzania iliyoshindwa kutengeneza hata pamba ya kuoshea vidonda .Yes kama tu wananchi wanategemea kuagiza bidhaa wanazotumia kila siku kutoka ng'ambo
Amna jipya,jitekenye mkuu
Uweke na mishahara boss...
Kubali tu kwamba wewe ni kiazi, uchumi wa ncho haulinganishwi kwa kutumia currency'Katika watu wasiotumia ubongo wao vizuri ni wewe.Enzi za JKN Taifa lilikuwa na Viwanda vya nguo,viatu,ngozi,nyama,maziwa,matairi.
Kulikuwa na bank ya nyumba,NBC,Bank ya ushirika,RTC,NIC,State Travelling corp..............duh leo tuna kitu gani??
Tuanshindwa hata kutengeneza wembe.kama hujui sema hujui uelimishwe.
Lakini tulikuwa na minus economic growth kwa kipindi chote, na masikini walikuwa wengi kuliko kipindi chochote ktk Historia ya Tanzania, Tanzania yetu imeanza kukua Kiuchumi kipindi cha Mzee Mwinyi, ndiyo tukaanza kuwa na positive economic growth ambayo imeendelea mpaka leo hii!