Time Travel: Je, linaweza kuwa suluhisho la kifo?

Simple dissagree ndio hua nakataa.. mimi napenda kama unabisha unakuja na fact mkuu
Wale physicist walio tengeneza meli ma maginetics field ili wasionekane kwenye ladaa ya maadui walikuwa hawajui kama wanatengeneza mfano wa time machine kilicho wakumba ni matatizo tu meli ilikuwa inshift places but within the sametime vichaa wakuyosha vifo wengine hawakurudi na vilema, time travels is something natural na sio artificial
 
Wale physicist walio tengeneza meli ma maginetics field ili wasionekane kwenye ladaa ya maadui walikuwa hawajui kama wanatengeneza mfano wa time machine kilicho wakumba ni matatizo tu meli ilikuwa inshift places but within the sametime vichaa wakuyosha vifo wengine hawakurudi na vilema, time travels is something natural na sio artificial
Hii kitu hata mimi niliwaza hivyo, kuna uwezekano Time Travel ipo ila kiroho zaidi, sina ujuzi sana wa mambo haya lakini nawaza huenda ikawa ipo hivyo na ndio maana huwezi kubadilisha tukio lolote zaidi utakuwa mtazamaji wa matukio yaliyotokea miaka hiyo.
 
Hii kitu hata mimi niliwaza hivyo, kuna uwezekano Time Travel ipo ila kiroho zaidi, sina ujuzi sana wa mambo haya lakini nawaza huenda ikawa ipo hivyo na ndio maana huwezi kubadilisha tukio lolote zaidi utakuwa mtazamaji wa matukio yaliyotokea miaka hiyo.
Na mara nying wanarudig nyuma na sio kwenda mbele
 
Naam,
Philadelphia experiment iliwashinda na kusababisha crewmen kudata, ulemavu, vifo na wengine kujikuta miili yao imeungana na vyuma vya meli
Wale physicist walio tengeneza meli ma maginetics field ili wasionekane kwenye ladaa ya maadui walikuwa hawajui kama wanatengeneza mfano wa time machine kilicho wakumba ni matatizo tu meli ilikuwa inshift places but within the sametime vichaa wakuyosha vifo wengine hawakurudi na vilema, time travels is something natural na sio artificial
 
mkuu kisa chako kimefanana na kilichomkuta na kaka angu mtoto wa mama mkubwa, yeye alienda kulala na kaka zake akapotea usiku huo. walitafuta kila kona ya nyumba walimkosa. majirani wamejaa alishaletwa hadi mtaalamu ndio akapatikana chini ya meza akiwa haongei yupo kama bubu.. yeye alisema alipelekwa ndani ya msufi!

Uchawi wa kiafrika ni teknolojia isiyo na manufaa kwetu ila wazungu kwao wanatumia kwa manufaa... Kwenye Intelligence,afya,ujenzi kote huko wao wana back up ya Magic ila sisi huku duuh. labda kulimishana
Sijui kwanini wenye taaluma hii wameshindwa kuifanya ya kisasa?
 
Time travel fikiria km relocation through time, sio travelling km unatoka dar kwenda mwanza, ni physical relocation in time, au time and space, mfano sahv uko 2019 ila ikija kuwa possible kurelocate mwaka 1098 au 2020 unakuwa umesafiri through time na kuwepo physically ktk hiyo miaka na muda huo, so still theoretically not possible ila ikija kufanikishwa itaruhusu objects na individuals kufanya hayo,
"why there are no tourists from the future?"
 
Umetishaa sana aisee, big up to you... Wadada zetu wanafatiliaga Kyle jenner/Kardashians wakati na uwigo mkubwa sana of very interesting subjects..
Kuna series inaitwa Bing Bang theory napenda wana yo discuss hizi concepts in a very scientific way
Yaani hadi hao Kardashians nawafuatilia. Hamna nisichofuatilia.
Hiyo Big Bang theory nikajua ipo kama Parks and Rec kumbe ni scientific hivyo? Nitaifuatilia.
 
"why there are no tourists from the future?"
Are you sure?
And what is so special about 2019 or this decade over other years, that a time tourist should visit?
What if time travel in the future is not some leisurely activity and it's highly restricted?
 
According to Einsteins Relativity, one needs to travel faster than the speed of light in a vacuum to go back in time.

But even for an infinitesimally small subatomic particle, the speed of light is the speed limit of this universe.

As something approaches the speed of light, no matter how small its mass, the energy it needs to move it furtheqr approaches infinity.

So, in order to transport even the smallest imaginable mass back in time, one will need infinite energy

That is why, according to Einstein's Relativity, time travel to the past is not possible.
 
According to Einsteins Relativity, one needs to travel faster than the speed of light in a vacuum to go back in time.

But even for an infinitesimally small subatomic particle, the speed of light is the speed limit of this universe.

As something approaches the speed of light, no matter how small its mass, the energy it needs to move it furtheqr approaches infinity.

So, in order to transport even the smallest imaginable mass back in time, one will need infinite energy

That is why, according to Einstein's Relativity, time travel to the past is not possible.
How about the future????????
 
How about the future????????
Time travel to the future is possible.

It can be arranged to be essentially governed by time dilation due to the difference between to frames of reference, one supposedly stationary (such as the earth) and another moving near relativistic speeds.

If one were to go to Alpha Centauri, our neighbouring star system, at speeds approaching the speed of light in a vacuum, the time dilation effect could make it such that, to the person on the spaceship, the trip could take only 10 years, going and returning to earth, while on earth a much longer time, perhaps 100 years will have passed.

The exact time dilation chart is given in the link below.

The person making this trip will age only by 10 years, the passage of time on the spaceship will only be 10 years, while on earth, upon returning, he will possibly be around the same age as his grandchildren. If his children are surviving, they will possibly be older than their father.100 years will have passed on earth.

Still, achieving this, while not impossible, is nearly impossible by current technology due to the huge energies and technological challenges.

The more exact time dilation chart is below.

 

Similar Discussions

81 Reactions
Reply
Back
Top Bottom