Timu zetu za soka ziige mfano wa timu za Uingereza..

bryan2

JF-Expert Member
Jun 8, 2016
3,323
4,667
Ifike mahali timu zetu za soka zicheze mpira na kuacha blaa blaa,pale Uingereza Jumamosi imechezwa michezo ya Ligi kuu tena ya Nguvu mfano liverpool Vs Manchester city.

Hizo hizo timu Tena Leo Jumatatu zimecheza Michezo ya ligi kuu nayo ikiwa ni Migumu pia ILA sijasikia timu yoyote ile ikilalamika kwamba RATIBA IMEBANA na kuomba michezo Yao IHAIRISHWE tofauti na hapa kwetu ambapo tungeanza kusikia maneno ambayo sio mazuri masikioni mara hooo kuna timu inapendelewa,Mara Kuna timu inaandaliwa kuwa bingwa,ooo hatutapeleka timu uwanjani mpaka nao wamalize Viporo vyao na maneno chungu nzima.

LA MSINGI VIONGOZI WANATAKIWA WAHAKIKISHE TIMU ZAO ZINAJIANDAA KWA LOLOTE LILE NAO TFF WAACHE KUSIKILIZA MANENO YA VIONGOZI HAO NA WAO KWELI KUJIPATA WANABADILISHA RATIBA KWA AJILI YA TIMU 3 AU 4.

NAWAKILISHA.
 
We ni kandambili FC bila shaka na hawa ndio huwa wanadai ratiba imebana kwamba wanashiriki michuano mingi.
Mkuu nimetaja cha kandambili hapo au jiwe la Tani Tano limetupwa gizani nini??
 
Ifike mahali timu zetu za soka zicheze mpira na kuacha blaa blaa,pale Uingereza Jumamosi imechezwa michezo ya Ligi kuu tena ya Nguvu mfano liverpool Vs Manchester city.

Hizo hizo timu Tena Leo Jumatatu zimecheza Michezo ya ligi kuu nayo ikiwa ni Migumu pia ILA sijasikia timu yoyote ile ikilalamika kwamba RATIBA IMEBANA na kuomba michezo Yao IHAIRISHWE tofauti na hapa kwetu ambapo tungeanza kusikia maneno ambayo sio mazuri masikioni mara hooo kuna timu inapendelewa,Mara Kuna timu inaandaliwa kuwa bingwa,ooo hatutapeleka timu uwanjani mpaka nao wamalize Viporo vyao na maneno chungu nzima.

LA MSINGI VIONGOZI WANATAKIWA WAHAKIKISHE TIMU ZAO ZINAJIANDAA KWA LOLOTE LILE NAO TFF WAACHE KUSIKILIZA MANENO YA VIONGOZI HAO NA WAO KWELI KUJIPATA WANABADILISHA RATIBA KWA AJILI YA TIMU 3 AU 4.

NAWAKILISHA.
Acha kufananisha vitu visivyofanana mkuu, tar 24 ucheze game Nangwanda Sijaona(Mtwara) then tar 26(baada ya siku mbili) ucheze game Kaitaba(Kagera) then tar 29 ukacheze game na Majimaji huko Songea, we unadhan itawezekana!!???
 
Acha kufananisha vitu visivyofanana mkuu, tar 24 ucheze game Nangwanda Sijaona(Mtwara) then tar 26(baada ya siku mbili) ucheze game Kaitaba(Kagera) then tar 29 ukacheze game na Majimaji huko Songea, we unadhan itawezekana!!???
Hakuna viwanja vya Ndege kote huko?
Naimani bombadier zinatua kote huko
 
hivi unajua miundo mbinu ya kule safari ya Dar hadi Kagera kwao haizidi masaa mawili kwa kutumia tren ya umeme lakini huku ni timu ngapi zinamudu gharama ya kusafiri kwa ndege na sehemu nyingine hata ndege haziendi labda ungesema tuwaige waingereza kuwekeza kwenye miundo mbinu
Mkuu bombadier mbna zinatua viwanja vyote vya mikoani..
 
Hakuna viwanja vya Ndege kote huko?
Naimani bombadier zinatua kote huko
Hapo kuna suala la rasilimali fedha ndg....mishahara ya wachezaji tu kimbembe vp kuhusu nauli za ndege.
 
Back
Top Bottom