Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Wanajamvi,
Kuna taarifa kuwa timu kabambe ya UKAWA inayoundwa na wabunge wote wa CHADEMA,CUF na NCCR Mageuzi waliopo bungeni kuanzia ijumaa ijayo kuanza ziara ya siku 21 mikoani.
Wataongozwa na kamanda Mbowe kwa pamoja na James Mbatia.
Watatumia magari na chopa kuongeza nguvu ukanda wa kwanza kushambuliwa utakua ukanda wa Pwani na Morogoro.
Ratiba kamili itatolewa muda mfupi ujao.
Taarifa hizi ni tetesi ya muda mfupi kabla ya ratiba kuwekwa hadharani.
Kuna taarifa kuwa timu kabambe ya UKAWA inayoundwa na wabunge wote wa CHADEMA,CUF na NCCR Mageuzi waliopo bungeni kuanzia ijumaa ijayo kuanza ziara ya siku 21 mikoani.
Wataongozwa na kamanda Mbowe kwa pamoja na James Mbatia.
Watatumia magari na chopa kuongeza nguvu ukanda wa kwanza kushambuliwa utakua ukanda wa Pwani na Morogoro.
Ratiba kamili itatolewa muda mfupi ujao.
Taarifa hizi ni tetesi ya muda mfupi kabla ya ratiba kuwekwa hadharani.