Time travelling kusafiri mbele au nyuma ya muda inawezekana?

Nenda hata google ujielimishe na wewe sio kila kitu uambiwe utakuwa baba wa aina gani kwa wanao kama haujui kitu simple kama time traveling?!

Movie kibao zinaongelea hi kitu inamaana hautazami movies , au we ndio wale wa zile za kutasiriwa na hawa makanjanja .....
Sio kila mtu ana muda wa kutazama "movie kibao". Kama huwezi kumuelimisha mtu tulia wapo watu wenye roho pana za ku share maarifa. Wewe endelea kung'ang'ania elimu yako ya google na movie.
 
Kuna mwamba alinambia, palipo na makutano ya muda yaani longitudes, kwa maana ya north na south poles ndipo unaweza kusafiri kwa muda.
 
Time is nothing but a series of events that influences one another.

_ What you did few minutes ago influenced what you're doing now, just like what you're doing now influences what you'll do few minutes later. What you'll do few minutes later influences what you're doing now, just like what you're doing now influenced what you did few minutes ago. Yani everytime affects every adjacent time.

_ Everytime represents a certain set of events that occured at that time influenced by the events from adjacent times. Kama umenielewa utagundua kwamba hakuna kesho bila leo na hakuna leo bila jana, na leo ipo kwa sababu ya kesho kama jana ilivyokua kwa sababu ya leo.

_ Kila muda tunasafiri katika muda ndio maana kuna jana, leo na kesho. Lakini haiwezekani kubadili uelekeo wa muda.

_ Ukitaka kurudi jana maana yake events zote zilizotokea leo zitokee tena but backwards, which is something impractical.
Yani yule kuku uliemchinja na kumla jana umtapike na arudi kua mzima tena hapo ndipo utakua umesafiri kurudi jana.

…..Time travel ni topic kubwa kidogo kwako, sio kitu cha kueleweka na kila mtu, vichwa vyetu wengi vimejizuia kuwaza vizuri kwa sababu ya mazingira tuliyokulia.
Kwa uwezo wako leo tambua tu kuwa leo Time travel nadharia kwa wengi lakini kesho itakuwa kitu halisi kabisa. Miaka 500 iliyopita kusafirisha picha yako kwa video call ilikua nadharia lakini leo una uwezo wa kuwasiliana kwa video call.
Tuwaache wenye akili wafanyie kazi alili zao
 
Yes, BUT utakua umeanzisha kama another thread of life somewhere else ambayo haitaendana na ulivoiacha, mfano kama wazazi wako wapo hai saahv inamaana ukirudi kuwaua, another frame will continue, and hapo hapo ulivowaua kuna mwingine anaweza kurudi enzi za uhai wao tena
Hapa sijaelewa chochote
 
Kwa mfano ukirudi hadi mwaka ulipofanya necta ya form 6 utakuwa umondoka at your present na umekwenda kwenye past yako. Of which sasa ukiwa hapo kwenye mwaka wa kupiga pepa your previous present become your past na your previous past now itakuwa your existing present.

Therefore, wewe utakuwa upo katika wakati ambao upo wewe mara mbili sasa sababu haukuondoka huo mwaka uliopo bali umejikuta kabla ya kufanya mtihani.

Sasa hapo labda ujiteke ukapige pepa fasta fasta kisha usepe na kurudi at your current present of which by the time umeondoka na kwenda wakati kabla haujapiga pepa imekuwa ni past yako wewe uliyesafiri kurudi nyuma ya muda.

Shida ni moja sasa tufanye ulienda mwaka 2010 kurekebisha makosa ya form 6 then ukirudi mwaka 2021 ,yale matokeo yatabadili trend ya past yako ambayo itaathiri present yako.

Usishangae unafika mwaka 2021 unakuta kuna vitu vimetokea na wewe u are not aware. What if ulipofaulu form 6 ikafanya upate sponsorship ambayo currently haujui lolote kuhusu.

What if ile sponsorship ilikufanya kuwa mtu mwenye mafanikio sasa. So kitakachotokea ni kwamba utaporudi utarudi katika dunia yenye maswali ambayo wewe hujui chochote kuhusu. Maana ulichobadili nyuma kinakwenda kubadilisha trend ya maisha yako na kila kinachokuzunguka.

So utakuwa kama ile movie inaitwa hangover. Jamaa wanaamka halafu hawaelewi nini kilitokea jana yake so wanaanza kupekua

Sasa utashangaa umerudi mwaka 2021 unakutana na mtu anakuita shemeji ulikuwa wapi unasubiriwa hospital mkeo ameshajifungua.

Mara unakutana na mtu anakuita boss mbona umeondoka tokea jana hatujui upo wapi kazini unatafutwa.

So imagine hiyo complication itabidi uanze blend katika maisha ya tofauti kabisa ambayo haukuwapo awali.
Hapa umejitahidi kudadavua
 
kama time travelling ingewezekana, basi mpaka sasa tungeona mtu kutoka miaka ya mbele. Ni haiwezekani au binadamu wameperish wote kabla ya kuigundua.
 
Time is nothing but a series of events that influences one another.

_ What you did few minutes ago influenced what you're doing now, just like what you're doing now influences what you'll do few minutes later. What you'll do few minutes later influences what you're doing now, just like what you're doing now influenced what you did few minutes ago. Yani everytime affects every adjacent time.

_ Everytime represents a certain set of events that occured at that time influenced by the events from adjacent times. Kama umenielewa utagundua kwamba hakuna kesho bila leo na hakuna leo bila jana, na leo ipo kwa sababu ya kesho kama jana ilivyokua kwa sababu ya leo.

_ Kila muda tunasafiri katika muda ndio maana kuna jana, leo na kesho. Lakini haiwezekani kubadili uelekeo wa muda.

_ Ukitaka kurudi jana maana yake events zote zilizotokea leo zitokee tena but backwards, which is something impractical.
Yani yule kuku uliemchinja na kumla jana umtapike na arudi kua mzima tena hapo ndipo utakua umesafiri kurudi jana.
Butterfly effect
 
Kwa hiyo Yesu bado yupo kule miaka 2000 iliyopita anakula chakula chake cha mwisho yeye na wafuasi wake? Chakula hakiishi wala tukio halikamiliki?
Swal zur saan
20211022_160846.jpg
 
Iyo kitu ipo mkuu, sijui kuhusu kusafiri kwa miaka, lakini kusafiri through space hii inafanyika sana, hata hapa hapa Bongo watu wanaifanya sana, hii kitu ipo japo wenzetu hawatumii mitambo lakini wanatumia tamaduni, nenda Lindi, Rukwa, Shinyanga, Mtwara, tafuta wazee, wauliuze hili swali kwa kiswahili ambacho wao watakuelewa, alafu omba ufanyiwe wewe majaribio, nina maanisha nilichokianfika. So wanaokataa acha wakatae lakini kila unachokiona kwa hao wazungu, kipo na wao wanachokifanya ni kukuaminisha kwamba wewe huwezi fanya bila ya technology, technology ipo, ilikuwepo na itakuwepo.
 
Travel to the past inawezekana (in theory lakini)
Iwapo tu nitapata chombo kitakachonisafirisha kwa speed ya light 300000km/s.
Issue inakuwa ngumu pale ambapo kadiri ninavyozidi kwenda speed ndo uzito wa chombo unakuwa infinity. (Cc theory of relativity of Albert Einstein).
 
JAMANI HUKU NDANI MSHASIKIA KUHUSU TIME TRAVELLING?

Kusafiri mbele au nyuma ya muda?

Mfano wa yule mtakatifu miaka ya juzi aliyeweza kusafiri nyuma ya muda hadi miaka 2000 iliyopita kuhudhuria chakula cha mwisho bwana yesu alichokula na wanafunzi wake na pia kuhudhuria kusulubiwa kwa bwana yesu

Vipi kuhusu raia wa uswis ambaye amesafiri mbele ya muda hadi mwaka 2042 na kushuhudia dunia itakavyokua na akapiga na picha?

Vipi kuhusu mwaka wa 1992 wakati wa pambano la mike tyson yule aliyeonekana na smartphone kali kama hizi za samsung akicharaza photo kama kawaida wakat smartphone zimegunduliwa miaka hii tu jee mtu huyo alisafiri mbele ya muda kutoka 1992 hadi 2020 katika zama za smartphone?

Vipi kuhusiana na cds zilizokutwa mwaka 1704 wakati cds zimegunduliwa miaka hii tu jee hao watu waliokua na cd miaka hiyo walitoa wapi hiyo teknolojia miaka hiyo au walisafiri mbele ya muda yaani kutoka 1704 hadi miaka hii yetu ya kutumia cd?

Vipi watu walioweza kusafiri nyuma ya muda na kurudi utotoni kuhudhuria matukio mbalimbali ya utotoni?

Guys hii mada imekua jambo zito mnooo


*mimi naomba mnijuze kwanini nchi za magharibi na dunia wanapambana usiku kucha hawalali kuhakikisha hii sayansi ya time travelling haifanikiwi hata kufikia hatua ya kuwashughulikia na kuwanyamazisha wanasayansi wanaotafiti kuhusu hili jambo la time travelling?

Jee huenda hii time travelling ni siri ya mataifa makubwa au ajenda ya wachache ambao huitumia kwa faida zao tu huku wakipambana isijulikane?*

Tuwaze kwa pamoja
Nimekuwa mfuatiliaji nzuri wa haya mambo lakini kuna vitu bado sikielewi kabisa ni kuhusu huyo padre aliyepata kurudi nyuma ya muda miaka mingi iliyopita kushuhudia tulip zima la kalamu siku ya mwisho na kusurubiwa kwa Yesu alitumia technolojia gani kumfikisha huko? Je alifanya meditation au kuna chombo maalumu pia huyo jamaa aliyepata kujiona katika future nae alitumia kitu gani maana hile nadharia yake ya kupita kwenye kama kamtalo maana mpaka saiz hata huyu mwanateknolojia Mkubwa bwana Elon mask hajapata kufumbua hicho chombo
 
Mzee ukitaka ku-time travel unatakiwa atleast uwe na speed zaidi ya Light. Kutokana na equation ya Einstein ya E=MC2 ili uwe na speed zaidi ya light inatakiwa hicho kitu kisiwe na Mass au energy inayotakiwa kukipeleka speed ya light iwe infinity. Yaani uchukue matter yoote ya universe uichange into energy ndio unaweza kumove kitu chenye mass into speed ya light.

Sasa kupunguza tu wingi wa maneno ni kwamba haiwezekani.

Hio ni physics point of view.. sasa ukitumia logic ya kawaida kuna ile kitu wanaita " grandfather paradox " mfano ukifanikiwa kutime travel ukaenda ukamuua babu yako inamaana baba ako hatazaliwa na wewe hutazaliwa inamaana hutaexist ili kuja kutimetravel kumuua babu yako.. unaona changamoto ilipo.
Hapo ndipo shida ilipo, yaani kama mtu alizaa nje ya ndoa na mtoto ameshakua inamaana akirudi nyuma akarekebisha makosa inamaana mtoto hatozaliwa, hiyo itaathiri vipi ulimwengu wa sasa ambao yule mtoto yupo tayari?
 
Hapo ndipo shida ilipo, yaani kama mtu alizaa nje ya ndoa na mtoto ameshakua inamaana akirudi nyuma akarekebisha makosa inamaana mtoto hatozaliwa, hiyo itaathiri vipi ulimwengu wa sasa ambao yule mtoto yupo tayari?
Hapo paradox ndio shida
 
Back
Top Bottom