Upo wapiWakuu ambaye yupo on air right now humu jf ajaribu kuchunguza time inavyoenda atagundua leo time unasogea taratibu kuliko siku zote.
Mim nimeanza kugundua mida ya saa saba kamili.
Nikwel mkuu. Nimelal sa4 usingiz nimeenda nao had nikahis nimechelewa stend(nasafiri).Kuamka nacheki saa ni saa8 uckuWakuu ambaye yupo on air right now humu jf ajaribu kuchunguza time inavyoenda atagundua leo time unasogea taratibu kuliko siku zote.
Mim nimeanza kugundua mida ya saa saba kamili.
Ukiwa huna hela na huna mpenzi muda ni kama umesimama na usiku huwa mrefu sanaWakuu ambaye yupo on air right now humu jf ajaribu kuchunguza time inavyoenda atagundua leo time unasogea taratibu kuliko siku zote.
Mim nimeanza kugundua mida ya saa saba kamili.
mlonzi kasema mm nani nipingeUkiwa huna hela na huna mpenzi muda ni kama umesimama na usiku huwa mrefu sana