Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HMG umepatikanaNikasema niangalie kuongeza ujuzi nikakuta anatusomea thread yako
huyu jamaa hafanyi poa kabisa
Weka basi huo utaalam tuelimike
Fursa kiganjaniJamaa kaikopi kama ilivyo na anapiga pesa huko YouTube View attachment 1203440
Mtu mkubwa sana ww
MtumeNakuuliza swali la msingi,unaweza kunionyesha wapi tunajidanganya ?
Sasa hapa nikagundua tumeyayushwa ufahamu wote wa mtu mweusi uhalisia wake kipindi black Egyptian wao ndio walikuwa watu wa kwanza kuanzisha utabibu duniani na upasuaji sio mimba wala nini sasa hawa watu weupe white foxes walikuwa wanakuja aftika na wanaomba wawafundishe mpaka leo ninavuo ongea black Egyptian concepts zinatumika kwenye nyanja ya utabibu na nyingine zinaelezea ukweli ambawo wazungu walitupotosha mwanzoni maana wao wamevopy na kupest mambo mengine ambayo walishindwa kuyasomakaka mshana nadhani hapo mwisho umesema kweli kuna nakala nilikuwa nafuatilia kuhusu north pole na jinsi ramani halisi ya dunia nikakuta zamani upande wa afrika kusini ndio ilikuwa kaskazini kwahiyo kwenye vitabu vya dini hasa baadana kabla ya kristo vimejaribu kuelezea mashariki ya kati na ukiangalia inadondokea afrika nikaja kufuatilia wapi ndio Israelites wa kweli nikagundua Ethiopia ndio biblia inaizungumzia na nchi za jirani kama sudan na maeneo hayo.
pia ukija kufuatilia kuhusu really Egyptian nikaja kuona pia walikuwa weusi black Egyptian sasa kivipo leo itokee wanatudanganya Egyptian ni white foxes kwangu mimi siamini bado na sito amini baada ya kupata ushahidi wote nikafuatilia nchi yenye rasilimali nyingi sana duniani nikaja kujua ni ukanda wetu tanzania congo hapo na wengine
Na ukiangalia kiuhalisia kwa ramani ya zamani ambapo kusini ilikuwa ni kaskazini utagundua hiyo ndio really north east maana kuna kila takataka ya utajiri sio tuu hapo ni afrika nzima ndio maana mpaka kesho hapo congo watapigana lakini vita haitoisha wataumwa ebola wakongo ika mzungu anaekuja kuitibu hapatwi na ebola wala mchina aliekuja na chanjo kwa hilo wa aftika tusugue vichwa vyetu hawa watu wanataka watupoteze tusionekane kwenye uso wa dunia
kuna video niliiona kwenye tedx au ted talks nadhani Dr (phd holder)flani mama mwenye heshima zake anaelezea existence ya human akasema kabla ya 1640's kulikuwa hamna white people na yeye ni mungu alachimba ndani sana nilifikiria sana nikasema nini chanzo cha yeye kusema hivyo nikaja kusoma historia ya mtu mweusi kwa undani kidogo
Sasa hapa nikagundua tumeyayushwa ufahamu wote wa mtu mweusi uhalisia wake kipindi black Egyptian wao ndio walikuwa watu wa kwanza kuanzisha utabibu duniani na upasuaji sio mimba wala nini sasa hawa watu weupe white foxes walikuwa wanakuja aftika na wanaomba wawafundishe mpaka leo ninavuo ongea black Egyptian concepts zinatumika kwenye nyanja ya utabibu na nyingine zinaelezea ukweli ambawo wazungu walitupotosha mwanzoni maana wao wamevopy na kupest mambo mengine ambayo walishindwa kuyasoma
chuo cha kwanza duniani kilikuwa afrika ethipia labda hilo walipinge sasa hivi kipindi mzungu anataka kuitawala aftika alijaribu mara nyingi huko nyuma lakini alipigwa sana vipigo visivyo sahaulika kwenye historia zao wao hawawezi kutufundisha maana wameshafuta hiyo historia kwenye kila nakala maana walipoweza kuivamia afrika kitu cha kwanza kilikuwa ni kuchoma kila nakala ya mtu mweusi historia yake na nguvu aliyokuwa nayo
Alexander the great alitumia miaka 3 inavyosemakana kuchoma nakala zote za mtu mweusi na hatukuwa tunaitwa Africa enzi hizo na zile concept muhimu wakazichukua ndio unaona hawa Greek philosopher's wanakuja nazo ila katibia zote walizikomba Egypt baada ya kuweza kuitawala afrika
jamani watu weusi wenzangu tumebeba mambo makubwa mimi sikuhizi nikikutana na white foxes kila siku huwa nawaambia ukweli wa afrika na wana smile tuu wanayuita masikini wakati wanategemea rasilimali zetu kila tukiwa na juhudi za kuwa na uchumi mzuri wataanzisha kitu ili tuporomoke
nilishawahi kuandika huku nadhani kama dunia ina mwisho haitoweza kufika mwisho mpaka mtu mweusi arejee kwenye kiti chake cha ufalme
sikutaka kugusia upande wa yesu kuhusu kuwa mweusi au laa ningevunja imani za watu kikubwa amini MUNGu yupo ila usiamini MUNGU ambae wazungu wanamtumia kupata mali
Elezea,mtume kafanyaje ? Muongo au ?Mtume
Mm natamanu sana siku mija nikujaliwa nifike Egypt kufanya utafit wangu naamin ulimwebgu wote umelalia palekaka mshana nadhani hapo mwisho umesema kweli kuna nakala nilikuwa nafuatilia kuhusu north pole na jinsi ramani halisi ya dunia nikakuta zamani upande wa afrika kusini ndio ilikuwa kaskazini kwahiyo kwenye vitabu vya dini hasa baadana kabla ya kristo vimejaribu kuelezea mashariki ya kati na ukiangalia inadondokea afrika nikaja kufuatilia wapi ndio Israelites wa kweli nikagundua Ethiopia ndio biblia inaizungumzia na nchi za jirani kama sudan na maeneo hayo.
pia ukija kufuatilia kuhusu really Egyptian nikaja kuona pia walikuwa weusi black Egyptian sasa kivipo leo itokee wanatudanganya Egyptian ni white foxes kwangu mimi siamini bado na sito amini baada ya kupata ushahidi wote nikafuatilia nchi yenye rasilimali nyingi sana duniani nikaja kujua ni ukanda wetu tanzania congo hapo na wengine
Na ukiangalia kiuhalisia kwa ramani ya zamani ambapo kusini ilikuwa ni kaskazini utagundua hiyo ndio really north east maana kuna kila takataka ya utajiri sio tuu hapo ni afrika nzima ndio maana mpaka kesho hapo congo watapigana lakini vita haitoisha wataumwa ebola wakongo ika mzungu anaekuja kuitibu hapatwi na ebola wala mchina aliekuja na chanjo kwa hilo wa aftika tusugue vichwa vyetu hawa watu wanataka watupoteze tusionekane kwenye uso wa dunia
kuna video niliiona kwenye tedx au ted talks nadhani Dr (phd holder)flani mama mwenye heshima zake anaelezea existence ya human akasema kabla ya 1640's kulikuwa hamna white people na yeye ni mungu alachimba ndani sana nilifikiria sana nikasema nini chanzo cha yeye kusema hivyo nikaja kusoma historia ya mtu mweusi kwa undani kidogo
Sasa hapa nikagundua tumeyayushwa ufahamu wote wa mtu mweusi uhalisia wake kipindi black Egyptian wao ndio walikuwa watu wa kwanza kuanzisha utabibu duniani na upasuaji sio mimba wala nini sasa hawa watu weupe white foxes walikuwa wanakuja aftika na wanaomba wawafundishe mpaka leo ninavuo ongea black Egyptian concepts zinatumika kwenye nyanja ya utabibu na nyingine zinaelezea ukweli ambawo wazungu walitupotosha mwanzoni maana wao wamevopy na kupest mambo mengine ambayo walishindwa kuyasoma
chuo cha kwanza duniani kilikuwa afrika ethipia labda hilo walipinge sasa hivi kipindi mzungu anataka kuitawala aftika alijaribu mara nyingi huko nyuma lakini alipigwa sana vipigo visivyo sahaulika kwenye historia zao wao hawawezi kutufundisha maana wameshafuta hiyo historia kwenye kila nakala maana walipoweza kuivamia afrika kitu cha kwanza kilikuwa ni kuchoma kila nakala ya mtu mweusi historia yake na nguvu aliyokuwa nayo
Alexander the great alitumia miaka 3 inavyosemakana kuchoma nakala zote za mtu mweusi na hatukuwa tunaitwa Africa enzi hizo na zile concept muhimu wakazichukua ndio unaona hawa Greek philosopher's wanakuja nazo ila katibia zote walizikomba Egypt baada ya kuweza kuitawala afrika
jamani watu weusi wenzangu tumebeba mambo makubwa mimi sikuhizi nikikutana na white foxes kila siku huwa nawaambia ukweli wa afrika na wana smile tuu wanayuita masikini wakati wanategemea rasilimali zetu kila tukiwa na juhudi za kuwa na uchumi mzuri wataanzisha kitu ili tuporomoke
nilishawahi kuandika huku nadhani kama dunia ina mwisho haitoweza kufika mwisho mpaka mtu mweusi arejee kwenye kiti chake cha ufalme
sikutaka kugusia upande wa yesu kuhusu kuwa mweusi au laa ningevunja imani za watu kikubwa amini MUNGu yupo ila usiamini MUNGU ambae wazungu wanamtumia kupata mali
"...Kikubwa amini MUNGU yupo ila usiamini MUNGU ambae wazungu wanamtumia kupata mali."kuhusu kuwa mweusi au laa ningevunja imani za watu kikubwa amini MUNGu yupo ila usiamini MUNGU ambae wazungu wanamtumia kupata mali
"...Kikubwa amini MUNGU yupo ila usiamini MUNGU ambae wazungu wanamtumia kupata mali."
Unaweza kufafanua sentensi hii niliyoinukuu hapo? Una maana gani kusema, Mungu yupo ila usiamini Mungu ambae wazungu wanamtumia kupata mali?