AbbasTwalb
Member
- Oct 15, 2020
- 13
- 32
Timu ya Gor Mahia Fc inayoshiriki Ligi Kuu nchini kenya imeanza mipango ya kutafuta Saini ya kocha Msaidizi wa sasa wa Simba Selemani Matola.
Hii inakuja Baada ya Mabingwa hao Wa Kenya kukaa kwa muda mrefu bila kuwa na Kocha wa kiwango kizuri cha kuifundisha timu hiyo ambayo hapo awali ilikuwa chini ya Kocha Roberto Oliviera ambaye aliondoka Klabuni hapo Wiki chache zilizopita.
Tetesi zinasema Gor Mahia wanamuangalia Matola kama chaguo lao lakwanza kwani Wamekuwa na Matokeo yasiyo yakufurahisha katika kipindi cha mienzi ya Hivi karibuni na wanatazamia Kuingia nae mkataba mapema iwezekanavyo huku wachambuzi wengi wa Soka wakisema kwamba Zoezi hilo huenda likapata upinzani mkubwa kutoka kwa waajiri wake wa Sasa Simba ambao bado wanahitaji huduma ya kocha huyo Mtanzania.
Hii ni taarifa njema kwa makocha wa Tanzania baada ya kuwa na kipindi kirefu cha kutokuaminika kiasi cha kukosa ajira za ukocha nje ya Nchi kutokana na wengi wao kuonekana hawana Makali katika kazi zao huku wenzao wa Burundi wakionekana kula Shavu kila uchwao.
NB. PICHA KWA HISANI YA MUUNGWANA
Hii inakuja Baada ya Mabingwa hao Wa Kenya kukaa kwa muda mrefu bila kuwa na Kocha wa kiwango kizuri cha kuifundisha timu hiyo ambayo hapo awali ilikuwa chini ya Kocha Roberto Oliviera ambaye aliondoka Klabuni hapo Wiki chache zilizopita.
Tetesi zinasema Gor Mahia wanamuangalia Matola kama chaguo lao lakwanza kwani Wamekuwa na Matokeo yasiyo yakufurahisha katika kipindi cha mienzi ya Hivi karibuni na wanatazamia Kuingia nae mkataba mapema iwezekanavyo huku wachambuzi wengi wa Soka wakisema kwamba Zoezi hilo huenda likapata upinzani mkubwa kutoka kwa waajiri wake wa Sasa Simba ambao bado wanahitaji huduma ya kocha huyo Mtanzania.
Hii ni taarifa njema kwa makocha wa Tanzania baada ya kuwa na kipindi kirefu cha kutokuaminika kiasi cha kukosa ajira za ukocha nje ya Nchi kutokana na wengi wao kuonekana hawana Makali katika kazi zao huku wenzao wa Burundi wakionekana kula Shavu kila uchwao.
NB. PICHA KWA HISANI YA MUUNGWANA