Time Travel: Je, linaweza kuwa suluhisho la kifo?

nakazia tu,pia tafuta movie ya Interstellar hii concept ya time travel imeelezewa vizuri
kwa ufupi mdingi amesafiri kwenye future kamuacha binti yake akiwa na miaka 10,
yeye kwenye future alitumia kama dakika 30 tu,lakini huku duniani ni kama miaka 60 imeenda...
anarudi duniani anakuta binti wake ni kibibi kizee kikongwe,wakati yeye ametumia dakika 30 tu................
Mimi ndo nai-download hiyo movie muda huu niiangalie ili niipate hiyo concept ya time travel.
 
Baada ya sungura kuzirukia ndizi alipoona hazifikii alisema hizi sizitaki kwanza ni mbichi.. ndio wewe baada ya kuona huwezi kukikwepa umeamua kukisifia kifo wakati deep down hukipendi..

Huwezi jua lolote lawezekana hapa duniani.. sidhani kama mitume walijua kama mimi nawewe itakuja kuwezekana tukawasiliana bila barua tena live wakati wewe uko zaidi ya kilometa elfu na nilipo


Umeandika mambo ya Kisayansi lkn sidhani kama Sayansi yenyewe unailewa labda umekopi tu mahali bila ya kuelewa.
Kifo ni sehemu muhimu sana na ndiyo kinachofanya Sayari ya Dunia iwe jinsi ilivyo kwamba inaweza kuwa na mazingira rafiki kwa viumbe kuishi.

Ili ecosystem ikamilike ni lazima viumbe vife.

Mimi kupenda kifo au kutokupenda hakubadilishi ukweli kwamba Kifo ni jambo jema kuwahi kuwepo Duniani, kwani kifo huondoa tatizo kimoja!
 
Hiyo theory haibadilish constant ya muda wa dunia kwa maana hyo, hiyo ni fake theory na haiwez kuexist except.
1. Hiyo kasi yako kubwa iwe pia kas ya dunia,maana kadri utakavyoongeza kasi utapunguza tu muda wa wewe binafsi kufika na wala hautaiaffect time ya dunia na ikumbukwe tuu muda upo hadi wa <0.0000000000usec.
 
Visivyofikirika kuwezekana leo,. Ndio dunia ya nyakati zijazo.

Chukua kila kitu akilini mwako fanyia kazi uyawezayo yenye kukupa amani.

Nipo kujifunza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom