My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Kwenye janga kama hili ndio weledi wenu wa kazi unapotakiwa kuonekana, na siyo kudili na upinzani tu ambao hauna madhara yoyote kwa Taifa zaidi ya faida.
Mwambieni Rais kuwa, asiidharau Corona na kuichukulia poa, akija kustuka atajikuta nchi haikaliki kila sehemu moto umewaka.
Hii ni vita kubwa kuliko ile ya kupigana kijeshi. Covid -19 ni adui asiyeonekana mwenye nguvu kubwa za kutisha, kwa sababu Rais alisema pesa tunazo nyingi tu kiasi cha kununua ndege cash, mwambieni Rais anunue haraka vipimo vya Covid -19 kisha vipelekwe maeneo ambayo yapo kwenye risk kubwa ya kupata Corona ili kila mtu apimwe.
Mwambieni Rais, lockdown haiepukiki asisubiri hadi hali iwe mbaya zaidi, lockdown siyo watu wakae majumbani kwao wamejifungia, hapana siyo hivyo, ni miji kama Dar es Salaam ambako kuna case kubwa ya Corona kwa Tanzania ndo ifungwe.
Dar es Salaam, Rais aiweke lockdown haraka iwezekanavyo, yaani kusiwe na mwingiliano na mikoa mingine isipokuwa yaingie magari ya chakula tu na mahitaji mengine ya kibinadamu.
Mwambieni Rais, afunge mipaka kuzuia mwingiliano wa watu hovyo hovyo, isipokuwa shughuli za kiuchumi kama malori ya chakula na mafuta yaendelee kufanya kazi kama kawaida.
Mwambieni Rais azuie kwa muda biashara ya mitumba, yaani Biashara ifanyike kwa mitumba iliyopo ndani ya nchi tayari, mizigo ya mitumba mipya isiingie Tanzania hadi janga hili litakapokwisha.
Bill Gates ni agent wa siri wa CIA, hivi karibuni mke wake karopoka kuwa Africa itamalizwa na Corona na maiti zitazagaa barabarani, na watu zaidi ya mil 10 watakufa.
Huyu mama hajakurupuka kuropoka, anajua kilichopo nyuma ya pazia. Kwanza wazungu roho zinawauma sana kuona Corona inawaua wao kwa fujo kuliko Africa,wamezoea majanga mengi ya Dunia kuwakumba waafrica.
Nimeishi na wazungu kwa miaka mingi sasa, ni kweli ni Binadamu wenye roho nzuri sana, utu na Huruma pia, tatizo lao nature ya ubaguzi na kujiona wao ni bora kuliko mtu mweusi ndo inawatesa hadi leo.
Mwambieni Rais, "everyone fights for himself for his own survival ", aunde task force haraka sana ya kupambana na Corona Kama alivyoshauri mh Mbowe Bungeni.
Mwambieni Rais, asiamini msaada wa vifaa vyovyote vya kupambana na Corona kutoka nje. Ni bora apokee pesa kisha nchi ikanunua yenyewe kuliko vifaa. Ni rahisi sana mitumba kutumika kusambazia Corona na vitu vingine.
"Ni kwa nini sisi weupe tunakwisha halafu Waafrica bado wapo salama? "
Kwa masikio yangu nnimewasikia wazungu wakihoji hili mtaa mmoja katika jiji la Melbourne.
Kazi kwenu TISS kuiokoa Tanzania.
Mwambieni Rais kuwa, asiidharau Corona na kuichukulia poa, akija kustuka atajikuta nchi haikaliki kila sehemu moto umewaka.
Hii ni vita kubwa kuliko ile ya kupigana kijeshi. Covid -19 ni adui asiyeonekana mwenye nguvu kubwa za kutisha, kwa sababu Rais alisema pesa tunazo nyingi tu kiasi cha kununua ndege cash, mwambieni Rais anunue haraka vipimo vya Covid -19 kisha vipelekwe maeneo ambayo yapo kwenye risk kubwa ya kupata Corona ili kila mtu apimwe.
Mwambieni Rais, lockdown haiepukiki asisubiri hadi hali iwe mbaya zaidi, lockdown siyo watu wakae majumbani kwao wamejifungia, hapana siyo hivyo, ni miji kama Dar es Salaam ambako kuna case kubwa ya Corona kwa Tanzania ndo ifungwe.
Dar es Salaam, Rais aiweke lockdown haraka iwezekanavyo, yaani kusiwe na mwingiliano na mikoa mingine isipokuwa yaingie magari ya chakula tu na mahitaji mengine ya kibinadamu.
Mwambieni Rais, afunge mipaka kuzuia mwingiliano wa watu hovyo hovyo, isipokuwa shughuli za kiuchumi kama malori ya chakula na mafuta yaendelee kufanya kazi kama kawaida.
Mwambieni Rais azuie kwa muda biashara ya mitumba, yaani Biashara ifanyike kwa mitumba iliyopo ndani ya nchi tayari, mizigo ya mitumba mipya isiingie Tanzania hadi janga hili litakapokwisha.
Bill Gates ni agent wa siri wa CIA, hivi karibuni mke wake karopoka kuwa Africa itamalizwa na Corona na maiti zitazagaa barabarani, na watu zaidi ya mil 10 watakufa.
Huyu mama hajakurupuka kuropoka, anajua kilichopo nyuma ya pazia. Kwanza wazungu roho zinawauma sana kuona Corona inawaua wao kwa fujo kuliko Africa,wamezoea majanga mengi ya Dunia kuwakumba waafrica.
Nimeishi na wazungu kwa miaka mingi sasa, ni kweli ni Binadamu wenye roho nzuri sana, utu na Huruma pia, tatizo lao nature ya ubaguzi na kujiona wao ni bora kuliko mtu mweusi ndo inawatesa hadi leo.
Mwambieni Rais, "everyone fights for himself for his own survival ", aunde task force haraka sana ya kupambana na Corona Kama alivyoshauri mh Mbowe Bungeni.
Mwambieni Rais, asiamini msaada wa vifaa vyovyote vya kupambana na Corona kutoka nje. Ni bora apokee pesa kisha nchi ikanunua yenyewe kuliko vifaa. Ni rahisi sana mitumba kutumika kusambazia Corona na vitu vingine.
"Ni kwa nini sisi weupe tunakwisha halafu Waafrica bado wapo salama? "
Kwa masikio yangu nnimewasikia wazungu wakihoji hili mtaa mmoja katika jiji la Melbourne.
Kazi kwenu TISS kuiokoa Tanzania.