Straddler
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 722
- 191
ohk kwa hiyo Brela nao wanadanganywa sio? labda huwezi jua maana rushwa za nchi hii ni Mungu anajua! lakini naona mabishano mengii ya hii topic yanakosa umakini na uelewa wa mambo! yaani ni majungu tu! sasa nashindwa kuelewa watanzania wanashindwa vp kuona tatizo la ATC ni ubabaishaji wa wanaopewa kuendesha shirika? unawezaje kumpa mtu kama Mataka aendeshe shirika hivi walishindwa kuiba technical personalities toka Ethiopia Airline au SAA au Kenya Airways? Au ndo zile roho za kwanini zinatufanya vipofu kuelekeza malawama yoote kwa Precisionair kwa vile tu imefanikiwa? mnasahau huyo founder wake alikuwa EA airways kama operation manager kwa hiyo alipoingia kwenye hiyo biashara alikuwa anajua nini anachofanya na pia muda ulikuwa muhafaka na hata pale alipoona ATC inauzwa SAA alikuwa mjanja ku-partner na Kenya Airways ili asimezwe! Lets give a guy a credit where its due! Nina wasi inawezekana watu kwa chuki zao humu ndani wanatamani hata kutopanda ndege za jamaa ila wanakosa jinsi! maana ndiyo National Carrier iliyobaki! hahah
Precisionair itakuwaje "Tanzanian national carrier" wakati wafanyakazi wake wengi ni akina "Njoroge" na "Kamau" . Au labda hakuna Watanzania wenye ujuzi?