Timu ya Taifa – Taifa Stars Miaka ya 80's

Ile timu ya kina leodga tenga ilikuwa mwaka gani?
Leodgar Tenga alichezea Timu ya Taifa kuanzia 1974-1981 na alikuwa Captain wa Timu ya Taifa kuanzia 1977-1981 na kipindi hicho ambacho Tanzania tulifaulu kwa mara ya kwanza na pekee kucheza fainal za Cup of Nations.Kikosi cha wakati kilikuwa:

JUMA PONDAMALI

MOHAMEDI MKWECHE
MOHAMEDI KAJOLE

LEODGAR TENGA
MOHAMEDI BAKARI "TALL"

MOHAMEDI ADOLF RICHARD

GORDIAN MAPANGO

HUSSEIN NGULUNGU

MOHAMEDI SALIM
PETER TINO

THUWENI ALLY
 
Na wachezaji watakao kumbukwa sana kwa soka la Tanzaniani:

OMAR MAHADHI

SHABANI BARAZA
MOHAMEDI KAJOLE

HASSAN GOBOS
OMAR ZIMBWE

ALUU ALI

WILLIE MWAIJIBE

SUNDAY MANARA
GIBSON SEMBULI

ABDALLAH KIBADENI
MAULIDI DILUNGA
 
Mnakikumbuka hiki kikosi cha Pamba Mwanza!
Juma Muhina
Rafael Paul
Abdalah Bori
Rashidi Abdalah
Ibrahim Magongo
Halfani Ngassa
Amza Mponda
Beya Simba
Kitwana Selemani
Makwa Selemani
Fumo felisheni
 
Leodgar Tenga alichezea Timu ya Taifa kuanzia 1974-1981 na alikuwa Captain wa Timu ya Taifa kuanzia 1977-1981 na kipindi hicho ambacho Tanzania tulifaulu kwa mara ya kwanza na pekee kucheza fainal za Cup of Nations.Kikosi cha wakati kilikuwa
JUMA PONDAMALI
MOHAMEDI MKWECHE
MOHAMEDI KAJOLE
LEODGAR TENGA
MOHAMEDI BAKARI "TALL"
MOHAMEDI ADOLF RICHARD
GORDIAN MAPANGO
HUSSEIN NGULUNGU
MOHAMEDI SALIM
PETER TINO
THUWENI ALLY
kuna midfilder alikuwa anaitwa focas unamkumbuka?
 
Mkuu unanikumbusha miaka ileee na ndio ilikuwa coastal union ya mwisho kuiona, nakumbuka popote walipokuwa nilikuwa nawafuata kuanzia uwanja wa Tangamano, Mkwakwani, D'souza mpaka popatlal,pia nawakumbuka wakongwe kama Mohamed kampira, Titus bandawe, Mohammed salim, Elisha john, saidy jeki, Hilal hemed, je unawakumbuka "wanakimanumanu" lkn?
1. DUNCAN MWAMBA/SALIM WAZIRI. 2.FRANCIS MWANDOZA. 3.BAKARI TUTU. 4. HASSAN BANDA. 5. MHANDO MDEVE. 6. RAPHAEL JOHN. 7. DADI PHARES. 8. TWAHA OMARY. 9. VICTOR MKWANWA. 10 MCHUNGA BAKARI. 11 JUMA BURHANI (KAKOKO)/ABDUL DONOA


wakati ule Aggrey chambo na Abubakar Hassan walikuwa wanafunzi pale usagara


Marehemu seif Matambuu ndiye aliyekuwa mdhamini mkuu wa Coastal Union mwishoni mwa
miaka ya 80 na ndio wakati iliposhinda ubingwa wa Bara.Wakati ule Coastal ikiundwa na akina:<br />
<br />
ZAKARIA KINANDA-kocha<br />
<br />
HAMISI MAKENA <br />
MOHAMEDI MWAMEJA<br />
<br />
SAIDI KOLONGO<br />
ALI MWALIZA<br />
DOUGLAS &quot;HAMISI&quot; MUHANI<br />
JOSEPH LAZARO<br />
<br />
YASIN ABUU NAPILI<br />
ABDALLAH TAMIMU<br />
IDRSA NGULUNGU<br />
<br />
ALI MAUMBA<br />
KASSA MUSSA<br />
ABUBAKAR HASSAN <br />
AGGREY CHAMBO<br />
<br />
RAZAK YUSUPH<br />
JUMA MGUNDA<br />
HUSSEIN MWAKULUZO
<br />
<br />
 
Kuna mtu yoyote anaekikumbuka kikosi cha simba sc cha mwaka 1979 kilichopambana na vitalo ya zaire? vitalo ilishinda 1-0, wachezaji wa simba wachache ninaowakumbuka ni Omary mahadhi, Daud Salum (BruceLee),Mohamed kajole machela, Mohammed Bakari "Tall",Haidary Abeid............vitalo ilikuwa na wachezaji kama mayanga maku, mbuya mpaka, kakoko katepe, lofombo, Lobilo.....................
 
Mnakikumbuka hiki kikosi cha Pamba Mwanza!<br />
Juma Muhina<br />
Rafael Paul<br />
Abdalah Bori<br />
Rashidi Abdalah<br />
Ibrahim Magongo<br />
Halfani Ngassa<br />
Amza Mponda<br />
Beya Simba<br />
Kitwana Selemani<br />
Makwa Selemani<br />
Fumo felisheni
<br />
<br />

Nakumbuka walikuwa na Golikipa wao matata sana alikuwa akiitwa Yusuf Abeid
 
du kweli ya kale dhahabu, manake timu ya taifa miaka hiyo ilikuwa inatisha kuanzia misuli mpaka kwa mpira. Lakini leo wachezaji wa taifa stars kama wachezaji wa UMISETA au UMISHUMTA.
 
mkuu unanikumbusha miaka ileee na ndio ilikuwa coastal union ya mwisho kuiona, nakumbuka popote walipokuwa nilikuwa nawafuata kuanzia uwanja wa tangamano, mkwakwani, d'souza mpaka popatlal,pia nawakumbuka wakongwe kama mohamed kampira, titus bandawe, mohammed salim, elisha john, saidy jeki, hilal hemed, je unawakumbuka "wanakimanumanu" lkn?
1. Duncan mwamba/salim waziri. 2.francis mwandoza. 3.bakari tutu. 4. Hassan banda. 5. Mhando mdeve. 6. Raphael john. 7. Dadi phares. 8. Twaha omary. 9. Victor mkwanwa. 10 mchunga bakari. 11 juma burhani (kakoko)/abdul donoa


wakati ule aggrey chambo na abubakar hassan walikuwa wanafunzi pale usagara


<br />
<br />
Nawakumbuka vizuri labda nikuongezee kidogo
Chausa
Mwarami Mgumba
Hamza Maneno
Said Seif
Donald Semkiwa
 
Back
Top Bottom