Time travelling kusafiri mbele au nyuma ya muda inawezekana?

Mada ngumu kuielewa ila ungefafanua kwanza maana ya time travelling na mifano iliyo hai
Hakuna hata haja ya kufafanua time traveling bali afafanue time Kama time Kisha aonyeshe ni kivipi au ni katika namna gani inawezekana time traveling..?

Binafsi nachoona hili jambo ni mkanganyiko sana ktk namna ya kulielewa!, nadharia alizozielezea hapo sijui Kama zinawezekana!. Maana kwa namna alivyoelezea yaonyesha Kama muda ni vipande vya mkate! Yani hivyo ndo vinamatukio yalivyo so ni kama mkanda wa VHS yani ukiwa unaangalia muvi tukio lililopita hiyo ni past,tukio lililopo hiyo ni present na tukio lijalo hiyo ni future.

Tunapozungumzia time moja kwa moja tunaigusa space.. na space sidhani Kama inakitu cha namna hiyo cha kunakili matukio kana kwamba ukirudi nyuma au ukienda mbele utayakuta!! Sidhani hili Kama lipo..
Time traveling ambayo ni simpo na nayoielewa ni mfano wa barafu inavyoweza kugandisha kitu kisiharibike kwa wakati huu na hicho kitu unaweza kukitumia baadae!. I mean Kama utaweza kumuweka samaki ktk barafu na akakaa miaka 5 na wakati alitakiwa aharibike so kwa kuweza kumtunza akakaa miaka hiyo mitano bila kuharibika hiyo mi ndo naita time traveling!. So Kama kutapatikana teknolojia ya kuweza kumfreez binadamu then ukaja kumuamsha hata baada ya mwaka mmoja au mia akiwa vilevile basi hiyo ndo naita time traveling!.. hichi kitu naona kitakuja kuwezekana.

Time traveling kwa future naona ni concept inayowezekana ila ya past naomba hapo nikuambie tu sijui na hapa ndugu yangu chukua pop corn nakuwekea na haka ka burudani ujifurahishe..😂


Watu wanachanganya concept za movie na zile za uhalisia!,time traveling bado haijaweza kudadavuliwa kwa 100%. Zaidi ni nadharia but practically mazingira bado ni magumu.. tukija kwenye nadharia za Albert Einstein Kuna vitu viwili vinaweza kuathiri muda navyo ni speed na gravity. Nakubaliana nae sasa ktk speed hii concept naielewa lkn mpk mtu kufikia hatua ya kupatikana ile effect ya time traveling na kuona kabisa huyu kafanya time traveling into the future ni aidha asafiri ama Kama spidi ya mwanga au karibu na spidi ya mwanga!! Mpaka Sasa hatujaweza kutengeneza kifaa cha namna hiyo ila hii concept ukiifatilia vizuri utaelewa ni kivipi spidi inaathiri muda so nenda kacheki utaelewa vizuri sana.

Gravity hii nayo inaathiri muda pia lakini hii pia mpk kuona moja kwa moja kuwa mtu huyu ame time traveling ni ngumu maana inahitajika gravity kubwa Sana ambayo inapatikana kwenye ma black holes huko.. nako ni mbali kinyama kufikia huko na aidha ukiingia unaweza usitokemo na ukiweza kutoka basi utakuta ni miaka mingi imepita huku duniani hivyo utakuwa ume time traveling into the future. Hapa nimeelezea kwa uchache sana ila fatilia time traveling ya kwenye vitabu vya fizikia achana na muvi utachanganyikiwa bure!

Nenda YouTube search Brian Greene huyu kazielezea hizo concept kiundani zaidi Kama ilivyodadavuliwa kisayansi kabisa na nguli wa fizikia Albert Einstein.
 
JAMANI HUKU NDANI MSHASIKIA KUHUSU TIME TRAVELLING?

Kusafiri mbele au nyuma ya muda?

Mfano wa yule mtakatifu miaka ya juzi aliyeweza kusafiri nyuma ya muda hadi miaka 2000 iliyopita kuhudhuria chakula cha mwisho bwana yesu alichokula na wanafunzi wake na pia kuhudhuria kusulubiwa kwa bwana yesu

Vipi kuhusu raia wa uswis ambaye amesafiri mbele ya muda hadi mwaka 2042 na kushuhudia dunia itakavyokua na akapiga na picha?

Vipi kuhusu mwaka wa 1992 wakati wa pambano la mike tyson yule aliyeonekana na smartphone kali kama hizi za samsung akicharaza photo kama kawaida wakat smartphone zimegunduliwa miaka hii tu jee mtu huyo alisafiri mbele ya muda kutoka 1992 hadi 2020 katika zama za smartphone?

Vipi kuhusiana na cds zilizokutwa mwaka 1704 wakati cds zimegunduliwa miaka hii tu jee hao watu waliokua na cd miaka hiyo walitoa wapi hiyo teknolojia miaka hiyo au walisafiri mbele ya muda yaani kutoka 1704 hadi miaka hii yetu ya kutumia cd?

Vipi watu walioweza kusafiri nyuma ya muda na kurudi utotoni kuhudhuria matukio mbalimbali ya utotoni?

Guys hii mada imekua jambo zito mnooo


*mimi naomba mnijuze kwanini nchi za magharibi na dunia wanapambana usiku kucha hawalali kuhakikisha hii sayansi ya time travelling haifanikiwi hata kufikia hatua ya kuwashughulikia na kuwanyamazisha wanasayansi wanaotafiti kuhusu hili jambo la time travelling?

Jee huenda hii time travelling ni siri ya mataifa makubwa au ajenda ya wachache ambao huitumia kwa faida zao tu huku wakipambana isijulikane?*

Tuwaze kwa pamoja
Mi naona ina manufaa makubwa katika forensics investigation. Ukizingatia wadosi huaa wana madeal yao na hivyo kusafiri kwenye muda kutawaumbua.

Nahisi hii ni sababu wanakataza kabisa.

Kuhusu smartphone naweza sema ni suala la teknolojia kufichwa tu. Hakuna jipya chini ya jua.

Huwa nawaza kuwa hii dunia inawezekana imewahi kuishi katika ustaarabh mkubwa sana miaka ya nyuma na baadae ustaarabu huo ulianguka na kuanza moja.

Kwa hiyo huenda maswala ya smart kwente pambano la tyson na cds za miaka ya kale ni baadhi ya ushahidi tu!
 
Hakuna hata haja ya kufafanua time traveling bali afafanue time Kama time Kisha aonyeshe ni kivipi au ni katika namna gani inawezekana time traveling..?

Binafsi nachoona hili jambo ni mkanganyiko sana ktk namna ya kulielewa!, nadharia alizozielezea hapo sijui Kama zinawezekana!. Maana kwa namna alivyoelezea yaonyesha Kama muda ni vipande vya mkate! Yani hivyo ndo vinamatukio yalivyo so ni kama mkanda wa VHS yani ukiwa unaangalia muvi tukio lililopita hiyo ni past,tukio lililopo hiyo ni present na tukio lijalo hiyo ni future.

Tunapozungumzia time moja kwa moja tunaigusa space.. na space sidhani Kama inakitu cha namna hiyo cha kunakili matukio kana kwamba ukirudi nyuma au ukienda mbele utayakuta!! Sidhani hili Kama lipo..
Time traveling ambayo ni simpo na nayoielewa ni mfano wa barafu inavyoweza kugandisha kitu kisiharibike kwa wakati huu na hicho kitu unaweza kukitumia baadae!. I mean Kama utaweza kumuweka samaki ktk barafu na akakaa miaka 5 na wakati alitakiwa aharibike so kwa kuweza kumtunza akakaa miaka hiyo mitano bila kuharibika hiyo mi ndo naita time traveling!. So Kama kutapatikana teknolojia ya kuweza kumfreez binadamu then ukaja kumuamsha hata baada ya mwaka mmoja au mia akiwa vilevile basi hiyo ndo naita time traveling!.. hichi kitu naona kitakuja kuwezekana.

Time traveling kwa future naona ni concept inayowezekana ila ya past naomba hapo nikuambie tu sijui na hapa ndugu yangu chukua pop corn nakuwekea na haka ka burudani ujifurahishe..😂
View attachment 1973641

Watu wanachanganya concept za movie na zile za uhalisia!,time traveling bado haijaweza kudadavuliwa kwa 100%. Zaidi ni nadharia but practically mazingira bado ni magumu.. tukija kwenye nadharia za Albert Einstein Kuna vitu viwili vinaweza kuathiri muda navyo ni speed na gravity. Nakubaliana nae sasa ktk speed hii concept naielewa lkn mpk mtu kufikia hatua ya kupatikana ile effect ya time traveling na kuona kabisa huyu kafanya time traveling into the future ni aidha asafiri ama Kama spidi ya mwanga au karibu na spidi ya mwanga!! Mpaka Sasa hatujaweza kutengeneza kifaa cha namna hiyo ila hii concept ukiifatilia vizuri utaelewa ni kivipi spidi inaathiri muda so nenda kacheki utaelewa vizuri sana.

Gravity hii nayo inaathiri muda pia lakini hii pia mpk kuona moja kwa moja kuwa mtu huyu ame time traveling ni ngumu maana inahitajika gravity kubwa Sana ambayo inapatikana kwenye ma black holes huko.. nako ni mbali kinyama kufikia huko na aidha ukiingia unaweza usitokemo na ukiweza kutoka basi utakuta ni miaka mingi imepita huku duniani hivyo utakuwa ume time traveling into the future. Hapa nimeelezea kwa uchache sana ila fatilia time traveling ya kwenye vitabu vya fizikia achana na muvi utachanganyikiwa bure!

Nenda YouTube search Brian Greene huyu kazielezea hizo concept kiundani zaidi Kama ilivyodadavuliwa kisayansi kabisa na nguli wa fizikia Albert Einstein.

time travel kurudi nyuma ni rahisi kuliko kwenda future ndo maaana event za mtu kwenda zamani ni nyingi, scientifically hata wewe ukiwa na nyenzo unaweza kufanya ivo, ngoja nkupe scenario uelewe!

- si unajua kwamba ili uweze kuona kitu ni lazima mwanga upige apo alafu ufike machoni? na spidi ya light si unaijua? 299 792 458 m / s

sasa tuseme umekaa sehem unaangalia movie, ili uweze kuona movie yako lazima light itoke kwenye screen ikufikie, sasa imagine unakimbia opposite the screen ina maana light inachelewa kukufikia kwenye macho, now imagine unakimbia katika speed of light opposite movie yako, ina maaana light haiwezi kukufikia kwenye macho kwa sababu unaenda same same that speed needed kufika kwenye macho kwahio wewe kwako TIME SLOWS DOWN, ukienda zaidi ya hio speed of light maaana yake umepita speed ya mwanga kwahio unakua unaona mwanga wa nyuma, kwahio TIME GOES BACKWARDS kwako, huu mfano sio realistic ila ndo principle nzima iko ivo
 
Mzee ukitaka ku-time travel unatakiwa atleast uwe na speed zaidi ya Light. Kutokana na equation ya Einstein ya E=MC2 ili uwe na speed zaidi ya light inatakiwa hicho kitu kisiwe na Mass au energy inayotakiwa kukipeleka speed ya light iwe infinity. Yaani uchukue matter yoote ya universe uichange into energy ndio unaweza kumove kitu chenye mass into speed ya light.

Sasa kupunguza tu wingi wa maneno ni kwamba haiwezekani.

Hio ni physics point of view.. sasa ukitumia logic ya kawaida kuna ile kitu wanaita " grandfather paradox " mfano ukifanikiwa kutime travel ukaenda ukamuua babu yako inamaana baba ako hatazaliwa na wewe hutazaliwa inamaana hutaexist ili kuja kutimetravel kumuua babu yako.. unaona changamoto ilipo.

sio lazima speed of light usikariri
 
Mada ngumu kuielewa ila ungefafanua kwanza maana ya time travelling na mifano iliyo hai
Hakuna hata haja ya kufafanua time traveling bali afafanue time Kama time Kisha aonyeshe ni kivipi au ni katika namna gani inawezekana time traveling..?

Binafsi nachoona hili jambo ni mkanganyiko sana ktk namna ya kulielewa!, nadharia alizozielezea hapo sijui Kama zinawezekana!. Maana kwa namna alivyoelezea yaonyesha Kama muda ni vipande vya mkate! Yani hivyo ndo vinamatukio yalivyo so ni kama mkanda wa VHS yani ukiwa unaangalia muvi tukio lililopita hiyo ni past,tukio lililopo hiyo ni present na tukio lijalo hiyo ni future.

Tunapozungumzia time moja kwa moja tunaigusa space.. na space sidhani Kama inakitu cha namna hiyo cha kunakili matukio kana kwamba ukirudi nyuma au ukienda mbele utayakuta!! Sidhani hili Kama lipo..
Time traveling ambayo ni simpo na nayoielewa ni mfano wa barafu inavyoweza kugandisha kitu kisiharibike kwa wakati huu na hicho kitu unaweza kukitumia baadae!. I mean Kama utaweza kumuweka samaki ktk barafu na akakaa miaka 5 na wakati alitakiwa aharibike so kwa kuweza kumtunza akakaa miaka hiyo mitano bila kuharibika hiyo mi ndo naita time traveling!. So Kama kutapatikana teknolojia ya kuweza kumfreez binadamu then ukaja kumuamsha hata baada ya mwaka mmoja au mia akiwa vilevile basi hiyo ndo naita time traveling!.. hichi kitu naona kitakuja kuwezekana.

Time traveling kwa future naona ni concept inayowezekana ila ya past naomba hapo nikuambie tu sijui na hapa ndugu yangu chukua pop corn nakuwekea na haka ka burudani ujifurahishe..😂
View attachment 1973641

Watu wanachanganya concept za movie na zile za uhalisia!,time traveling bado haijaweza kudadavuliwa kwa 100%. Zaidi ni nadharia but practically mazingira bado ni magumu.. tukija kwenye nadharia za Albert Einstein Kuna vitu viwili vinaweza kuathiri muda navyo ni speed na gravity. Nakubaliana nae sasa ktk speed hii concept naielewa lkn mpk mtu kufikia hatua ya kupatikana ile effect ya time traveling na kuona kabisa huyu kafanya time traveling into the future ni aidha asafiri ama Kama spidi ya mwanga au karibu na spidi ya mwanga!! Mpaka Sasa hatujaweza kutengeneza kifaa cha namna hiyo ila hii concept ukiifatilia vizuri utaelewa ni kivipi spidi inaathiri muda so nenda kacheki utaelewa vizuri sana.

Gravity hii nayo inaathiri muda pia lakini hii pia mpk kuona moja kwa moja kuwa mtu huyu ame time traveling ni ngumu maana inahitajika gravity kubwa Sana ambayo inapatikana kwenye ma black holes huko.. nako ni mbali kinyama kufikia huko na aidha ukiingia unaweza usitokemo na ukiweza kutoka basi utakuta ni miaka mingi imepita huku duniani hivyo utakuwa ume time traveling into the future. Hapa nimeelezea kwa uchache sana ila fatilia time traveling ya kwenye vitabu vya fizikia achana na muvi utachanganyikiwa bure!

Nenda YouTube search Brian Greene huyu kazielezea hizo concept kiundani zaidi Kama ilivyodadavuliwa kisayansi kabisa na nguli wa fizikia Albert Einstein
time travel kurudi nyuma ni rahisi kuliko kwenda future ndo maaana event za mtu kwenda zamani ni nyingi, scientifically hata wewe ukiwa na nyenzo unaweza kufanya ivo, ngoja nkupe scenario uelewe!

- si unajua kwamba ili uweze kuona kitu ni lazima mwanga upige apo alafu ufike machoni? na spidi ya light si unaijua? 299 792 458 m / s

sasa tuseme umekaa sehem unaangalia movie, ili uweze kuona movie yako lazima light itoke kwenye screen ikufikie, sasa imagine unakimbia opposite the screen ina maana light inachelewa kukufikia kwenye macho, now imagine unakimbia katika speed of light opposite movie yako, ina maaana light haiwezi kukufikia kwenye macho kwa sababu unaenda same same that speed needed kufika kwenye macho kwahio wewe kwako TIME SLOWS DOWN, ukienda zaidi ya hio speed of light maaana yake umepita speed ya mwanga kwahio unakua unaona mwanga wa nyuma, kwahio TIME GOES BACKWARDS kwako, huu mfano sio realistic ila ndo principle nzima iko ivo
Unaweza ielezea hii concept yako kwa kutumia supernova..?
Nahisi hapo ndo nitakuelewa zaidi maana hapa naona kama mkanganyiko just tumia supernova.
 
Hakuna cha time travelling, information is everything, information is power...
 
Hata sasa hivi we are time traveling at the rate of 1 second per second
 
Muda ni Nini ?

Ukipata definition nzuri na kuelewa muda (au kwa mtizamo wako muda ni nini) hapo ndio tunaweza tukachambua vizuri kwanini haiwezekani
 
Hakuna hata haja ya kufafanua time traveling bali afafanue time Kama time Kisha aonyeshe ni kivipi au ni katika namna gani inawezekana time traveling..?

Binafsi nachoona hili jambo ni mkanganyiko sana ktk namna ya kulielewa!, nadharia alizozielezea hapo sijui Kama zinawezekana!. Maana kwa namna alivyoelezea yaonyesha Kama muda ni vipande vya mkate! Yani hivyo ndo vinamatukio yalivyo so ni kama mkanda wa VHS yani ukiwa unaangalia muvi tukio lililopita hiyo ni past,tukio lililopo hiyo ni present na tukio lijalo hiyo ni future.

Tunapozungumzia time moja kwa moja tunaigusa space.. na space sidhani Kama inakitu cha namna hiyo cha kunakili matukio kana kwamba ukirudi nyuma au ukienda mbele utayakuta!! Sidhani hili Kama lipo..
Time traveling ambayo ni simpo na nayoielewa ni mfano wa barafu inavyoweza kugandisha kitu kisiharibike kwa wakati huu na hicho kitu unaweza kukitumia baadae!. I mean Kama utaweza kumuweka samaki ktk barafu na akakaa miaka 5 na wakati alitakiwa aharibike so kwa kuweza kumtunza akakaa miaka hiyo mitano bila kuharibika hiyo mi ndo naita time traveling!. So Kama kutapatikana teknolojia ya kuweza kumfreez binadamu then ukaja kumuamsha hata baada ya mwaka mmoja au mia akiwa vilevile basi hiyo ndo naita time traveling!.. hichi kitu naona kitakuja kuwezekana.

Time traveling kwa future naona ni concept inayowezekana ila ya past naomba hapo nikuambie tu sijui na hapa ndugu yangu chukua pop corn nakuwekea na haka ka burudani ujifurahishe..😂
View attachment 1973641

Watu wanachanganya concept za movie na zile za uhalisia!,time traveling bado haijaweza kudadavuliwa kwa 100%. Zaidi ni nadharia but practically mazingira bado ni magumu.. tukija kwenye nadharia za Albert Einstein Kuna vitu viwili vinaweza kuathiri muda navyo ni speed na gravity. Nakubaliana nae sasa ktk speed hii concept naielewa lkn mpk mtu kufikia hatua ya kupatikana ile effect ya time traveling na kuona kabisa huyu kafanya time traveling into the future ni aidha asafiri ama Kama spidi ya mwanga au karibu na spidi ya mwanga!! Mpaka Sasa hatujaweza kutengeneza kifaa cha namna hiyo ila hii concept ukiifatilia vizuri utaelewa ni kivipi spidi inaathiri muda so nenda kacheki utaelewa vizuri sana.

Gravity hii nayo inaathiri muda pia lakini hii pia mpk kuona moja kwa moja kuwa mtu huyu ame time traveling ni ngumu maana inahitajika gravity kubwa Sana ambayo inapatikana kwenye ma black holes huko.. nako ni mbali kinyama kufikia huko na aidha ukiingia unaweza usitokemo na ukiweza kutoka basi utakuta ni miaka mingi imepita huku duniani hivyo utakuwa ume time traveling into the future. Hapa nimeelezea kwa uchache sana ila fatilia time traveling ya kwenye vitabu vya fizikia achana na muvi utachanganyikiwa bure!

Nenda YouTube search Brian Greene huyu kazielezea hizo concept kiundani zaidi Kama ilivyodadavuliwa kisayansi kabisa na nguli wa fizikia Albert Einstein

Unaweza ielezea hii concept yako kwa kutumia supernova..?
Nahisi hapo ndo nitakuelewa zaidi maana hapa naona kama mkanganyiko just tumia supernova.

supernova haihusiana na time travelling, super nova ni mlipuko pale nyota inapofikia mwisho wake, ile explosion inaotokea inakuaga bright kiasi kwamba kama ni nyota ilio karibu na milky way hua inaonekana mpaka duniani, sometimes pia inaweza kucause hata madhara kwa duniani kama hio explosion ni extra massive
 
supernova haihusiana na time travelling, super nova ni mlipuko pale nyota inapofikia mwisho wake, ile explosion inaotokea inakuaga bright kiasi kwamba kama ni nyota ilio karibu na milky way hua inaonekana mpaka duniani, sometimes pia inaweza kucause hata madhara kwa duniani kama hio explosion ni extra massive
Ndo utumie huo mfano wa kusafiri kwa mwanga ndugu kupitia supernova nahisi nitakuelewa achana na ma tv..😀
 
Hakuna hata haja ya kufafanua time traveling bali afafanue time Kama time Kisha aonyeshe ni kivipi au ni katika namna gani inawezekana time traveling..?

Binafsi nachoona hili jambo ni mkanganyiko sana ktk namna ya kulielewa!, nadharia alizozielezea hapo sijui Kama zinawezekana!. Maana kwa namna alivyoelezea yaonyesha Kama muda ni vipande vya mkate! Yani hivyo ndo vinamatukio yalivyo so ni kama mkanda wa VHS yani ukiwa unaangalia muvi tukio lililopita hiyo ni past,tukio lililopo hiyo ni present na tukio lijalo hiyo ni future.

Tunapozungumzia time moja kwa moja tunaigusa space.. na space sidhani Kama inakitu cha namna hiyo cha kunakili matukio kana kwamba ukirudi nyuma au ukienda mbele utayakuta!! Sidhani hili Kama lipo..
Time traveling ambayo ni simpo na nayoielewa ni mfano wa barafu inavyoweza kugandisha kitu kisiharibike kwa wakati huu na hicho kitu unaweza kukitumia baadae!. I mean Kama utaweza kumuweka samaki ktk barafu na akakaa miaka 5 na wakati alitakiwa aharibike so kwa kuweza kumtunza akakaa miaka hiyo mitano bila kuharibika hiyo mi ndo naita time traveling!. So Kama kutapatikana teknolojia ya kuweza kumfreez binadamu then ukaja kumuamsha hata baada ya mwaka mmoja au mia akiwa vilevile basi hiyo ndo naita time traveling!.. hichi kitu naona kitakuja kuwezekana.

Time traveling kwa future naona ni concept inayowezekana ila ya past naomba hapo nikuambie tu sijui na hapa ndugu yangu chukua pop corn nakuwekea na haka ka burudani ujifurahishe..😂
View attachment 1973641

Watu wanachanganya concept za movie na zile za uhalisia!,time traveling bado haijaweza kudadavuliwa kwa 100%. Zaidi ni nadharia but practically mazingira bado ni magumu.. tukija kwenye nadharia za Albert Einstein Kuna vitu viwili vinaweza kuathiri muda navyo ni speed na gravity. Nakubaliana nae sasa ktk speed hii concept naielewa lkn mpk mtu kufikia hatua ya kupatikana ile effect ya time traveling na kuona kabisa huyu kafanya time traveling into the future ni aidha asafiri ama Kama spidi ya mwanga au karibu na spidi ya mwanga!! Mpaka Sasa hatujaweza kutengeneza kifaa cha namna hiyo ila hii concept ukiifatilia vizuri utaelewa ni kivipi spidi inaathiri muda so nenda kacheki utaelewa vizuri sana.

Gravity hii nayo inaathiri muda pia lakini hii pia mpk kuona moja kwa moja kuwa mtu huyu ame time traveling ni ngumu maana inahitajika gravity kubwa Sana ambayo inapatikana kwenye ma black holes huko.. nako ni mbali kinyama kufikia huko na aidha ukiingia unaweza usitokemo na ukiweza kutoka basi utakuta ni miaka mingi imepita huku duniani hivyo utakuwa ume time traveling into the future. Hapa nimeelezea kwa uchache sana ila fatilia time traveling ya kwenye vitabu vya fizikia achana na muvi utachanganyikiwa bure!

Nenda YouTube search Brian Greene huyu kazielezea hizo concept kiundani zaidi Kama ilivyodadavuliwa kisayansi kabisa na nguli wa fizikia Albert Einstein

Unaweza ielezea hii concept yako kwa kutumia supernova..?
Nahisi hapo ndo nitakuelewa zaidi maana hapa naona kama mkanganyiko just tumia supernova.


time travel kwa sisi tunaiona kama theorotically kwa sababu its a relative new topic, ila kuna mtu anaishi kwenye mwaka 3010 na kumi saaahv tayar ameshaitoa from theory na iko practical, time travel inahitaji matumizi ya nguvu kubwa sana mfano kuna watu wanatumia WORM HOLES kufanya time travel, ambayo ndo the best way! kufanya time travel kwa propolsion its IMPOSSIBLE, if you need to do that you will need something that travels at the speed of light of which its impossible at the current technology na hata forever ever its impossible because , LIGHT uses PHOTONS, sasa izi photos have no weight atleast so far as its known, hio character tu ya kua weightless tayar ishafanya propolsion impossible because we humans have weight! lakini time travel can be done kwa kutumia shortcuts za space time mfano WORM HOLES ama pia a BLACK HOLE ikiwa na exit side you can do that by using an ANTI MATTER, it will be responsible to push the black hole outside so that you can pass, so far there isnt any known ANTI MATTER we known leave alone producing it of which its VERY HARD to the current technology!
 
Ndo utumie huo mfano wa kusafiri kwa mwanga ndugu kupitia supernova nahisi nitakuelewa achana na ma tv..😀


time travel kwa sisi tunaiona kama theorotically kwa sababu its a relative new topic, ila kuna mtu anaishi kwenye mwaka 3010 na kumi saaahv tayar ameshaitoa from theory na iko practical, time travel inahitaji matumizi ya nguvu kubwa sana mfano kuna watu wanatumia WORM HOLES kufanya time travel, ambayo ndo the best way! kufanya time travel kwa propolsion its IMPOSSIBLE, if you need to do that you will need something that travels at the speed of light of which its impossible at the current technology na hata forever ever its impossible because , LIGHT uses PHOTONS, sasa izi photos have no weight atleast so far as its known, hio character tu ya kua weightless tayar ishafanya propolsion impossible because we humans have weight! lakini time travel can be done kwa kutumia shortcuts za space time mfano WORM HOLES ama pia a BLACK HOLE ikiwa na exit side you can do that by using an ANTI MATTER, it will be responsible to push the black hole outside so that you can pass, so far there isnt any known ANTI MATTER we known leave alone producing it of which its VERY HARD to the current technology!
 
Time is nothing but a series of events that influences one another.

_ What you did few minutes ago influenced what you're doing now, just like what you're doing now influences what you'll do few minutes later. What you'll do few minutes later influences what you're doing now, just like what you're doing now influenced what you did few minutes ago. Yani everytime affects every adjacent time.

_ Everytime represents a certain set of events that occured at that time influenced by the events from adjacent times. Kama umenielewa utagundua kwamba hakuna kesho bila leo na hakuna leo bila jana, na leo ipo kwa sababu ya kesho kama jana ilivyokua kwa sababu ya leo.

_ Kila muda tunasafiri katika muda ndio maana kuna jana, leo na kesho. Lakini haiwezekani kubadili uelekeo wa muda.

_ Ukitaka kurudi jana maana yake events zote zilizotokea leo zitokee tena but backwards, which is something impractical.
Yani yule kuku uliemchinja na kumla jana umtapike na arudi kua mzima tena hapo ndipo utakua umesafiri kurudi jana.
Mbona kama kichwa chako kimepata moto
 
time travel kwa sisi tunaiona kama theorotically kwa sababu its a relative new topic, ila kuna mtu anaishi kwenye mwaka 3010 na kumi saaahv tayar ameshaitoa from theory na iko practical, time travel inahitaji matumizi ya nguvu kubwa sana mfano kuna watu wanatumia WORM HOLES kufanya time travel, ambayo ndo the best way! kufanya time travel kwa propolsion its IMPOSSIBLE, if you need to do that you will need something that travels at the speed of light of which its impossible at the current technology na hata forever ever its impossible because , LIGHT uses PHOTONS, sasa izi photos have no weight atleast so far as its known, hio character tu ya kua weightless tayar ishafanya propolsion impossible because we humans have weight! lakini time travel can be done kwa kutumia shortcuts za space time mfano WORM HOLES ama pia a BLACK HOLE ikiwa na exit side you can do that by using an ANTI MATTER, it will be responsible to push the black hole outside so that you can pass, so far there isnt any known ANTI MATTER we known leave alone producing it of which its VERY HARD to the current technology!
Mkuu mtu nani huyo jibu hilo kwanza kabla hatujafika mbali..
 
Sas hao waliosafir walitumia njia gan kukamilisha jambo Lao
Nadhani kupitia fikra mkuu unajua unaweza ukawa umekaa mahali Fulani nakujikuta upo mahala Fulani unafanya mapenzi na msichana umpendaye Tena anakupa mabusu motomoto
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom