TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,873
- 11,253
Nakusikiliza, unasema wafanyabiasha wanashindwa kununua bulk kwasbabu ya price uncertainty... unajustify their cartel and yet wewe ni mtendaji wa serikali... unawakilisha wafanyabiasha. Na kibaya zaidi unanishangaza sana kuonyesha wazi kwamba EWURA is the cause of fuel problems by disrupting the supply chain ya fuel
Na unataka waandishi wasiseme pale ambapo hakuna mafuta??? wakati that is the fact?? unatumia vendor mmoja, kuhalalisha full representation ya all vendors??
Kwakweli unanisikitisha na fatcs za monthly demand forecast at the same time unasema wananunua kidogo kuliko zamani, uncertain supply ya mafuta kila etc... ni forecast figures gani mnatumia??
SIJAKUELEWA NA UMENIKERA SANA KAGUO.... SOMA UBORESHE UPEO, UKO KWENYE FANI ILIYO 100% SUPPLY CHAIN MANAGEMENT
Na unataka waandishi wasiseme pale ambapo hakuna mafuta??? wakati that is the fact?? unatumia vendor mmoja, kuhalalisha full representation ya all vendors??
Kwakweli unanisikitisha na fatcs za monthly demand forecast at the same time unasema wananunua kidogo kuliko zamani, uncertain supply ya mafuta kila etc... ni forecast figures gani mnatumia??
SIJAKUELEWA NA UMENIKERA SANA KAGUO.... SOMA UBORESHE UPEO, UKO KWENYE FANI ILIYO 100% SUPPLY CHAIN MANAGEMENT