Timu mbovu ya Yanga imewezaje kuongoza ligi hadi sasa?

Nafuatilia game ya Mbeya city na Yanga , kiukweli kiwango kibovu kinachoonyeshwa na Yanga inashangaza ! haijulikani wanacheza fomesheni gani , yaani haijulikani wamewezaje kuongoza ligi mpaka sasa , Mbeya city inayoburuza mkia haionekani kama ina tofauti yoyote na Yanga yenye wachezaji wa Kimataifa .

Tatizo la timu hii haijulikani kama ni wachezaji au ni kocha , ni timu mbovu kuliko maelezo .

Sisi kama nchi tukithubutu kukubali kuwakilishwa na timu hii kwenye michuano ya kimataifa itakuwa aibu ya karne .
Nyie wazuri mnaongoza ligi gani
 
Yanga hawana forwardline nzuri hata kidogo wanashinda kwa kubahatisha sana. Wale akina Sarpong sio wachezaji wa kununua hana lolote kabisa.
 
Nafuatilia game ya Mbeya city na Yanga , kiukweli kiwango kibovu kinachoonyeshwa na Yanga inashangaza ! haijulikani wanacheza fomesheni gani , yaani haijulikani wamewezaje kuongoza ligi mpaka sasa , Mbeya city inayoburuza mkia haionekani kama ina tofauti yoyote na Yanga yenye wachezaji wa Kimataifa .

Tatizo la timu hii haijulikani kama ni wachezaji au ni kocha , ni timu mbovu kuliko maelezo .

Sisi kama nchi tukithubutu kukubali kuwakilishwa na timu hii kwenye michuano ya kimataifa itakuwa aibu ya karne .
Kwa sababu imecheza mechi nyingi kuliko Simba
 
Nafuatilia game ya Mbeya city na Yanga, kiukweli kiwango kibovu kinachoonyeshwa na Yanga inashangaza! Haijulikani wanacheza fomesheni gani, yaani haijulikani wamewezaje kuongoza ligi mpaka sasa, Mbeya city inayoburuza mkia haionekani kama ina tofauti yoyote na Yanga yenye wachezaji wa Kimataifa.

Tatizo la timu hii haijulikani kama ni wachezaji au ni kocha, ni timu mbovu kuliko maelezo.

Sisi kama nchi tukithubutu kukubali kuwakilishwa na timu hii kwenye michuano ya kimataifa itakuwa aibu ya karne.
Hapa hakuna logic yoyote, kwanza kutumia game moja kutoa tathmini ya timu siyo kipimo sahihi, na ukitumia kigezo cha michezo mingi basi itakuwa timu nyingine zote nazo ni mbovu.
 
The answer is very simple and clear. Kwasababu MBUMBUMBU FC kiwango chao hakilingani na yanga
 
Ligi haidanganyi..., Cup Competition inaweza kudanganya unaweza kuamka vibaya siku ya siku home and away umetoka....

Ila mwisho wa ligi, timu inayochukua kombe ndio bora sababu huwezi kuwa na bahati mechi zote, pia kila mtu atakutana na kila mtu mara mbili... Hakuna kipimo kizuri zaidi ya ligi...

Wordcup / au Cup Competition yoyote unaweza kuchukua kombe kwa kukutana na vibonde au ukawa kwenye form kipindi hicho
 
Back
Top Bottom