Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,879
- 38,504
Maelezo kidogo. Me najuaga ni movie wala hayana uhalisia
kwamba niandike au picha, kama picha nishaweka
kwamba niandike au picha, kama picha nishaweka
Kama unaangalia muvi tu kama muvi hivyo huwezi kuona kama ni ukweli.. iko hiviMaelezo kidogo. Me najuaga ni movie wala hayana uhalisia
Kama unaangalia muvi tu kama muvi hivyo huwezi kuona kama ni ukweli.. iko hivi
Vampires hawezi kuzalisha kiasi cha kutosha cha hemoglobinhivyo inawafanya waipate kwa kunywa damu ya binaadamu.wanafanya hivo kwakua damu hiyo yenye haemoglobin inawafanya waweze kupata nishati mwilini mwao ili waweze kuishi. Lakini pia inasemekana kua huwa wanakunywa damu ili ku-extract vitamin D ambayo ipo kwenye damu ya binaadmu ambayo vitamin D hiyo sisi twaipata kwenye mwanga wa jua, kumbuka Vampire hawawezi kukaa kwenye mwanga wa jua kwakua jua inawakilisha nguvu ya Mungu, pia huogopa sana Msalaba,maji ya baraka na silver. Vampire mara nyingi walitoka na wafu ambao waliuawa kwa ajil ya kwenda kinyume na kanisa
Inasemekana walikuwepo ila yawezekana pia bado wapo...
miaka ya 1400s/1500s waliwindwa sana na kanisa, kulikua na timu kabisa ya kupambana nao. kwa sababu siku hizi hawaonekani twaweza sema kua hawapo ila yawezekana twaishi nao. ni kama vile Ulaya/marekani ilivyoamua kutokomeza wachawi wote, twaweza kusema waliwamaliza wote kwakua hawonekani tena ila yawezekana wapo ukizingatia science ni Modern MagicHawafi wala hawazeeki na wanaishi hata miaka 500+
Yaani tuje tu hivi hivistephen hawking kwenye kitabu chake cha "brief answers to the Big Question "
ameelezea posibility ya Time Travell ni ndogo kwa sasa kutokea.........
mwaka 2009 alihost party kwa ajili ya time travell lakini hakuna aliyetokea hata mmoja,,,
hakutuma kadi za mwaliko until party ilivyoisha akiamini kama kuna time traveller wa ukweli wangekuja kwenye party....
siku ya party hakuna mtu aliyejitokeza kwenye party........
Kama ungeweka hicho kitabu ingesaidia Sana kutuweka katika wakati flani kugundua utofauti na kuufanyia kazi kwa viwango vyetu lakini usipo weka haujatutendea hakisiwezi kukupa since ushasema kimeandikwa na wanadamu...so what is your point of truth then....??
Unaamini kwenye nini hasa mkuu....?? how is reality happening kama sio mental construct coz kila ukionacho ni illusion..hivi unajuwa ni kwanini reality ipo tofauti kwa kila mtu ..? means you perceive things differently from others.....ndo mana tunasema mind reality is basing on your creation of reality.....any way ni somo pana mkuu...sio rahisi kuelewana kirahisi kwa vibandiko vya hapa JF but ni somo mkuu.....wenye ulimwengu wanatucontrol kupitia hiyo mind manipulation coz ukiweza kumanipulate mind tayari ushahamisha reality mkuu...wanacheza na mind coz mind creates reality.....I dare to make you understand lakini ushajiwekea mentality ya kutokuelewa hilo so I fail to conquer your opinion...
Nasubiri Daku mkuu bado masaa 3 ,,karibu,
Umeeleweka sananot proven .....kuna posibility kuwa technology ni matokeo ya kuview future kisha kuendana na mfumo huo au kuoneshwa namna ya kufanya na watu waliopo mbele ya future yetu...kwa sababu higher realm ni future katika 3D realm...probably we are visited by leople from the future( higher dimension realm)..
We can't see the future kwa sababu the distinction in time can not be measured by time scale tunayoitumia....na ndo mana future inabaki kama another plane of realm...means we have to change into morphology to view the future likewise beings who are beyond our present time are viewing us in past like experience ndo mana wanakuja kutupa technolojia mpya.....
probably kuna beings wapo beyond our present time measuring scale tuliyonayo....ni kama unampa mtu ushauri ambaye yupo jana ila wewe upo leo since he hasn't seen today....inaweza ikawa hivo make Siri nyingi bado zipo closed...
ukienda huko Alaska marekani kuna kituo kinachotoa update za ulimwengu specifically dunia inavyokwenda hasa katika mambo ya tabia nchi na mambo mengine ...kituo hicho kinaitwa HAARP na kinatoa utaratibu jinsi dunia inavyoenda kuanzia updates za kesho au mwezi ujao na mpaka next year huku matukio yote yanakuwa yashaoredheshwa chronogically what is going to happen na ndo hapo hapo tunapata utabiri wa hali ya hewa....hayo ma kimbunga Isaak sijui nani yote yanakuwa predicted kupitia HAARP technology...
hivi bado watu hawaoni tunaview future kwa aina yake....kitendo
cha kujua tukio litakalo tokea kesho kutwa midaa flani ni kuview the future mkuu ,jamaaa hawataki kusema ukweli but technolojia hii ipo na inafanya kazi kwa siri sana.
Nilikuwa napita hii andiko ina kitu cha kufikirisha ubongo zaidi.nikweli mkuu...you are right.....the future is determined by your imagination..we need something to explain this..whatever. you imagine is whta going. to manifest into physical form. of reality......
The mind (mental) through imagination is the engine of your future....nothing comes out without mental imagination..
Mkuu kuna kitu nakifanya hapa nikimaliza natamani tuliweke sawa hili jambo...life is illusion brought by mental construct unles perceived in reality.....reality is constructed by your mental....your mental mind creates your reality of your future....
Wewe Una maarifa gani?WATU WANGU WANA ANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA
Kivipi mkuu??
Hivi ushawahi kufikiri kuwa bila ya kifo watu wote walio kufa wabgekuwepo dunian tungetosha?
Yeah great oneTo create life, a life must be taken.
Kivipi mkuu??