Title zinakujaje?

Kabakabana

JF-Expert Member
Aug 5, 2011
5,551
1,158
jamani marafiki naombeni mnisaaidie kwa hili?mods anabadilisha hizi title baada ya muda gani?maana mimi nimelala seniour member na kuamka leo expert
 
Tusubirie wanaojuwa ila na mm nipenda nielezwe kuhusu hii rep power, ukiingia kidogo tu unapewa 21 ila kuongezeka ndo inakuwa shuhuli, inakuaje?
 
hiyo inabadilika kutokana na idadi ya post zako.....umeelewa...?
 
hiyo inabadilika kutokana na idadi ya post zako.....umeelewa...?
Naomba utupe mchanganuo mzima. Kama vile labda ukifikisha post 10 unakuwa senior au ukifikisha post 50 unakuwa expert na kuendelea.
 
cha ajabu kuna mtu anapost 5000 ni jf expert member wakati kuna m2 ana post 2000 ni jf premium member. mwongozo jamani
 
cha ajabu kuna mtu anapost 5000 ni jf expert member wakati kuna m2 ana post 2000 ni jf premium member. mwongozo jamani

Hazole kuwa JF Premium Member haijalishi unapost ngapi ila hawa jamaa wanakuwa wamechangia kifedha kuboresha JF. Tunakaribisha mchango wako wa kifedha tutashukuru maana pia kuwa na sifa ya mwekezaji...unakuwa uko nyumbani zaidi. Shukrani.
 
cha ajabu kuna mtu anapost 5000 ni jf expert member wakati kuna m2 ana post 2000 ni jf premium member. mwongozo jamani

Status zinabadilika kulingana na idadi ya posts zako isipokuwa hiyo ya 'Premium member' mpaka uchangie njuluku regardless of ur posts!
 
Hazole kuwa JF Premium Member haijalishi unapost ngapi ila hawa jamaa wanakuwa wamechangia kifedha kuboresha JF. Tunakaribisha mchango wako wa kifedha tutashukuru maana pia kuwa na sifa ya mwekezaji...unakuwa uko nyumbani zaidi. Shukrani.

tena anaweza kupata na bold.
 
Back
Top Bottom