Ocampo four
JF Senior Expert Member
- Feb 28, 2014
- 5,790
- 2,159
Baada ya tarehe 25 Oktoba, chochote kinaweza kutokea kwa viongozi wetu kama ilivyotokea Kenya (2007), na Ivory Coast.
Wawakilishi wa Mahakama ya kikataifa ya uhalifu wa binadamu washatua nchini Tanzania. Na tayari washakutana na waangalizi wa uchaguzi kutoka jumuiya ya ulaya ambao waliwasili mwanzoni wa mwezi September...
Kwa taarifa za uwakika, ni kwamba wajumbe hao walijadili mienendo ya uchaguzi (kampeni zinazoendelea), na timu hiyo ya ICC tayari wako field kukusanya taarifa mbalimbali ikiwemo ile kauli ya Bulembo kwamba CCM hawawezi kuachia madaraka hata iweje...
......N. Papers, KTN, Ctzn.... "Tanzania election on trail 2015"....
Wawakilishi wa Mahakama ya kikataifa ya uhalifu wa binadamu washatua nchini Tanzania. Na tayari washakutana na waangalizi wa uchaguzi kutoka jumuiya ya ulaya ambao waliwasili mwanzoni wa mwezi September...
Kwa taarifa za uwakika, ni kwamba wajumbe hao walijadili mienendo ya uchaguzi (kampeni zinazoendelea), na timu hiyo ya ICC tayari wako field kukusanya taarifa mbalimbali ikiwemo ile kauli ya Bulembo kwamba CCM hawawezi kuachia madaraka hata iweje...
......N. Papers, KTN, Ctzn.... "Tanzania election on trail 2015"....