Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,701
- 24,122
Tukiwa tunaendelea na ligue ya NBC kwenye mzunguko wa 13 hatimaye takwimu za timu ambazo zinapiga pasi nyingi uwanjani pia zimetolewa Kama ifuatavyo
1. Young Africans ___pasi .5130
2. Azam fc ____pasi .3957
3. Simba fc ______pasi. 3500
4. Coastal union. ___pasi 3263
5. Mtibwa sugar_____pasi 3081
6. Ruvu shooting ____pasi 3063
Je ushindi unayoipata timu yako inauhalisia na pasi inazotengeneza?
1. Young Africans ___pasi .5130
2. Azam fc ____pasi .3957
3. Simba fc ______pasi. 3500
4. Coastal union. ___pasi 3263
5. Mtibwa sugar_____pasi 3081
6. Ruvu shooting ____pasi 3063
Je ushindi unayoipata timu yako inauhalisia na pasi inazotengeneza?