Time travel na ufunuo wa ufufuko

Hii dhana ya ndoto, Kuna rafki yangu aliota kapata ajali ya gari akiwa anaendeshwa kweli hazikupita wiki kadhaa jamaa akapata ajali. Nafikiri kuna haja ya kizifatilia ndoto zetu.
 
Hii dhana ya ndoto, Kuna rafki yangu aliota kapata ajali ya gari akiwa anaendeshwa kweli hazikupita wiki kadhaa jamaa akapata ajali. Nafikiri kuna haja ya kizifatilia ndoto zetu.
Ndoto taarifa
 
kaka mshana nadhani hapo mwisho umesema kweli kuna nakala nilikuwa nafuatilia kuhusu north pole na jinsi ramani halisi ya dunia nikakuta zamani upande wa afrika kusini ndio ilikuwa kaskazini kwahiyo kwenye vitabu vya dini hasa baadana kabla ya kristo vimejaribu kuelezea mashariki ya kati na ukiangalia inadondokea afrika nikaja kufuatilia wapi ndio Israelites wa kweli nikagundua Ethiopia ndio biblia inaizungumzia na nchi za jirani kama sudan na maeneo hayo.

pia ukija kufuatilia kuhusu really Egyptian nikaja kuona pia walikuwa weusi black Egyptian sasa kivipo leo itokee wanatudanganya Egyptian ni white foxes kwangu mimi siamini bado na sito amini baada ya kupata ushahidi wote nikafuatilia nchi yenye rasilimali nyingi sana duniani nikaja kujua ni ukanda wetu tanzania congo hapo na wengine

Na ukiangalia kiuhalisia kwa ramani ya zamani ambapo kusini ilikuwa ni kaskazini utagundua hiyo ndio really north east maana kuna kila takataka ya utajiri sio tuu hapo ni afrika nzima ndio maana mpaka kesho hapo congo watapigana lakini vita haitoisha wataumwa ebola wakongo ika mzungu anaekuja kuitibu hapatwi na ebola wala mchina aliekuja na chanjo kwa hilo wa aftika tusugue vichwa vyetu hawa watu wanataka watupoteze tusionekane kwenye uso wa dunia

kuna video niliiona kwenye tedx au ted talks nadhani Dr (phd holder)flani mama mwenye heshima zake anaelezea existence ya human akasema kabla ya 1640's kulikuwa hamna white people na yeye ni mungu alachimba ndani sana nilifikiria sana nikasema nini chanzo cha yeye kusema hivyo nikaja kusoma historia ya mtu mweusi kwa undani kidogo

Sasa hapa nikagundua tumeyayushwa ufahamu wote wa mtu mweusi uhalisia wake kipindi black Egyptian wao ndio walikuwa watu wa kwanza kuanzisha utabibu duniani na upasuaji sio mimba wala nini sasa hawa watu weupe white foxes walikuwa wanakuja aftika na wanaomba wawafundishe mpaka leo ninavuo ongea black Egyptian concepts zinatumika kwenye nyanja ya utabibu na nyingine zinaelezea ukweli ambawo wazungu walitupotosha mwanzoni maana wao wamevopy na kupest mambo mengine ambayo walishindwa kuyasoma

chuo cha kwanza duniani kilikuwa afrika ethipia labda hilo walipinge sasa hivi kipindi mzungu anataka kuitawala aftika alijaribu mara nyingi huko nyuma lakini alipigwa sana vipigo visivyo sahaulika kwenye historia zao wao hawawezi kutufundisha maana wameshafuta hiyo historia kwenye kila nakala maana walipoweza kuivamia afrika kitu cha kwanza kilikuwa ni kuchoma kila nakala ya mtu mweusi historia yake na nguvu aliyokuwa nayo

Alexander the great alitumia miaka 3 inavyosemakana kuchoma nakala zote za mtu mweusi na hatukuwa tunaitwa Africa enzi hizo na zile concept muhimu wakazichukua ndio unaona hawa Greek philosopher's wanakuja nazo ila katibia zote walizikomba Egypt baada ya kuweza kuitawala afrika

jamani watu weusi wenzangu tumebeba mambo makubwa mimi sikuhizi nikikutana na white foxes kila siku huwa nawaambia ukweli wa afrika na wana smile tuu wanayuita masikini wakati wanategemea rasilimali zetu kila tukiwa na juhudi za kuwa na uchumi mzuri wataanzisha kitu ili tuporomoke

nilishawahi kuandika huku nadhani kama dunia ina mwisho haitoweza kufika mwisho mpaka mtu mweusi arejee kwenye kiti chake cha ufalme

sikutaka kugusia upande wa yesu kuhusu kuwa mweusi au laa ningevunja imani za watu kikubwa amini MUNGu yupo ila usiamini MUNGU ambae wazungu wanamtumia kupata mali
 
kaka mshana nadhani hapo mwisho umesema kweli kuna nakala nilikuwa nafuatilia kuhusu north pole na jinsi ramani halisi ya dunia nikakuta zamani upande wa afrika kusini ndio ilikuwa kaskazini kwahiyo kwenye vitabu vya dini hasa baadana kabla ya kristo vimejaribu kuelezea mashariki ya kati na ukiangalia inadondokea afrika nikaja kufuatilia wapi ndio Israelites wa kweli nikagundua Ethiopia ndio biblia inaizungumzia na nchi za jirani kama sudan na maeneo hayo.

pia ukija kufuatilia kuhusu really Egyptian nikaja kuona pia walikuwa weusi black Egyptian sasa kivipo leo itokee wanatudanganya Egyptian ni white foxes kwangu mimi siamini bado na sito amini baada ya kupata ushahidi wote nikafuatilia nchi yenye rasilimali nyingi sana duniani nikaja kujua ni ukanda wetu tanzania congo hapo na wengine

Na ukiangalia kiuhalisia kwa ramani ya zamani ambapo kusini ilikuwa ni kaskazini utagundua hiyo ndio really north east maana kuna kila takataka ya utajiri sio tuu hapo ni afrika nzima ndio maana mpaka kesho hapo congo watapigana lakini vita haitoisha wataumwa ebola wakongo ika mzungu anaekuja kuitibu hapatwi na ebola wala mchina aliekuja na chanjo kwa hilo wa aftika tusugue vichwa vyetu hawa watu wanataka watupoteze tusionekane kwenye uso wa dunia

kuna video niliiona kwenye tedx au ted talks nadhani Dr (phd holder)flani mama mwenye heshima zake anaelezea existence ya human akasema kabla ya 1640's kulikuwa hamna white people na yeye ni mungu alachimba ndani sana nilifikiria sana nikasema nini chanzo cha yeye kusema hivyo nikaja kusoma historia ya mtu mweusi kwa undani kidogo

Sasa hapa nikagundua tumeyayushwa ufahamu wote wa mtu mweusi uhalisia wake kipindi black Egyptian wao ndio walikuwa watu wa kwanza kuanzisha utabibu duniani na upasuaji sio mimba wala nini sasa hawa watu weupe white foxes walikuwa wanakuja aftika na wanaomba wawafundishe mpaka leo ninavuo ongea black Egyptian concepts zinatumika kwenye nyanja ya utabibu na nyingine zinaelezea ukweli ambawo wazungu walitupotosha mwanzoni maana wao wamevopy na kupest mambo mengine ambayo walishindwa kuyasoma

chuo cha kwanza duniani kilikuwa afrika ethipia labda hilo walipinge sasa hivi kipindi mzungu anataka kuitawala aftika alijaribu mara nyingi huko nyuma lakini alipigwa sana vipigo visivyo sahaulika kwenye historia zao wao hawawezi kutufundisha maana wameshafuta hiyo historia kwenye kila nakala maana walipoweza kuivamia afrika kitu cha kwanza kilikuwa ni kuchoma kila nakala ya mtu mweusi historia yake na nguvu aliyokuwa nayo

Alexander the great alitumia miaka 3 inavyosemakana kuchoma nakala zote za mtu mweusi na hatukuwa tunaitwa Africa enzi hizo na zile concept muhimu wakazichukua ndio unaona hawa Greek philosopher's wanakuja nazo ila katibia zote walizikomba Egypt baada ya kuweza kuitawala afrika

jamani watu weusi wenzangu tumebeba mambo makubwa mimi sikuhizi nikikutana na white foxes kila siku huwa nawaambia ukweli wa afrika na wana smile tuu wanayuita masikini wakati wanategemea rasilimali zetu kila tukiwa na juhudi za kuwa na uchumi mzuri wataanzisha kitu ili tuporomoke

nilishawahi kuandika huku nadhani kama dunia ina mwisho haitoweza kufika mwisho mpaka mtu mweusi arejee kwenye kiti chake cha ufalme

sikutaka kugusia upande wa yesu kuhusu kuwa mweusi au laa ningevunja imani za watu kikubwa amini MUNGu yupo ila usiamini MUNGU ambae wazungu wanamtumia kupata mali
Sasa hapa nikagundua tumeyayushwa ufahamu wote wa mtu mweusi uhalisia wake kipindi black Egyptian wao ndio walikuwa watu wa kwanza kuanzisha utabibu duniani na upasuaji sio mimba wala nini sasa hawa watu weupe white foxes walikuwa wanakuja aftika na wanaomba wawafundishe mpaka leo ninavuo ongea black Egyptian concepts zinatumika kwenye nyanja ya utabibu na nyingine zinaelezea ukweli ambawo wazungu walitupotosha mwanzoni maana wao wamevopy na kupest mambo mengine ambayo walishindwa kuyasoma
 
kaka mshana nadhani hapo mwisho umesema kweli kuna nakala nilikuwa nafuatilia kuhusu north pole na jinsi ramani halisi ya dunia nikakuta zamani upande wa afrika kusini ndio ilikuwa kaskazini kwahiyo kwenye vitabu vya dini hasa baadana kabla ya kristo vimejaribu kuelezea mashariki ya kati na ukiangalia inadondokea afrika nikaja kufuatilia wapi ndio Israelites wa kweli nikagundua Ethiopia ndio biblia inaizungumzia na nchi za jirani kama sudan na maeneo hayo.

pia ukija kufuatilia kuhusu really Egyptian nikaja kuona pia walikuwa weusi black Egyptian sasa kivipo leo itokee wanatudanganya Egyptian ni white foxes kwangu mimi siamini bado na sito amini baada ya kupata ushahidi wote nikafuatilia nchi yenye rasilimali nyingi sana duniani nikaja kujua ni ukanda wetu tanzania congo hapo na wengine

Na ukiangalia kiuhalisia kwa ramani ya zamani ambapo kusini ilikuwa ni kaskazini utagundua hiyo ndio really north east maana kuna kila takataka ya utajiri sio tuu hapo ni afrika nzima ndio maana mpaka kesho hapo congo watapigana lakini vita haitoisha wataumwa ebola wakongo ika mzungu anaekuja kuitibu hapatwi na ebola wala mchina aliekuja na chanjo kwa hilo wa aftika tusugue vichwa vyetu hawa watu wanataka watupoteze tusionekane kwenye uso wa dunia

kuna video niliiona kwenye tedx au ted talks nadhani Dr (phd holder)flani mama mwenye heshima zake anaelezea existence ya human akasema kabla ya 1640's kulikuwa hamna white people na yeye ni mungu alachimba ndani sana nilifikiria sana nikasema nini chanzo cha yeye kusema hivyo nikaja kusoma historia ya mtu mweusi kwa undani kidogo

Sasa hapa nikagundua tumeyayushwa ufahamu wote wa mtu mweusi uhalisia wake kipindi black Egyptian wao ndio walikuwa watu wa kwanza kuanzisha utabibu duniani na upasuaji sio mimba wala nini sasa hawa watu weupe white foxes walikuwa wanakuja aftika na wanaomba wawafundishe mpaka leo ninavuo ongea black Egyptian concepts zinatumika kwenye nyanja ya utabibu na nyingine zinaelezea ukweli ambawo wazungu walitupotosha mwanzoni maana wao wamevopy na kupest mambo mengine ambayo walishindwa kuyasoma

chuo cha kwanza duniani kilikuwa afrika ethipia labda hilo walipinge sasa hivi kipindi mzungu anataka kuitawala aftika alijaribu mara nyingi huko nyuma lakini alipigwa sana vipigo visivyo sahaulika kwenye historia zao wao hawawezi kutufundisha maana wameshafuta hiyo historia kwenye kila nakala maana walipoweza kuivamia afrika kitu cha kwanza kilikuwa ni kuchoma kila nakala ya mtu mweusi historia yake na nguvu aliyokuwa nayo

Alexander the great alitumia miaka 3 inavyosemakana kuchoma nakala zote za mtu mweusi na hatukuwa tunaitwa Africa enzi hizo na zile concept muhimu wakazichukua ndio unaona hawa Greek philosopher's wanakuja nazo ila katibia zote walizikomba Egypt baada ya kuweza kuitawala afrika

jamani watu weusi wenzangu tumebeba mambo makubwa mimi sikuhizi nikikutana na white foxes kila siku huwa nawaambia ukweli wa afrika na wana smile tuu wanayuita masikini wakati wanategemea rasilimali zetu kila tukiwa na juhudi za kuwa na uchumi mzuri wataanzisha kitu ili tuporomoke

nilishawahi kuandika huku nadhani kama dunia ina mwisho haitoweza kufika mwisho mpaka mtu mweusi arejee kwenye kiti chake cha ufalme

sikutaka kugusia upande wa yesu kuhusu kuwa mweusi au laa ningevunja imani za watu kikubwa amini MUNGu yupo ila usiamini MUNGU ambae wazungu wanamtumia kupata mali
Mm natamanu sana siku mija nikujaliwa nifike Egypt kufanya utafit wangu naamin ulimwebgu wote umelalia pale
 
kuhusu kuwa mweusi au laa ningevunja imani za watu kikubwa amini MUNGu yupo ila usiamini MUNGU ambae wazungu wanamtumia kupata mali
"...Kikubwa amini MUNGU yupo ila usiamini MUNGU ambae wazungu wanamtumia kupata mali."
Unaweza kufafanua sentensi hii niliyoinukuu hapo? Una maana gani kusema, Mungu yupo ila usiamini Mungu ambae wazungu wanamtumia kupata mali?
 
"...Kikubwa amini MUNGU yupo ila usiamini MUNGU ambae wazungu wanamtumia kupata mali."
Unaweza kufafanua sentensi hii niliyoinukuu hapo? Una maana gani kusema, Mungu yupo ila usiamini Mungu ambae wazungu wanamtumia kupata mali?
 
28 Reactions
Reply
Back
Top Bottom