Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,492
Leo timu ya mpira wa miguu ya Mkoa wa Kilimanjaro chini ya miaka 15 imepigwa goli za kutosha na Wapemba. Picha inajieleza zaidi.
=====
Katika mashindano ya TFF U15
vijana wa Zanzibar (Mjini Magharibi) wamewafunga vijana wenzao kutoka Kilimanjaro mabao 13-0
FT: Kilimanjaro 0-13 Mjini Magharibi.
Mchezo umechezwa asubuhi ya leo kwenye uwanja wa Karume, Ilala.
=====
Katika mashindano ya TFF U15
vijana wa Zanzibar (Mjini Magharibi) wamewafunga vijana wenzao kutoka Kilimanjaro mabao 13-0
FT: Kilimanjaro 0-13 Mjini Magharibi.
Mchezo umechezwa asubuhi ya leo kwenye uwanja wa Karume, Ilala.