eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Kulisoma hilo kitu inahitaji moyo sanaHalafu linaitwa Uhuru ukweli daima
Watu waliozaliwa kwenye mbio za mwenge kama wewe mnalighalimu taifatokea 2005 nilipoaacha kufatilia siasa za vyama nimeona mashabiki kama mleta mada kichekesho, alipogombea mbowe alionekan hakuna kama yeye alipogombea slaa alionekana kama mwokozi alipogombea lowasa wote tunajua leo hafai tena ni lisu huu ni umalaya
FENT FORD
Kulikuwa na haja gani ya kuiweka picha ya Lissu "fent ford" kama walijua wakionyesha baadhi ya vitu watawakera wakubwa?
Sasa umewashwa nini tena kufuatilia tena siasa?tokea 2005 nilipoaacha kufatilia siasa za vyama nimeona mashabiki kama mleta mada kichekesho, alipogombea mbowe alionekan hakuna kama yeye alipogombea slaa alionekana kama mwokozi alipogombea lowasa wote tunajua leo hafai tena ni lisu huu ni umalaya