Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
Wakuu,
Nimesikia habari za kutatanisha ama kusikikitisha kutoka kwa mtu wangu wa karibu,kwamba huyu Jamaa Athuman Tippo (Another True Cebebrity wa Kibongo),anakashfa nzito ya mpaka imefikia kutangazwa kwenye Radio ya Clouds Fm. wiki iliyo pita.
Kisa ambacho sikukielewa vizuri,sasa kama kuna mtu anajua kwa undani nini kimelitokea mpaka ikawa hivyo ilivyo kuwa tafadhali embu tuwekee hapa,alafu by the ways,yule dogo aliye peleka hiyo habari ambaye ndio mwenye hilo beef na Tippo nasikia ana Blog,sasa kama hivyo ndivyo mwambieni au alete kisa chao hapa tujue maana wengine sio watu wa Radio.
Nimesikia habari za kutatanisha ama kusikikitisha kutoka kwa mtu wangu wa karibu,kwamba huyu Jamaa Athuman Tippo (Another True Cebebrity wa Kibongo),anakashfa nzito ya mpaka imefikia kutangazwa kwenye Radio ya Clouds Fm. wiki iliyo pita.
Kisa ambacho sikukielewa vizuri,sasa kama kuna mtu anajua kwa undani nini kimelitokea mpaka ikawa hivyo ilivyo kuwa tafadhali embu tuwekee hapa,alafu by the ways,yule dogo aliye peleka hiyo habari ambaye ndio mwenye hilo beef na Tippo nasikia ana Blog,sasa kama hivyo ndivyo mwambieni au alete kisa chao hapa tujue maana wengine sio watu wa Radio.