Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,882
- 2,374
Timu ya Taifa ya Taekwondo inatarajiwa kuondoka siku ya Ijumaa tarehe 9 Sept 2011 kuelekea maputo Msumbiji kushiriki kwenye michezo ya Afrika. habari kutoka ndani ya kambi hiyo zinadokeza kwamba licha ya juhudi kubwa zinazofanywa na wakufunzi na wachezaji kuhakikisha wanaiwakilisha vyema nchi yetu huko, serikali imeshindwa kutoa msaada wowote kwa timu hiyo.
Habari za kiuchunguzi zinaonyesha kwamba Timu hiyo imewezeshwa usafiri na baadhi ya wapenda michezo, ingawa mpaka sasa bado wanahangaika kutafuta pesa za kujikimu watakapokuwa Mjini Maputo.
My take
Ni lini Serikali itaanza kuwekeza kwenye michezo mingine kama hii ya Taekwondo? au michezo ni football tu? ikumbukwe kwamba Twiga Stars pia iko Maputo kwa mashainadano haya haya. Je Twiga Stars nao wametelekezwa kama hawa wa Taekwondo?
Habari za kiuchunguzi zinaonyesha kwamba Timu hiyo imewezeshwa usafiri na baadhi ya wapenda michezo, ingawa mpaka sasa bado wanahangaika kutafuta pesa za kujikimu watakapokuwa Mjini Maputo.
My take
Ni lini Serikali itaanza kuwekeza kwenye michezo mingine kama hii ya Taekwondo? au michezo ni football tu? ikumbukwe kwamba Twiga Stars pia iko Maputo kwa mashainadano haya haya. Je Twiga Stars nao wametelekezwa kama hawa wa Taekwondo?