Timu ya taifa ikifundishwa na wachambuzi, nina imani tutacheza world cup

Hata wahubiri wengi ni wazuri sana kuwaekekeza wengine njia ya uzima wa milele lakini wao wenyewe ni wadhambi her ya nabii Tito
 
Uchambuzi si ukocha.. Gary neville ni mchambuzi mzuri tena kacheza mpira kwa kiwango cha juu na kuwa captain wa moja ya timu kubwa duniani.. Lakini valencia palimshinda wakamtimua na virago vyake.
 
Mwl.Alex Kashasha alisomea physical Education pale Butimba College Mwanza na UDSM.Pia amehudhuria semina kadhaa za ukocha za CAF na FIFA.Amefundisha timu kadhaa zikiwamo MUTEX ya Mara na timu kadhaa za kanda.Amechangia kuibua vipaji vya wachezaji wengi nyota akiwamo Nico Bambaga.
 
Mwl.Alex Kashasha alisomea physical Education pale Butimba College Mwanza na UDSM.Pia amehudhuria semina kadhaa za ukocha za CAF na FIFA.Amefundisha timu kadhaa zikiwamo MUTEX ya Mara na timu kadhaa za kanda.Amechangia kuibua vipaji vya wachezaji wengi nyota akiwamo Nico Bambaga.
Marehemu Nico Bambaga (R.I.P.)
 
Mwl.Alex Kashasha alisomea physical Education pale Butimba College Mwanza na UDSM.Pia amehudhuria semina kadhaa za ukocha za CAF na FIFA.Amefundisha timu kadhaa zikiwamo MUTEX ya Mara na timu kadhaa za kanda.Amechangia kuibua vipaji vya wachezaji wengi nyota akiwamo Nico Bambaga.
Uko sahihi kabisa. Kamfundisha Paul Rwecgungura( mutex) Bitta John ( Mara Stars. Kabla hajahamia pamba then Simba. Ni mwl wa mpira na ana shahada ya michezo (PE) kama marehemu Syla Said Mzirai(super coatch)
 
Wewe unazungumzia WACHAMBUZI, kuna makocha waliucheza enzi zao na bado kwenye kufundisha umewashinda! Mf Diego Maradona!
 
Hahaaaa mkuu nadhani tunaweza pigwa kuliko kipindi chochote kile
 
Wewe mwulize Gary Neville alipiga kelele kwenye uchambuzi na kuponda makocha weeee mwisho wakampa Valencia! Sasa hivi nina imani hata akipewa Manchester alipokulia atakataa kazi.
 
Mpiraa wa mdomonii tuu. Uwanjanii shaurii nyinginee.
Yupo mchambuzii alipewa hadii ujumbe wa BMT hatukuonaa hata tija yakee.
 
Shida inakuja pale ambapo vitendo ndio vinahitajika dhidi ya maneno ya uchambuzi..Pale uwanjani nyie paoneni tu
Joseverest umenikumbusha jamaa yetu mmoja wakati tunapiga ligi ya mchangani alikuwa bingwa wa kuchambua namna golikipa anavyotakiwa kufanya akiwa golini. Siku moja tukakosa golikipa tukampanga yeye bwana, ilikuja kuchongwa nduki moja ikahama na pua! Tangu siku hiyo hakuwahi kuuchonga tena kuhusu golikipa! Kwa hiyo nakubaliana na wewe kabisa mpira hauchezwi mdomoni!
 
Back
Top Bottom