Time Travel: Je, linaweza kuwa suluhisho la kifo?

Mkuu unanishawishi niongelee kitu kinachoitwa Multi Universe.. sema nikiongea hapa tutazidi kuachana gizani. Matukio ya hvyo kuhusu picha zinapigwa afu intakea jambo lisilo la kawaida kwenye picha nadhani yako mengi.. baadhi yameelezwa kwenye nyuzi humu. Naomba tu siku Time Travelling ikiwa possible watu wote waliosoma uzi huu wawe hai
Da Vinci nafaham Uzi huu sio wakidin.ila ninachotaka kuwaeleza hio Time travell ni Real ila haiwezi kuzuia Kifo...
Fact:Hio kitu imeelezwa waziwazi na Abal Qassim kwenye safari yake ya miraji..
1,Aliwaona wanawake wengi wamejaa motoni. .jambo ambalo hata hukumu haijapita
2,Speed ya buraq na ngazi ya miraji kama iliwezekana kwake basi ni ishara tosha ipo cku kitaundwa chombo chenye 0mass na kitakua na speed kuliko mwanga..
3,Jawabu alilotoa swahaba wake alimuuliza Kati ya Mwanamume na Mwanamke nani anaenjoy zaidi kwenye tendo la jimai...Swahabu huyu alijibu ni Mwanamke..kisa chenyewe kipo hivi..
Swahaba huyu alikua kwenye darsa la Abal Qassim jioni ya siku ya Akhamis Akamuuliza Abal Qassim hivi..Ewe Mjumbe wa Allah naomba uujulishe Umma na Wanadam kwa ujumla Kati ya M/mke na M/mme ni nani Anafaidi zaidi kuliko mwenzie katika Tendo la jimai..Kabla hajatoa jawabu muda wa swala ukawa umeingia akamwambia atamjibu kesho baada ya swala ya yaumul jumaa..
Siku ya ijumaa ikaingia na Huyu swahaba aliposikia ile adhana ya mapemama akawahi mtoni ili akaoge na kuchukua udhu kwa ajili ya swala ya jumaa na shauku ya kupata jibu la swali lake.
Akafika mtoni akavua nguo zake na kujrusha mtoni...wakati anajiandaa kupiga mbizi mtoni alimsikia muadhiini ndio anasema Maneno ya Mwanzo kabisa yaani "Allahu akbar Allahu akbar..
Swahaba huyu alipoibuka hakuona nguo zake na wala sehemu alioibukia hakuwahi fika wala kuijua kabisa na cha kushangaza aliibuka akiwa bint kigori kabisaa..na alipotoka mtoni akakuta nguo za kike akajistiri..
Alipoanza kuelekea sehem za makazi akakutana na m/mme mmoja akamueleza yeye ni mgeni na hana makazi..
Kwa Urembo na uzuri aliokua nao yule mwanaume alimpenda na kuamua kumuoa..Swahabu huyu aliebadilika na kuwa binti Alishiriki tendo la ndoa na mumewe na katika vipindi tofauti na kumzalia watoto wawili...
Siku moja akapata hamu yakwenda mtoni kuoga na kuchota maji.akaenda mtoni akavua nguo zake na kujitumbukiza mtoni..
Alipoibuka akaibukia palepale alipoziacha nguo zake za kiume na akiwa mwanamume na cha kushangaza zaidi alimsikia muadhini yuleyule akimalizia Adhana kwa maneno ya Mwisho "Laila hailallah" .
Alivaa nguo zake na kuelekea msikitini..
Baada ya swala maswahaba walimkumbusha mtume juu swali aliloulizwa jana..na kabla hajajibu alimsimamisha Swahaba yuleyule aliemuuliza swali ili atoe jibu.
Alijibu ni Mwanamke na kisha Abal Qassim alikielezea kisa kizima kilichomkuta swahaba yule kama nilivyokihadithia.
4 Kwa suleiman bin Daudi hali hii ilitokea ya Time travell.Sulemain alikua na mwanafunzi wake ambae hakupenda kufa akiwa kijana..na kifo ni siri ya Allah Sw.basi yule kijana akamuomba suleiman amuombee afe akiwa mzee..suleiman akamuombea..kijana akafurah na kua na yakini za Dua za mtume ni Makubuul.
Siku ilifuata suleimani akiwa katka misafara yake na kijana wake Malaika mtoa roho akamfikia yule kijana.kijana aliogopa sana na akaamua kumfuata Suleiman na kumueleza kuna mtu amemjia anatisha sana.akamuelekeza mahala alipo.
Suleimani alupomuona akamwambia yule ni malaika mtoa roho.na amekuja kuichukua Roho yako.kijana akapagawa na kumuuliza kama dua yake haikukubaliwa.Suleimani akamwambia Asihofu dua yake ilkubaliwa.
Alichofanya suleimani ni kuuamrisha upepo umpeleke mashariki linapochomoza jua..sehemu hio kwa mwendo wa farasi mwenye kasi sana wakati huo angetumia miaka 50 kufika..na kuuamrisha upepo popote anapotaka apelekwe huyo kijana basi upepo umtii..
Upepo ule ulimsafirisha mpaka mashariki linapochomoza jua.kwa muda mfupi sana.alipofika hakukaa hata muda mrefu akamuona tena yule malaika mtoa roho..alipoona hivyo akauamrisha upepo umpeleke magharibi jua linapozama..ukafanya hivyo.ila alupofika msgharibi jua linapozama akamkuta pia malaika mtoa roho anamgojea..baada ya kuana hakuna pa kumkwepea mtoa roho akaamua kuuamrisha upepo umrudishe palepale alipoanzia safari yake akiwa na suleimani.alipofika kwanza alishangaa mno na alipowauliza wenyeji juu ya mfalme suleimani walimjibu kwa kumwambia mfalme huyo alikuwepo miaka 200 iliopita hali ya kua yeye bado kijana .
Muda mchache baadae malaika mtoa roho alimfikia na kuichukua roho yake..
Kisa hiki kina mafunzo mawili
1Time travel ipo na inatendeka ndani ya ulimwengu huu.
2.Pamoja na kuwepo kwake haitazuia kifo na hata utaratibu wa Qadari ya Allah sw.inawezekana kabisa watu kuishi kwenye past zao na Hata future zao..
Kinachofanyika ktk uweza wa Allah sw ni kun faya kun(kuwa na inakua),
Wanachofanya wanajitihada ( wanasayansi wa mambo haya) ni kupata kifaa maalumu kitakachothibitisha juu ya Nadharia hii ambayo imekuwepo enzi na enzi.
 
Kifo ni hatua ya kuelekea maisha ya kaburini kisha ufufuo kisha malipo na mwisho kabisa maisha ya milele.

Kama ilivyo hatua ya kutambaa mtoto kisha atembee.

Inabidi pia uchunguze je ni kweli hao Wanasayansi wanashughulika na kutafuta tiba ya kifo ? Isiwe wanafurahisha tu sababu wameshawajua mnapenda story za kisayansi huku Ukweli wakiujua ya kuwa haiwezekani kwa jambo hilo,kama vile wanavyowafurahisha katika "Time Travel" au kama walivyowafurahisha katika "Safari ya mtu kwenda Mwezini". Muwe mnawahoji hao Wanasayansi msifanywe kama jalala lisilochagua taka.

Mimi nipo,ila mnatakiwa mjue ya kuwa kifo si tatizo wala kifo si Ugonjwa sasa vipi utafute tiba ? Wanasayansi huwa wanafikiri kitoto sana na ujuaji ukiwa mwingi kuna maarifa wananyimwa.

Bro Zuri mie nakukubali katika uchambuzi wa baadhi ya nadharia za kisayansi na ufafanuzi ktk uelewa wanasayansi wa kikufari.ila bado napata tabu juu ya neno la Qur an Mutashabiha.kama haya mambo mutashabiha yapo vip unakua unayafutu maswala ambayo ni mutashabia ambayo huna yakini nayo
 
Nisikilize vifaa

Vya kurekodia vya zamani vilikua on analogie form

Mfano mrahisi hakukua na ku editi ngoma ukirekodi umesharekodi

System ya simu za sasa na vifaa vya zamani vya kurekodia ni vitu viwili tofauti

Tafadhali sana
kuna kujibu na kujitetea wewe mkuu unajitetea.

enewei mkuu naomba tufikie hapo kuepusha kutoelewana.
 
Da Vinci nafaham Uzi huu sio wakidin.ila ninachotaka kuwaeleza hio Time travell ni Real ila haiwezi kuzuia Kifo...
Fact:Hio kitu imeelezwa waziwazi na Abal Qassim kwenye safari yake ya miraji..
1,Aliwaona wanawake wengi wamejaa motoni. .jambo ambalo hata hukumu haijapita
2,Speed ya buraq na ngazi ya miraji kama iliwezekana kwake basi ni ishara tosha ipo cku kitaundwa chombo chenye 0mass na kitakua na speed kuliko mwanga..
3,Jawabu alilotoa swahaba wake alimuuliza Kati ya Mwanamume na Mwanamke nani anaenjoy zaidi kwenye tendo la jimai...Swahabu huyu alijibu ni Mwanamke..kisa chenyewe kipo hivi..
Swahaba huyu alikua kwenye darsa la Abal Qassim jioni ya siku ya Akhamis Akamuuliza Abal Qassim hivi..Ewe Mjumbe wa Allah naomba uujulishe Umma na Wanadam kwa ujumla Kati ya M/mke na M/mme ni nani Anafaidi zaidi kuliko mwenzie katika Tendo la jimai..Kabla hajatoa jawabu muda wa swala ukawa umeingia akamwambia atamjibu kesho baada ya swala ya yaumul jumaa..
Siku ya ijumaa ikaingia na Huyu swahaba aliposikia ile adhana ya mapemama akawahi mtoni ili akaoge na kuchukua udhu kwa ajili ya swala ya jumaa na shauku ya kupata jibu la swali lake.
Akafika mtoni akavua nguo zake na kujrusha mtoni...wakati anajiandaa kupiga mbizi mtoni alimsikia muadhiini ndio anasema Maneno ya Mwanzo kabisa yaani "Allahu akbar Allahu akbar..
Swahaba huyu alipoibuka hakuona nguo zake na wala sehemu alioibukia hakuwahi fika wala kuijua kabisa na cha kushangaza aliibuka akiwa bint kigori kabisaa..na alipotoka mtoni akakuta nguo za kike akajistiri..
Alipoanza kuelekea sehem za makazi akakutana na m/mme mmoja akamueleza yeye ni mgeni na hana makazi..
Kwa Urembo na uzuri aliokua nao yule mwanaume alimpenda na kuamua kumuoa..Swahabu huyu aliebadilika na kuwa binti Alishiriki tendo la ndoa na mumewe na katika vipindi tofauti na kumzalia watoto wawili...
Siku moja akapata hamu yakwenda mtoni kuoga na kuchota maji.akaenda mtoni akavua nguo zake na kujitumbukiza mtoni..
Alipoibuka akaibukia palepale alipoziacha nguo zake za kiume na akiwa mwanamume na cha kushangaza zaidi alimsikia muadhini yuleyule akimalizia Adhana kwa maneno ya Mwisho "Laila hailallah" .
Alivaa nguo zake na kuelekea msikitini..
Baada ya swala maswahaba walimkumbusha mtume juu swali aliloulizwa jana..na kabla hajajibu alimsimamisha Swahaba yuleyule aliemuuliza swali ili atoe jibu.
Alijibu ni Mwanamke na kisha Abal Qassim alikielezea kisa kizima kilichomkuta swahaba yule kama nilivyokihadithia.
4 Kwa suleiman bin Daudi hali hii ilitokea ya Time travell.Sulemain alikua na mwanafunzi wake ambae hakupenda kufa akiwa kijana..na kifo ni siri ya Allah Sw.basi yule kijana akamuomba suleiman amuombee afe akiwa mzee..suleiman akamuombea..kijana akafurah na kua na yakini za Dua za mtume ni Makubuul.
Siku ilifuata suleimani akiwa katka misafara yake na kijana wake Malaika mtoa roho akamfikia yule kijana.kijana aliogopa sana na akaamua kumfuata Suleiman na kumueleza kuna mtu amemjia anatisha sana.akamuelekeza mahala alipo.
Suleimani alupomuona akamwambia yule ni malaika mtoa roho.na amekuja kuichukua Roho yako.kijana akapagawa na kumuuliza kama dua yake haikukubaliwa.Suleimani akamwambia Asihofu dua yake ilkubaliwa.
Alichofanya suleimani ni kuuamrisha upepo umpeleke mashariki linapochomoza jua..sehemu hio kwa mwendo wa farasi mwenye kasi sana wakati huo angetumia miaka 50 kufika..na kuuamrisha upepo popote anapotaka apelekwe huyo kijana basi upepo umtii..
Upepo ule ulimsafirisha mpaka mashariki linapochomoza jua.kwa muda mfupi sana.alipofika hakukaa hata muda mrefu akamuona tena yule malaika mtoa roho..alipoona hivyo akauamrisha upepo umpeleke magharibi jua linapozama..ukafanya hivyo.ila alupofika msgharibi jua linapozama akamkuta pia malaika mtoa roho anamgojea..baada ya kuana hakuna pa kumkwepea mtoa roho akaamua kuuamrisha upepo umrudishe palepale alipoanzia safari yake akiwa na suleimani.alipofika kwanza alishangaa mno na alipowauliza wenyeji juu ya mfalme suleimani walimjibu kwa kumwambia mfalme huyo alikuwepo miaka 200 iliopita hali ya kua yeye bado kijana .
Muda mchache baadae malaika mtoa roho alimfikia na kuichukua roho yake..
Kisa hiki kina mafunzo mawili
1Time travel ipo na inatendeka ndani ya ulimwengu huu.
2.Pamoja na kuwepo kwake haitazuia kifo na hata utaratibu wa Qadari ya Allah sw.inawezekana kabisa watu kuishi kwenye past zao na Hata future zao..
Kinachofanyika ktk uweza wa Allah sw ni kun faya kun(kuwa na inakua),
Wanachofanya wanajitihada ( wanasayansi wa mambo haya) ni kupata kifaa maalumu kitakachothibitisha juu ya Nadharia hii ambayo imekuwepo enzi na enzi.
nimevutiwa na maelezo mkuu.

sasa labda wewe kwa unavoelewa ili mtu usafiri uende kwenye past ufanyeje..?

je uwe na spidi kali sana ukitembea huko angani ?

au uwe na spidi kali ukitembea hapa duniani ?

naamini dunia in Mengi sana na hizi tafiti za wanasayansi zinazidi kuniongezea imani yangu juu ya DINI HII YA kiislamu.

maana ninaona kabisa kwamba kuna mambo ya aabu yapo katika uislamu ambayo najiuliza hao waliyoyanukuu walikuwa na ujasiri gani kunukuu ?

ina maana hawakuhofia kwamba watu watahisi ni uongo kama vile mtume muhammad kwenda miiraji n. k

kuna hadithi inasema "katik pepo kuna daraja mia, baina ya daraja na daraja katika hizo daraja mia upishano wake ni baina ya mbingu na ardhi "

mtu anawezakuona hizi ni stori za kutunga lkini hata wanasayansi sasa hivi wanatuambia kwamba hata umbali baina ya nyota moja na nyingine unaweza kufika KM 340000 sasa angalia kuna nyota ngapi huko juu na huo umbali baina ya nyota na nyota ?

pia wanasema watu wa astronomy ya kuwa kuna madudu makubwa huko juu ambayo ukubwa wake basi jua lijirudie siochini ya mara 1000(kwa uchache) ndo linaweza kufanana na hayo madudu.

kiufupi Uislamu umeeleza Mengi sana ambayo wanasayansi ndo wanatafuta sababu zao na kuzielezea hapo.

lakini mimi najikita sana na kufatilia mambo ya astronomy huko nazidi kuamini kwamb Qurani imetoka Kw Mungu.

yani inaonesha ya kuwa dunia ni kijitu kidogo sana katika uislamu.kwa sababu mifano inayppogwa na Mafundisho ya uislamu ni mifano ambayo mtu anaweza kuona ni kujikuza lakini ipo kwa hakika.
 
Da Vinci nafaham Uzi huu sio wakidin.ila ninachotaka kuwaeleza hio Time travell ni Real ila haiwezi kuzuia Kifo...
Fact:Hio kitu imeelezwa waziwazi na Abal Qassim kwenye safari yake ya miraji..
1,Aliwaona wanawake wengi wamejaa motoni. .jambo ambalo hata hukumu haijapita
2,Speed ya buraq na ngazi ya miraji kama iliwezekana kwake basi ni ishara tosha ipo cku kitaundwa chombo chenye 0mass na kitakua na speed kuliko mwanga..
3,Jawabu alilotoa swahaba wake alimuuliza Kati ya Mwanamume na Mwanamke nani anaenjoy zaidi kwenye tendo la jimai...Swahabu huyu alijibu ni Mwanamke..kisa chenyewe kipo hivi..
Swahaba huyu alikua kwenye darsa la Abal Qassim jioni ya siku ya Akhamis Akamuuliza Abal Qassim hivi..Ewe Mjumbe wa Allah naomba uujulishe Umma na Wanadam kwa ujumla Kati ya M/mke na M/mme ni nani Anafaidi zaidi kuliko mwenzie katika Tendo la jimai..Kabla hajatoa jawabu muda wa swala ukawa umeingia akamwambia atamjibu kesho baada ya swala ya yaumul jumaa..
Siku ya ijumaa ikaingia na Huyu swahaba aliposikia ile adhana ya mapemama akawahi mtoni ili akaoge na kuchukua udhu kwa ajili ya swala ya jumaa na shauku ya kupata jibu la swali lake.
Akafika mtoni akavua nguo zake na kujrusha mtoni...wakati anajiandaa kupiga mbizi mtoni alimsikia muadhiini ndio anasema Maneno ya Mwanzo kabisa yaani "Allahu akbar Allahu akbar..
Swahaba huyu alipoibuka hakuona nguo zake na wala sehemu alioibukia hakuwahi fika wala kuijua kabisa na cha kushangaza aliibuka akiwa bint kigori kabisaa..na alipotoka mtoni akakuta nguo za kike akajistiri..
Alipoanza kuelekea sehem za makazi akakutana na m/mme mmoja akamueleza yeye ni mgeni na hana makazi..
Kwa Urembo na uzuri aliokua nao yule mwanaume alimpenda na kuamua kumuoa..Swahabu huyu aliebadilika na kuwa binti Alishiriki tendo la ndoa na mumewe na katika vipindi tofauti na kumzalia watoto wawili...
Siku moja akapata hamu yakwenda mtoni kuoga na kuchota maji.akaenda mtoni akavua nguo zake na kujitumbukiza mtoni..
Alipoibuka akaibukia palepale alipoziacha nguo zake za kiume na akiwa mwanamume na cha kushangaza zaidi alimsikia muadhini yuleyule akimalizia Adhana kwa maneno ya Mwisho "Laila hailallah" .
Alivaa nguo zake na kuelekea msikitini..
Baada ya swala maswahaba walimkumbusha mtume juu swali aliloulizwa jana..na kabla hajajibu alimsimamisha Swahaba yuleyule aliemuuliza swali ili atoe jibu.
Alijibu ni Mwanamke na kisha Abal Qassim alikielezea kisa kizima kilichomkuta swahaba yule kama nilivyokihadithia.
4 Kwa suleiman bin Daudi hali hii ilitokea ya Time travell.Sulemain alikua na mwanafunzi wake ambae hakupenda kufa akiwa kijana..na kifo ni siri ya Allah Sw.basi yule kijana akamuomba suleiman amuombee afe akiwa mzee..suleiman akamuombea..kijana akafurah na kua na yakini za Dua za mtume ni Makubuul.
Siku ilifuata suleimani akiwa katka misafara yake na kijana wake Malaika mtoa roho akamfikia yule kijana.kijana aliogopa sana na akaamua kumfuata Suleiman na kumueleza kuna mtu amemjia anatisha sana.akamuelekeza mahala alipo.
Suleimani alupomuona akamwambia yule ni malaika mtoa roho.na amekuja kuichukua Roho yako.kijana akapagawa na kumuuliza kama dua yake haikukubaliwa.Suleimani akamwambia Asihofu dua yake ilkubaliwa.
Alichofanya suleimani ni kuuamrisha upepo umpeleke mashariki linapochomoza jua..sehemu hio kwa mwendo wa farasi mwenye kasi sana wakati huo angetumia miaka 50 kufika..na kuuamrisha upepo popote anapotaka apelekwe huyo kijana basi upepo umtii..
Upepo ule ulimsafirisha mpaka mashariki linapochomoza jua.kwa muda mfupi sana.alipofika hakukaa hata muda mrefu akamuona tena yule malaika mtoa roho..alipoona hivyo akauamrisha upepo umpeleke magharibi jua linapozama..ukafanya hivyo.ila alupofika msgharibi jua linapozama akamkuta pia malaika mtoa roho anamgojea..baada ya kuana hakuna pa kumkwepea mtoa roho akaamua kuuamrisha upepo umrudishe palepale alipoanzia safari yake akiwa na suleimani.alipofika kwanza alishangaa mno na alipowauliza wenyeji juu ya mfalme suleimani walimjibu kwa kumwambia mfalme huyo alikuwepo miaka 200 iliopita hali ya kua yeye bado kijana .
Muda mchache baadae malaika mtoa roho alimfikia na kuichukua roho yake..
Kisa hiki kina mafunzo mawili
1Time travel ipo na inatendeka ndani ya ulimwengu huu.
2.Pamoja na kuwepo kwake haitazuia kifo na hata utaratibu wa Qadari ya Allah sw.inawezekana kabisa watu kuishi kwenye past zao na Hata future zao..
Kinachofanyika ktk uweza wa Allah sw ni kun faya kun(kuwa na inakua),
Wanachofanya wanajitihada ( wanasayansi wa mambo haya) ni kupata kifaa maalumu kitakachothibitisha juu ya Nadharia hii ambayo imekuwepo enzi na enzi.
Kwanza kaka kabla sijasema chochote fatilia hivi visa viwili ulivyovisimulia hapa kisha utupe marejeo yako,yaani kile cha mwanaume kwa mwanamke na hiki cha nabii Suleimani.

Pil,suala la tukio la Israa na Miiraji halihusiani na Time Travel,labda uwe umeelewa vibaya.

Ili tendo au jambo litokee linahitaji nafasi na muda. Safari ya mtume kwenda mbinguni ni kuonyesha uwezo wa Allah pili,imekuka katila Qur'aan inaonyesha ya kuwa malaika wanapochukua matendo ya waja na kuyapeleka mbinguni hutumia siku moja ambayo ni sawa na miaka elfu moja kwetu,na kuna aya imekuja ikisema siku moja sawa na miaka elfu hamsini kwa tukio lingine.

Allah aliye juu alimchukua kweli mja wake roho na kiwili wili,na ule ni uwezo wa Allah aliye juu.
 
Bro Zuri mie nakukubali katika uchambuzi wa baadhi ya nadharia za kisayansi na ufafanuzi ktk uelewa wanasayansi wa kikufari.ila bado napata tabu juu ya neno la Qur an Mutashabiha.kama haya mambo mutashabiha yapo vip unakua unayafutu maswala ambayo ni mutashabia ambayo huna yakini nayo
Ili nipate pakuanzia,unaweza kuniambia ni jambo gani ambalo ni mutashabiha ?
 
Ili nipate pakuanzia,unaweza kuniambia ni jambo gani ambalo ni mutashabiha ?
1,Kusimama kwa mbingu saba na ardhi saba pasi na nguzo zinazoshikilia.
2.Siku za Uumbaji ni zipi.na Kati ya Maji na Àrsh kipi kilianza kuumbwa.
Hayo machache.
 
Kwanza kaka kabla sijasema chochote fatilia hivi visa viwili ulivyovisimulia hapa kisha utupe marejeo yako,yaani kile cha mwanaume kwa mwanamke na hiki cha nabii Suleimani.

Pil,suala la tukio la Israa na Miiraji halihusiani na Time Travel,labda uwe umeelewa vibaya.

Ili tendo au jambo litokee linahitaji nafasi na muda. Safari ya mtume kwenda mbinguni ni kuonyesha uwezo wa Allah pili,imekuka katila Qur'aan inaonyesha ya kuwa malaika wanapochukua matendo ya waja na kuyapeleka mbinguni hutumia siku moja ambayo ni sawa na miaka elfu moja kwetu,na kuna aya imekuja ikisema siku moja sawa na miaka elfu hamsini kwa tukio lingine.

Allah aliye juu alimchukua kweli mja wake roho na kiwili wili,na ule ni uwezo wa Allah aliye juu.
1.Labda nianze na mareje..sina kumbukumbu nzuri ila Kitabu kinaitwa "Ayatu al Quburatul Al Qubra.muandishi nimemsahau nikikumbuka nitakuambia na mlango wake pia.
2.Wewe hukunielewa bila shaka sikushika mantik ya kisa cha miraji kwenye safari ya isra wala ile ya miraji..maudhui nilioikusudia hata mayahudi walimuhoji..kwahio wewe kuhoji sishangai...Kusudio langu hapa niyeye kua kwenye future hali ya kuwa Hukmu ya watu wa motoni na peponi haijatokea..labda upinge na wewe kua ilikua ni ndoto.na kama unaamini alienda kama mtu kamili na basi alitangulia future kabla haijatokea..na mbali na kuwaona wanawake wengi motoni pia aliziona adhabu za ndani ya jahanam..aliwaona watu wana Ngozi kubwa kama tembo na kila walipokua wakiungua na kumalizika walivikwa tena ngozi ile.aliona vitu vingi ambavyo kwa akili ya kawaida ni ngumu kuamin...hili jambo la baadhi ya watu kuwa mbele ya wakati au kua nyuma ya wakati limeelezwa mara nyingi mnoo ndani ya Qur an na msemo wa kawaida kusikia Kwa Maulamaa kuwa"Qur an ipo mbele ya Wakati"
Amin nakuambia wapo mbele ya wakati na kuna baadhi ambao wapo nyuma ya wakati kwelikweli.
 
1.Labda nianze na mareje..sina kumbukumbu nzuri ila Kitabu kinaitwa "Ayatu al Quburatul Al Qubra.muandishi nimemsahau nikikumbuka nitakuambia na mlango wake pia.
2.Wewe hukunielewa bila shaka sikushika mantik ya kisa cha miraji kwenye safari ya isra wala ile ya miraji..maudhui nilioikusudia hata mayahudi walimuhoji..kwahio wewe kuhoji sishangai...Kusudio langu hapa niyeye kua kwenye future hali ya kuwa Hukmu ya watu wa motoni na peponi haijatokea..labda upinge na wewe kua ilikua ni ndoto.na kama unaamini alienda kama mtu kamili na basi alitangulia future kabla haijatokea..na mbali na kuwaona wanawake wengi motoni pia aliziona adhabu za ndani ya jahanam..aliwaona watu wana Ngozi kubwa kama tembo na kila walipokua wakiungua na kumalizika walivikwa tena ngozi ile.aliona vitu vingi ambavyo kwa akili ya kawaida ni ngumu kuamin...hili jambo la baadhi ya watu kuwa mbele ya wakati au kua nyuma ya wakati limeelezwa mara nyingi mnoo ndani ya Qur an na msemo wa kawaida kusikia Kwa Maulamaa kuwa"Qur an ipo mbele ya Wakati"
Amin nakuambia wapo mbele ya wakati na kuna baadhi ambao wapo nyuma ya wakati kwelikweli.

Ninachopinga ni kuepuka kifo..hicho ndicho ninachopinga...mlango wangu wa ufaham upo wazi kukubali kurudi past na hata kwenda future inawezekana isipokua haiwezi kuchange chochote katika Qadar ya Allah.
 
1.Labda nianze na mareje..sina kumbukumbu nzuri ila Kitabu kinaitwa "Ayatu al Quburatul Al Qubra.muandishi nimemsahau nikikumbuka nitakuambia na mlango wake pia.
2.Wewe hukunielewa bila shaka sikushika mantik ya kisa cha miraji kwenye safari ya isra wala ile ya miraji..maudhui nilioikusudia hata mayahudi walimuhoji..kwahio wewe kuhoji sishangai...Kusudio langu hapa niyeye kua kwenye future hali ya kuwa Hukmu ya watu wa motoni na peponi haijatokea..labda upinge na wewe kua ilikua ni ndoto.na kama unaamini alienda kama mtu kamili na basi alitangulia future kabla haijatokea..na mbali na kuwaona wanawake wengi motoni pia aliziona adhabu za ndani ya jahanam..aliwaona watu wana Ngozi kubwa kama tembo na kila walipokua wakiungua na kumalizika walivikwa tena ngozi ile.aliona vitu vingi ambavyo kwa akili ya kawaida ni ngumu kuamin...hili jambo la baadhi ya watu kuwa mbele ya wakati au kua nyuma ya wakati limeelezwa mara nyingi mnoo ndani ya Qur an na msemo wa kawaida kusikia Kwa Maulamaa kuwa"Qur an ipo mbele ya Wakati"
Amin nakuambia wapo mbele ya wakati na kuna baadhi ambao wapo nyuma ya wakati kwelikweli.
nakubaliana na maelezo yako umefikiria vizuri sana kuhusu hilo sulala.labda tofauti ni kuwa ALLAH hakusem kuwa huyo ni time travelling.

ila kwa time travelling wanayoielzea hao wanafizikia basi hata zile za kwenye Qurani tunaqeza kuzitia kwenye time travelling kwa sababu tukio la Mbele mtu analiona sasa wakati wale anaowaona bado wako kwingine kawaacha.

Mtume kwenda miiraji alisafiri kwa spidi kubwa sana na yule mnyama alafu akaona mambo ya futuree sijui pana nini kati ya spidi na future.

ila tu ninchoamini ya kuwa Mtume alisafiri na kuona future kwa taufiqi ya Mola mlezi
 
nimevutiwa na maelezo mkuu.

sasa labda wewe kwa unavoelewa ili mtu usafiri uende kwenye past ufanyeje..?

je uwe na spidi kali sana ukitembea huko angani ?

au uwe na spidi kali ukitembea hapa duniani ?

naamini dunia in Mengi sana na hizi tafiti za wanasayansi zinazidi kuniongezea imani yangu juu ya DINI HII YA kiislamu.

maana ninaona kabisa kwamba kuna mambo ya aabu yapo katika uislamu ambayo najiuliza hao waliyoyanukuu walikuwa na ujasiri gani kunukuu ?

ina maana hawakuhofia kwamba watu watahisi ni uongo kama vile mtume muhammad kwenda miiraji n. k

kuna hadithi inasema "katik pepo kuna daraja mia, baina ya daraja na daraja katika hizo daraja mia upishano wake ni baina ya mbingu na ardhi "

mtu anawezakuona hizi ni stori za kutunga lkini hata wanasayansi sasa hivi wanatuambia kwamba hata umbali baina ya nyota moja na nyingine unaweza kufika KM 340000 sasa angalia kuna nyota ngapi huko juu na huo umbali baina ya nyota na nyota ?

pia wanasema watu wa astronomy ya kuwa kuna madudu makubwa huko juu ambayo ukubwa wake basi jua lijirudie siochini ya mara 1000(kwa uchache) ndo linaweza kufanana na hayo madudu.

kiufupi Uislamu umeeleza Mengi sana ambayo wanasayansi ndo wanatafuta sababu zao na kuzielezea hapo.

lakini mimi najikita sana na kufatilia mambo ya astronomy huko nazidi kuamini kwamb Qurani imetoka Kw Mungu.

yani inaonesha ya kuwa dunia ni kijitu kidogo sana katika uislamu.kwa sababu mifano inayppogwa na Mafundisho ya uislamu ni mifano ambayo mtu anaweza kuona ni kujikuza lakini ipo kwa hakika.
Kaka jambo hili litatokea tu isipokua litatokeaje sina jibu...labda nikupe mfano mmoja miaka 1441 iliopita kuna mtu mmoja jina Muhammad alisafiri kwa kasi ya ajabu na kiumbe anaefanana na farasi lakini mwenye mbawa mbili za kuruka angani.alisafiri umbali ambao watu wa wakati wake walkua wakitumia mwezi 1 kwenda na mwezi 1 kurudi...ila yeye alitumia Robo ya usiku tu yaani masaa 3 kwenda na kurudi.alipowaambia watu wake walimbishia na kumpinga kiasi ambacho waliamua kumuweka kitimoto ili awape màjibu ya maswali ya mambo alioyaona kwenye msikiti wa Al aqsa.
Kumbuka ameenda usiku na vitu vingi kuonekana kwenye giza ni ngumu sana.hapa ndio mwanzo wa kuvumbuliwa kwa tv na live coverage.
Aliletewa msikiti wote mbele yake..na kila swali la sehemu alilokua akiulizwa.alionyeshwa na alijibu kwa ufasaha zaidi na ziada ya vitu vigine..
Hapa nakusudia kukueleza mambo makuu mawili.
1.hakuna aliejua kutavumbuliwa chombo kinachoitwa ndege ambapo itakua Kikipaa na mwendo wa kasi kama Mnyama Buraq ambacho kwa muda mfupi kinaweza kwenda km nyingi kikiwa kimebeba abiria au mizigo..
2,Kuwekewa kioo(tv),ambacho kilimuwezesha kuona eneo lote la msikiti..wengi hawakuamini isipokua wachache tu.na hili jambo kwa lugha ya malkia linaitwa "Future Past".
Miaka 1300 baadae vyombo hivyo vimekua Real...Amin hata kama Mimi na wewe hatutoshuhudia jambo hilo.
 
1,Kusimama kwa mbingu saba na ardhi saba pasi na nguzo zinazoshikilia.
2.Siku za Uumbaji ni zipi.na Kati ya Maji na Àrsh kipi kilianza kuumbwa.
Hayo machache.

Maswali yako mazuri. Kwanza naanza kwa utangulizi mfupi kisha nitakupa mifano na marejeo ya vitabu ukapitie na ninafanya hivyo ili kuepuka kukosea.

Mwanachuoni mkubwa aitwae Imaam Shawkaniy Allah amrehemu,alipata kusema hivi "Maneno ya Allah aliye juu haya pingani kwa yenyewe,na ukihisi au kuona yanapingana basi kitu cha kitu cha kwanza ituhumu akili yako kwa kushindwa kung'amua maana ya aya hizo au ituhumu elimu yako kwa kushindwa kuidiriki maana a aya husika"

Wanazuoni wengine wakafika mbali na kusema ya kuwa mpaka maneno ya mtume hayapingani kadhalika. Kutokana na hali hiyo,katika fani ya misingi ya tafsiri ya Qur'aan utakuta kipengele cha "Kupatanisha" (Reconcile) aya ili zilete maana moja na katika katika hadithi vile kuna upatanishaji wa hadithi,na hapa kuna mifano mingi.

Tukianza na suala ya siku za uumbaji,idadi kamili ni siku sita na hili limethibitishwa katika aya zote,bali kuna wale ambao hawakuelewa maandiko na kujitia wajuaji na kusema Qur'aan imesema uongo kwamba idadi ni siku nane,hapa wao wanaosema ni siku nane nio waongo,kwani kuna kuumba na kuweka,wao wakaona kuweka ni kuumba pia,hili la idadi ya siku za uumbaji nilishamjibu mtu mmoja humu.

Ama suala la kwanza la kusimama mbingu na dunia pasi na nguzo,hili kuna mapokezi nimepata kuyasikia ya kuwa kuna malaika ambao wamepewa kazi hiyo ya kushikilia mbingu na ardhi na hawa hawawezi luwa nguzo kama mtu akisema hao ni badala ya nguzo. Hili nitalifatilia ili kuona mapokezi hayo wanazuoni wameyapatanisha vipi wakapata jibu moja.

Nakupa mfano mmoja,kuna hadithi zimepokewa katika maana tofauti kutokana na matukio aliyo fanya mtume,hapa sitakunukulia matini bali nakupa maana,kuna hadithi moja ilionyesha ya kuwa mtume wa Allah amani iwe juu yake alisema mtu ukishika utupu udhu umetenguka,lakini kuna mapokezi mengine mtume alionekana eshika utupu wake lakini akasali bila ya kushika udhu,sasa mapokezi haya wanazuoni walivyoyapatanisha wakapata jibu moja ya kuwa "Mtu ukishika tupu yako kwa matamanio udhu unakutoka", kwa maana yanakuwa yamefanyiwa kazi mapokezi yote mawili.

Allah anajua zaidi,na popote nilipokosea basi ni kwa udhaifu ila Allah ahusiki na makosa hayo na ukamilifu ni wake.
 
nakubaliana na maelezo yako umefikiria vizuri sana kuhusu hilo sulala.labda tofauti ni kuwa ALLAH hakusem kuwa huyo ni time travelling.

ila kwa time travelling wanayoielzea hao wanafizikia basi hata zile za kwenye Qurani tunaqeza kuzitia kwenye time travelling kwa sababu tukio la Mbele mtu analiona sasa wakati wale anaowaona bado wako kwingine kawaacha.

Mtume kwenda miiraji alisafiri kwa spidi kubwa sana na yule mnyama alafu akaona mambo ya futuree sijui pana nini kati ya spidi na future.

ila tu ninchoamini ya kuwa Mtume alisafiri na kuona future kwa taufiqi ya Mola mlezi

Kaka sio tu alionyeshwa alikuwepo kwenye future hio na kuna mambo aliyafanya kuwaombea baadhi ya watu wa motoni..ninachokwambia alirudi dunian(Past) kutimiza Qadar.
Mf watu wengi wanachukulia katika angle moja tu baadhi ya hadithi ambazo mtume alikua akiwaambia alipokua msikitini kwake kuwa "Mtu atakae ingia sasa hivi ni mtu wa Peponi",
Alikua hatabiri bali maswahaba hao tayari alikuwa na ndani ya future...ila hakuweza kuzuia kifo chake kwa sababu kuwa mbele ya muda au nyuma ya muda hakubadilishi chochote kwenye Qadar ya Allah.
Mf ni Qadar ya Adam na Hawaa ilikua ni lazima kupitia juu ya uso wa dunia..future ya malaika kuwaona wanavyomwaga dam na kufanya ufisadi haikubadili chochote japo zilipita dahari na dahari hali ya kua ni sanam la udongo.
Mf huu niliokupa una maana hii wapo malaika na wanaadam ambao tayari wanaishi kwenye past zao na future zao.ila tunapitia present kutimiza kadar zetu.
 
Maswali yako mazuri. Kwanza naanza kwa utangulizi mfupi kisha nitakupa mifano na marejeo ya vitabu ukapitie na ninafanya hivyo ili kuepuka kukosea.

Mwanachuoni mkubwa aitwae Imaam Shawkaniy Allah amrehemu,alipata kusema hivi "Maneno ya Allah aliye juu haya pingani kwa yenyewe,na ukihisi au kuona yanapingana basi kitu cha kitu cha kwanza ituhumu akili yako kwa kushindwa kung'amua maana ya aya hizo au ituhumu elimu yako kwa kushindwa kuidiriki maana a aya husika"

Wanazuoni wengine wakafika mbali na kusema ya kuwa mpaka maneno ya mtume hayapingani kadhalika. Kutokana na hali hiyo,katika fani ya misingi ya tafsiri ya Qur'aan utakuta kipengele cha "Kupatanisha" (Reconcile) aya ili zilete maana moja na katika katika hadithi vile kuna upatanishaji wa hadithi,na hapa kuna mifano mingi.

Tukianza na suala ya siku za uumbaji,idadi kamili ni siku sita na hili limethibitishwa katika aya zote,bali kuna wale ambao hawakuelewa maandiko na kujitia wajuaji na kusema Qur'aan imesema uongo kwamba idadi ni siku nane,hapa wao wanaosema ni siku nane nio waongo,kwani kuna kuumba na kuweka,wao wakaona kuweka ni kuumba pia,hili la idadi ya siku za uumbaji nilishamjibu mtu mmoja humu.

Ama suala la kwanza la kusimama mbingu na dunia pasi na nguzo,hili kuna mapokezi nimepata kuyasikia ya kuwa kuna malaika ambao wamepewa kazi hiyo ya kushikilia mbingu na ardhi na hawa hawawezi luwa nguzo kama mtu akisema hao ni badala ya nguzo. Hili nitalifatilia ili kuona mapokezi hayo wanazuoni wameyapatanisha vipi wakapata jibu moja.

Nakupa mfano mmoja,kuna hadithi zimepokewa katika maana tofauti kutokana na matukio aliyo fanya mtume,hapa sitakunukulia matini bali nakupa maana,kuna hadithi moja ilionyesha ya kuwa mtume wa Allah amani iwe juu yake alisema mtu ukishika utupu udhu umetenguka,lakini kuna mapokezi mengine mtume alionekana eshika utupu wake lakini akasali bila ya kushika udhu,sasa mapokezi haya wanazuoni walivyoyapatanisha wakapata jibu moja ya kuwa "Mtu ukishika tupu yako kwa matamanio udhu unakutoka", kwa maana yanakuwa yamefanyiwa kazi mapokezi yote mawili.

Allah anajua zaidi,na popote nilipokosea basi ni kwa udhaifu ila Allah ahusiki na makosa hayo na ukamilifu ni wake.
M/mungu akuzidishie maarifa inshallah ila bado nadhani hatujawa pamoja..
1.Nimekueleza vitu ambavyo ni mutashabiha sio kwa Allah sw ila kwa sisi wanaadam.
Kuhusu siku za uumbaji sikukusudia kama zilivyoelezwa ndani ya Qur an .yaan baada ya majumuisho mbili mbingu mbili ardhi na nne viumbe hai na vyoote vinavyoonekana na visivyoonekana..sikukusudia hilo maana limeishajibiwa na qur an yenyewe allah aliposema kuwa "hawakuona makafiri kua mbingu na Ardhi vilikua kitu kimoja kisha Tukavibandua"sayansi imethibiti kwa Thiori ya Big bang..sikumaanisha hivyo.nilimaanisha hivi kabla ya uumbaji hakukua na jua wala hii dunia kwa hio usiku na mchana haukuwepo.hivyo ni siku zipi zilizotumika...ndio sbb nikakwambia kitu hicho mutashabiha..
2.swala LA mbingu kussimama bila nguzo ni lenye kutatanisha ndio sababu linaingia kwenye mambo ambayo ni mutashabiha.
3,niongezee Mtume (saw) alipoenda Safari ya Miraji Alimuona Allah sw au Hakumuona.
 
M/mungu akuzidishie maarifa inshallah ila bado nadhani hatujawa pamoja..
1.Nimekueleza vitu ambavyo ni mutashabiha sio kwa Allah sw ila kwa sisi wanaadam.
Kuhusu siku za uumbaji sikukusudia kama zilivyoelezwa ndani ya Qur an .yaan baada ya majumuisho mbili mbingu mbili ardhi na nne viumbe hai na vyoote vinavyoonekana na visivyoonekana..sikukusudia hilo maana limeishajibiwa na qur an yenyewe allah aliposema kuwa "hawakuona makafiri kua mbingu na Ardhi vilikua kitu kimoja kisha Tukavibandua"sayansi imethibiti kwa Thiori ya Big bang..sikumaanisha hivyo.nilimaanisha hivi kabla ya uumbaji hakukua na jua wala hii dunia kwa hio usiku na mchana haukuwepo.hivyo ni siku zipi zilizotumika...ndio sbb nikakwambia kitu hicho mutashabiha..
2.swala LA mbingu kussimama bila nguzo ni lenye kutatanisha ndio sababu linaingia kwenye mambo ambayo ni mutashabiha.
3,niongezee Mtume (saw) alipoenda Safari ya Miraji Alimuona Allah sw au Hakumuona.

Amiin, Allah atuzidishie sote elimu na maarifa katika dini.

Hapa niseme sasa wewe ndio hunielewi mimi ila unacho kizungumzia ndio nilicho kielezea mimi na nimekupa msingi wa wanachuoni ambao huwa wanautumia kupata maana moja ya maandiko ambayo watu uhisi yana utata au kupingana.

Nukta zote unazozitoa weww laiti kama ungeelewa nilicho kiandika usinge uliza tena maswali haya. Hizo nukta tatu hazina utata,ndio maana nilinukuu kauli ya Imaamu ash Shawkaniy.

Msingi wa hoja zako ni utata katika maandiko na huu ndio msingi wangu pia,nikakwambia maandiko hayana utata bali ni elimu yako kuwa ndogo.

Nakuuliza wewe,suala mbingu kusimama bila nguzo utata wake uko wapi ? Na je kuna andiko lolote linapingana na hilo ? Na kama linapingana wewe huwa unaumia njia gani kuondokewa na utata huo ?

Mtume hakumuona Allah alipoenda Miiraji.

Pili,nakusahihisha usilinganishe kitendo cha Allah aliye juu kuibabandua dunia na mbingu ukalinganisha na Big Bang Theory hivi ni vitu kando kabisa. Labda kama uwe huijui hii nadharia vizuri.

Kabla ya uumbaji alikuwepo Allah peke yake. Na akasema Allah aliye juu :

36. Hakika idadi ya miezi kwa Mwenyezi Mungu ni miezi kumi na mbili katika hukumu ya Mwenyezi Mungu tangu alipo umba mbingu na ardhi. Katika hiyo iko mine mitakatifu. Hiyo ndiyo Dini iliyo sawa. Basi msidhulumu nafsi zenu humo. Na piganeni na washirikina wote kama wao wnavyo pigana nanyi nyote. Na jueni kuwa Mwenyezi Mungu yu pamoja na wachamngu. (at Tawbah : 36)
 
sikumaanisha hivyo.nilimaanisha hivi kabla ya uumbaji hakukua na jua wala hii dunia kwa hio usiku na mchana haukuwepo.hivyo ni siku zipi zilizotumika...ndio sbb nikakwambia kitu hicho mutashabiha..

Kaka naomba nikusaidie kitu kimoja,huu utata unaojaribu kuuleta ni kutokana na wewe kuhoji au kujiuliza ila hujatoa andiko lolote linalo onyesha utata huo. Hili ni tatizo lako binafsi na linaonyesha kuna misingi umekosa misingi ya elimu bali una uchache wa maarifa juu ya Mola wako na maumbile,hizi huwa tunaziita "Talibisaat" kwa wingi na "Talibis" kwa umoja na mara nyingi huletwa na Shetani. Ukisoma kitabu kiitwacho "Talbisi Ibilis" cha Imaamu Ibnul al Jawziy utaona.

Unachotakiwa kujua ni kuwa Allah hafungwi na wakati,na muda ni miongoni mwa viumbe vyake,ndio maana tukaambiwa kwake yeye siku moja ni sawa miaka elfu moja,na jua na mwezi kwetu sisi na kuwepo kwa usiku na mchana ni kwa ajili ya kujua idadi ya miaka na kudhibiti mahesabu.

Kwahiyo aya hazina utata bali utata unatokana na wewe kuwa na maarifa machache.

Pili,naomba nikuulize swali la msingi sana,huwa unatumia Tafsiri gani miongoni mwa Tafsiri za Qur'aan. Naomba untajie jina la Tafsiri na muandishi wake.
 
Amiin, Allah atuzidishie sote elimu na maarifa katika dini.

Hapa niseme sasa wewe ndio hunielewi mimi ila unacho kizungumzia ndio nilicho kielezea mimi na nimekupa msingi wa wanachuoni ambao huwa wanautumia kupata maana moja ya maandiko ambayo watu uhisi yana utata au kupingana.

Nukta zote unazozitoa weww laiti kama ungeelewa nilicho kiandika usinge uliza tena maswali haya. Hizo nukta tatu hazina utata,ndio maana nilinukuu kauli ya Imaamu ash Shawkaniy.

Msingi wa hoja zako ni utata katika maandiko na huu ndio msingi wangu pia,nikakwambia maandiko hayana utata bali ni elimu yako kuwa ndogo.

Nakuuliza wewe,suala mbingu kusimama bila nguzo utata wake uko wapi ? Na je kuna andiko lolote linapingana na hilo ? Na kama linapingana wewe huwa unaumia njia gani kuondokewa na utata huo ?

Mtume hakumuona Allah alipoenda Miiraji.

Pili,nakusahihisha usilinganishe kitendo cha Allah aliye juu kuibabandua dunia na mbingu ukalinganisha na Big Bang Theory hivi ni vitu kando kabisa. Labda kama uwe huijui hii nadharia vizuri.

Kabla ya uumbaji alikuwepo Allah peke yake. Na akasema Allah aliye juu :

36. Hakika idadi ya miezi kwa Mwenyezi Mungu ni miezi kumi na mbili katika hukumu ya Mwenyezi Mungu tangu alipo umba mbingu na ardhi. Katika hiyo iko mine mitakatifu. Hiyo ndiyo Dini iliyo sawa. Basi msidhulumu nafsi zenu humo. Na piganeni na washirikina wote kama wao wnavyo pigana nanyi nyote. Na jueni kuwa Mwenyezi Mungu yu pamoja na wachamngu. (at Tawbah : 36)

Nadhani tofauti iliopo kati yangu na wewe ni wakimantik zaidi..Ninakuelewa..ila kiukweli sijatosheka na sababu kubwa ya Mimi kutotosheka nikua nimeisahau kabisaa Aya inayozigawa aina za aya zilizopo ndani ya qur an...nimekumbuka aina 2 tu.Mutawatil na Mutashabiha ya 3 nimeisahau na aya yenyewe pia nimeisahau..ningejenga msingi wa tofauti yangu na yako kupitia aya hio..
"Itoshe tu kusema kua "Kwa hakika M/mungu alikua nae yu vilevile alivyokua kabla hajaumba mambo haya. Inshallah nikikumbuka nitajenga hoja hii.
 
Katika vitu ambavyo vimethibitisha Mimi ni kilaza ni hii time traveling.Mbali na kwamba je inawezekana kutokea hata kuielewa tu nimeshindwa.

Nimesoma Sana kuhusiana na hii kitu plus kuangalia movie Lakini wapi huwa siielewi kabisa.
Pia nami mkuu, na hasa kipengele kisemacho ili "unatakiwa usafiri kwa spidi kuliko mwanga" iwe past or future, yaani unasafirije kwenda juzi au kesho kutwa....ukiwa ndotoni au unasafirije hasa....
 
Kaka naomba nikusaidie kitu kimoja,huu utata unaojaribu kuuleta ni kutokana na wewe kuhoji au kujiuliza ila hujatoa andiko lolote linalo onyesha utata huo. Hili ni tatizo lako binafsi na linaonyesha kuna misingi umekosa misingi ya elimu bali una uchache wa maarifa juu ya Mola wako na maumbile,hizi huwa tunaziita "Talibisaat" kwa wingi na "Talibis" kwa umoja na mara nyingi huletwa na Shetani. Ukisoma kitabu kiitwacho "Talbisi Ibilis" cha Imaamu Ibnul al Jawziy utaona.

Unachotakiwa kujua ni kuwa Allah hafungwi na wakati,na muda ni miongoni mwa viumbe vyake,ndio maana tukaambiwa kwake yeye siku moja ni sawa miaka elfu moja,na jua na mwezi kwetu sisi na kuwepo kwa usiku na mchana ni kwa ajili ya kujua idadi ya miaka na kudhibiti mahesabu.

Kwahiyo aya hazina utata bali utata unatokana na wewe kuwa na maarifa machache.

Pili,naomba nikuulize swali la msingi sana,huwa unatumia Tafsiri gani miongoni mwa Tafsiri za Qur'aan. Naomba untajie jina la Tafsiri na muandishi wake.

Shekh zur tupo pamoja my bro..Kwa kawaida hua sina mazoea ya kumtegemea mfasiri mmoja ninapokua natafuta maarifa katika jambo fulani..Ila napenda kua muazi katika swala la uumbaji nimejishibisha sana na kumkubali al Alama "Makarim Shiraz..hasa kwenye Atafsiru Nemuneh Juzuu 6 ukurasa wa 202,,shekh kama hujapita hapo nakuomba kapite ili angalau Uzione nyakati 6 za uumbaji.
Kuhusu Allah sw kutobanwa na muda hilo sina shaka nalo hata kidogo...hapa labda nikueleze ninavyojielewa na ninavyokuelewa...
Mimi nipo upande wa mwanaadam na bila shaka akili yangu ya kufikiria imewekewa kikomo.na huo ndio udhaifu wangu na bila shaka lazima niyaone baadhi ya mambo yana utata...
Lakini wewe..utaniwia radhi kama lugha itakua si yakukupendeza kidogo...Umejiweka kundi la Upande wa Allah sw..kwanin nasema hivyo..Wewe umeishahukumu na kufunga mjadala wa kutafakari..na sbb unahisi kua wenye mawazo tofauti na ulichohukumu wana Elimu ndogo...mf umehukumu nukta 2 tulizojadili bila uthibitisho wa aina yoyote.
1,Umehukumu kua mbingu saba zimesimama bila nguzo hali ya kua huna ushahidi wa aina yoyote
2.Mtume saw hakumuona Allah sw wakati alipoachana na jibril na kwenda peke yake kukutana na mola wake sehemu ambayo hakuna kiumbe yeyote aliewahi kufika huko isipokua yeye tu..
Na Mtume alipoulizwa kua Umemuona Allah sw jibu lake lilikua ni Nuru.Nuru.Nuru..swali langu ni Wewe umejuaje kua hakumuona kama wewe haupo upande wa mungu..?niwie radhi kwa mara nyingine kama nitakua nimekukwaza ..sikua na nia hio lengo langu ni mjadala uwe na afya na kuongeza maarifa.
 

Similar Discussions

81 Reactions
Reply
Back
Top Bottom