Titus Kaguo - Majibu yako hayaridhishi

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
24,873
11,253
Nakusikiliza, unasema wafanyabiasha wanashindwa kununua bulk kwasbabu ya price uncertainty... unajustify their cartel and yet wewe ni mtendaji wa serikali... unawakilisha wafanyabiasha. Na kibaya zaidi unanishangaza sana kuonyesha wazi kwamba EWURA is the cause of fuel problems by disrupting the supply chain ya fuel

Na unataka waandishi wasiseme pale ambapo hakuna mafuta??? wakati that is the fact?? unatumia vendor mmoja, kuhalalisha full representation ya all vendors??

Kwakweli unanisikitisha na fatcs za monthly demand forecast at the same time unasema wananunua kidogo kuliko zamani, uncertain supply ya mafuta kila etc... ni forecast figures gani mnatumia??

SIJAKUELEWA NA UMENIKERA SANA KAGUO.... SOMA UBORESHE UPEO, UKO KWENYE FANI ILIYO 100% SUPPLY CHAIN MANAGEMENT
 
Nakusikiliza, unasema wafanyabiasha wanashindwa kununua bulk kwasbabu ya price uncertainty... unajustify their cartel and yet wewe ni mtendaji wa serikali... unawakilisha wafanyabiasha. Na kibaya zaidi unanishangaza sana kuonyesha wazi kwamba EWURA is the cause of fuel problems by disrupting the supply chain ya fuel

Na unataka waandishi wasiseme pale ambapo hakuna mafuta??? wakati that is the fact?? unatumia vendor mmoja, kuhalalisha full representation ya all vendors??

Kwakweli unanisikitisha na fatcs za monthly demand forecast at the same time unasema wananunua kidogo kuliko zamani, uncertain supply ya mafuta kila etc... ni forecast figures gani mnatumia??

SIJAKUELEWA NA UMENIKERA SANA KAGUO.... SOMA UBORESHE UPEO, UKO KWENYE FANI ILIYO 100% SUPPLY CHAIN MANAGEMENT
Mkuu enzi zetu mwl Nyerer alikuwa ameandaa vijana kielimu,kiuzalendo na mapenzi kwa nchi yao.Walipoingia vijana wale wazalendo wakashindwa kuwa na uzalendo matokeo yake wameweka matumbo na familia zao mbele.Nchi kwa sasa haina wazalendo na mapenzi kwa nchi hii,kila anayeanza kazi ama kumaliza chuo anafikria tumbo na familia yake,hii li nchi kwishney!
 
Nakusikiliza, unasema wafanyabiasha wanashindwa kununua bulk kwasbabu ya price uncertainty... unajustify their cartel and yet wewe ni mtendaji wa serikali... unawakilisha wafanyabiasha. Na kibaya zaidi unanishangaza sana kuonyesha wazi kwamba EWURA is the cause of fuel problems by disrupting the supply chain ya fuel

Na unataka waandishi wasiseme pale ambapo hakuna mafuta??? wakati that is the fact?? unatumia vendor mmoja, kuhalalisha full representation ya all vendors??

Kwakweli unanisikitisha na fatcs za monthly demand forecast at the same time unasema wananunua kidogo kuliko zamani, uncertain supply ya mafuta kila etc... ni forecast figures gani mnatumia??

SIJAKUELEWA NA UMENIKERA SANA KAGUO.... SOMA UBORESHE UPEO, UKO KWENYE FANI ILIYO 100% SUPPLY CHAIN MANAGEMENT

MTM,hayo ndio matatizo ya hii fani yetu ya Ugavi,watu wanaajilriwa kwenye fani tu kwa sababu ana degree ya biashara au utawala basi anaweza kuwa Mgavi bila kusomea ugavi wenyewe per se.Kwa sababu hata kwa wenzetu huwezi kuwa msemaji kwenye field inayojigemea kama hiyo wakati wewe ni mwandishi wa habari tu.Na hiki kitu ni common sana hapa kwetu bongo,utakuta hata waandishi wengi wa habari wanareport,wanaandika let say habari za uchumi bila kuwa wachumi.
Kwa case ya EWURA,PR depts ilitakiwa iwa na watu wa field tofauti tofauti ili wakipewa report na wakubwa wao waweze ku urgue kabla ya kutoa report kwa umma.
Case ya mafuta ni very sensitive ambayo kwa wenzetu inaweza kufanya watu wakaingia barabara kuandamana au hata kuiondoa serikari madarakani.Sasa kuna tatizo,mtu wa PR kama huyo anaongea utumbo,very sad sema sisi watanzania hii ndio hulka yetu kwani hata David Cameroon anaweza kuja kutushika makalio bado tukacheka
 
Huyu jamaa juzi nimemsikia akisema watu msiogope kwa kuwa mafuta yapo na ni vituo vichache tu haviuzi lakini jana hali ikawa tete na maguta hakuna dar karibu yote
 
MTM,hayo ndio matatizo ya hii fani yetu ya Ugavi,watu wanaajilriwa kwenye fani tu kwa sababu ana degree ya biashara au utawala basi anaweza kuwa Mgavi bila kusomea ugavi wenyewe per se.Kwa sababu hata kwa wenzetu huwezi kuwa msemaji kwenye field inayojigemea kama hiyo wakati wewe ni mwandishi wa habari tu.Na hiki kitu ni common sana hapa kwetu bongo,utakuta hata waandishi wengi wa habari wanareport,wanaandika let say habari za uchumi bila kuwa wachumi.
Kwa case ya EWURA,PR depts ilitakiwa iwa na watu wa field tofauti tofauti ili wakipewa report na wakubwa wao waweze ku urgue kabla ya kutoa report kwa umma.
Case ya mafuta ni very sensitive ambayo kwa wenzetu inaweza kufanya watu wakaingia barabara kuandamana au hata kuiondoa serikari madarakani.Sasa kuna tatizo,mtu wa PR kama huyo anaongea utumbo,very sad sema sisi watanzania hii ndio hulka yetu kwani hata David Cameroon anaweza kuja kutushika makalio bado tukacheka

degree zenyewe ni zile (MBA) za mzumbe za KUNUNUA..... pu...vu
 
Nadhani Wanaojiita Wasomi hapa Tanzania ,wengi wao mbumbumbu tu, kama vile walikuwa wanaforge Mitihani. Inapofikia sasa watumie akili yao ni utumbo mtupu
 
Kaguo umesikia? Mshurutishe mwajiri wako akupeleke shule ujue nini unawakilisha. Usiendeleze ile hulka ya... He said that.... Hapo bado hujafikiri na utaendelea kukatetea hako kamshahara wakati jamii inakusulubu kwa kuwa kasuku wa bwana!
MaPR wengi wanasikisha na Kaguo ni mfano hai.
 
Nakusikiliza, unasema wafanyabiasha wanashindwa kununua bulk kwasbabu ya price uncertainty... unajustify their cartel and yet wewe ni mtendaji wa serikali... unawakilisha wafanyabiasha. Na kibaya zaidi unanishangaza sana kuonyesha wazi kwamba EWURA is the cause of fuel problems by disrupting the supply chain ya fuel

Na unataka waandishi wasiseme pale ambapo hakuna mafuta??? wakati that is the fact?? unatumia vendor mmoja, kuhalalisha full representation ya all vendors??

Kwakweli unanisikitisha na fatcs za monthly demand forecast at the same time unasema wananunua kidogo kuliko zamani, uncertain supply ya mafuta kila etc... ni forecast figures gani mnatumia??

SIJAKUELEWA NA UMENIKERA SANA KAGUO.... SOMA UBORESHE UPEO, UKO KWENYE FANI ILIYO 100% SUPPLY CHAIN MANAGEMENT

dah! Umesomekaje? Ila kama sijakosea, huyu jamaa akihojiwa na ppra ya pasco pale sabasaba kuadhimisha miaka 50, alikuwa akisema kuwa soko limetawaliwa na ubepari na hawana la moja kwa moja la kufanya kudhibiti hiyo hali
 
Kaguo umesikia? Mshurutishe mwajiri wako akupeleke shule ujue nini unawakilisha. Usiendeleze ile hulka ya... He said that.... Hapo bado hujafikiri na utaendelea kukatetea hako kamshahara wakati jamii inakusulubu kwa kuwa kasuku wa bwana!
MaPR wengi wanasikisha na Kaguo ni mfano hai.
Hapo kwenye red umeniacha hoi sana
 
MTM,hayo ndio matatizo ya hii fani yetu ya Ugavi,watu wanaajilriwa kwenye fani tu kwa sababu ana degree ya biashara au utawala basi anaweza kuwa Mgavi bila kusomea ugavi wenyewe per se.

yale yale ya MSD, baada ya kupewa nafasi ya ulaji kwa digrii ya biashara

kuwafumba macho watanzania, fasta akapiga certificate ya ugavi(kajaa kwenye kiti)
 
Huwa anatia maudhi sana ukimsikiliza huyo kijana!
alianza kama mwajiriwa wa EWURA, sasa amekua dalali wa waarabu ... tena bila aibu anasema nimepigiwa simu na muuzaji mmoja blah blah... halafu anasema ni mambo ya wafanyabiashara kama biashara imewashinda blah blah

I think we treat suala la mafuta kama tunavyotreat relaxer za nywele za warembo......... WE DONT HAVE PRIORITIES KABISA
 
Degree zenyewe ndio hizo za Commonwealth Open University.
Isitoshe Supply Chain Mgt ni Zero!!

tHANK YOU VERY mUCH.............. KUNA TOFAUTI KUBWA SANA KATI YA PROCUREMENT/PURCHASING AND SUPPLIES, NA SUPPLY CHAIN MANAGEMENT
 
Back
Top Bottom