Time Heist and Time Apocalypse: Jinsi muda unavyoathiri Maisha ya ulimwengu na vilivyomo

Suala la kusoma au kutokusoma Physics liweke pembeni na unaweza kusoma physics na ukawa KILAZA kama wewe ambaye unasema pameandikwa Wormhole ilihali ni Warmhole

Huo ni ushahidi kuwa hata Physics ulifeli kwasababu hata kusoma tu kilichoandikwa HUJUI.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sioni hoja katika yote hayo unayokomalia kisa tu nimekuelekeza kuwa ni ‘wormhole’ na sio ‘warmhole’, nini lengo lako.?

The topic is by far beyond your comprehension, jifunze kusikiliza wakubwa wakiongea itakusaidia kuficha ujinga.

Ukihitaji ligi za mipasho tukutane kwenye majukwaa mengine sio hili, no wonder hujui maana ya intelligence.
 
Sioni hoja katika yote hayo unayokomalia kisa tu nimekuelekeza kuwa ni ‘wormhole’ na sio ‘warmhole’, nini lengo lako.?

The topic is by far beyond your comprehension, jifunze kusikiliza wakubwa wakiongea itakusaidia kuficha ujinga.

Ukihitaji ligi za mipasho tukutane kwenye majukwaa mengine sio hili, no wonder hujui maana ya intelligence.
Kashazoea mada za ubishani wa dini huko.. kila kitu anataka kubisha sio kuelekezana
 
Wewe ndio umeanza kujikweza kuwa hoo mimi nimekiri kuwa sijasoma Physics...so hilarious dude...!

Nimekushangaa sana as u still proud uaself these days after opting Physics in O' level or Adv'...try to be patient coz hatujuani humu na hujui nimesoma nini

Being Academician, Intellectual person ni zaidi ya kusoma Physics, usijiproud na hii Physics yetu ya Bongo.

......,,......
Umevamia jukwaa bwashee, jikite kwenye hoja intelligence huwa hatujadili kwa mipasho namna hii.... basi uko sahihi jipongeze sasa.
Sioni hoja katika yote hayo unayokomalia kisa tu nimekuelekeza kuwa ni ‘wormhole’ na sio ‘warmhole’, nini lengo lako.?

The topic is by far beyond your comprehension, jifunze kusikiliza wakubwa wakiongea itakusaidia kuficha ujinga.

Ukihitaji ligi za mipasho tukutane kwenye majukwaa mengine sio hili, no wonder hujui maana ya intelligence.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio umeanza kujikweza kuwa hoo mimi nimekiri kuwa sijasoma Physics...so hilarious dude...!

Nimekushangaa sana as u still proud uaself these days after opting Physics in O' level or Adv'...try to be patient coz hatujuani humu na hujui nimesoma nini

Being Academician, Intellectual person ni zaidi ya kusoma Physics, usijiproud na hii Physics yetu ya Bongo.

......,,......

Sent using Jamii Forums mobile app

You’re right dude.
 
Dhana ya muda ni pana sana.

Binafsi muda nautazama ktk namna ya space jinsi ilivyo kwa maana space is time!.. no space no time.
The way space still the way we are in time!

Kwangu nauelewa muda kuwa hauendi mbele wala haurudi nyuma!

Kinachotokea ni action!,jinsi unavyochukulia reaction kwenye space ndivyo ambavyo unaitumia so hivyo unavyoitumia ku reaction plus kumbukumbu ndio unaona muda una past na future!!

Namaanisha unazaliwa,unakuwa kijana unakuwa wa makamo na baadae mzee.. this is how your body use space to reaction.. and that we call it time.

Hauendi mbele wala haurudi nyuma time remain there..

Muda unaweza kuuelezea kwa concept nyingi mfano kwa kutumia jua na dunia kunavyokuwa usiku,mchana na asubuhi but what if we remove those things..??????

Je,hiyo itamaanisha pia kuwa muda haupo..?

My answer is no! Muda bado ungali upo hata ukitoa vyote hivyo maana space still there and space is time..

Ukitaka kuuzuru muda zuru space.

Nakubaliana na Einstein muda unaweza kuwa affected na gravity pia na speed..

Utata wangu ni sehemu ya kurudi nyuma ya muda..!

Sioni hatua yoyote unayoweza ichukua na ukarudi nyuma ya muda!

Kama ukiweza kurudi mwaka 2015 hii itamaanisha space inakuwa na historia ina record ama inakila taarifa juu ya kinachotokea!!

I mean ni kuwa kila kitu kimeshachorwa sasa ni tunapita tu!!
Hainingii akilini swala la kurudi nyuma ya muda!!

Ila la kwenda mbele ya muda naweza lielezea ktk mantiki hii mfano wa barafu..

Chukulia mfano huu unasamaki ambae ukimuweka ktk mazingira ya kawaida itachukua muda fulani huyo samaki mpaka kuharibika ila ukimuweka kwenye barafu ataweza kukaa kwa muda mwingi zaidi tofauti na akiwa ukawaida.. this is what I call it time travel na naielewa kushinda hizo concept za kusafiri kwa dk mbili na kutua mwaka 2059 huko 😂😂..

Ikiwezekana kumzimisha mtu leo na akaja zinduka miaka Mia ijayo hiyo ndio nitaiita time travel na ninaielewa kwa wepesi zaidi..

Hivyo ndivyo nielewavyo muda.
Laakini mkuu muda ni Past,Present n Future. Hivyo vitu vitatu ndio vinaunda Time. Ndio maana kwenye Eternal Dimension hakuna muda maana hakuna vitu hivyo vitatu. Ipo present tu!
So huku duniani tunachifanya kwenye Time Travelling haturudi tuwe nyuma ya muda bali tunarudi kwenye wakati ambao uliopita au tunaenda kwenye wakati ambao haujawadia.. ila hatuendi nje ya muda. Wite lazima tuwe ndani ya muda ila inategemea muda huo ni past au future
 
Muda ni FLOW THING ni kitu ambacho kina direction moja tu.Kuna nadharia nyingi nimeweka hapo juu hasa ukielezea muda kama kitu kilichomezwa na mwanga (Absorbed).Ni kitu ambacho kipo na kinaendelea ku-flow no matter what...
Ukiitoa solar System muda utaendelea kuwepo endapo tu kuna mifumo ya kibailojia.Mtu ataendelea kukua kama kawaida na mzunguko wa dunia huna athari yoyote ule kwa ukuaji
 
Laakini mkuu muda ni Past,Present n Future. Hivyo vitu vitatu ndio vinaunda Time. Ndio maana kwenye Eternal Dimension hakuna muda maana hakuna vitu hivyo vitatu. Ipo present tu!
So huku duniani tunachifanya kwenye Time Travelling haturudi tuwe nyuma ya muda bali tunarudi kwenye wakati ambao uliopita au tunaenda kwenye wakati ambao haujawadia.. ila hatuendi nje ya muda. Wite lazima tuwe ndani ya muda ila inategemea muda huo ni past au future
Kurudi nyuma ya muda namaanisha kutoka ktk present kwenda kwenye past!.. hivyohivyo unavyoelewa Wala si kutoka nje ya muda!.. ningekuwa namaanisha kutoka nje ya muda ningesema kutoka kwenye space!!

Mkuu majibu ya maswali yako yapo humo kwenye post yangu yakwanza!,Ni kusoma kwa kutulia ndo utanielewa.. kurahisisha waza upo ndani ya chumba ambacho tupu then ndo uanze kutafakari niliyoandika kwa umakini..

Time is space and space is time
Kama space itaweza rudi nyuma basi muda pia utarudi nyuma!.. haha hainiingii akilini muda kurudi nyuma aisee mi naona space still there hizo past ni kumbukumbu zako tu za matukio yaliyokwisha tokea kwenye space!
Niambie nikivipi naweza kwenda nyuma ya muda labda kuna kitu sielewi..???
 
Vip kuhusu yule mchezaji wa Ajax aliezimia miaka miwili iliyopita akazinduka juzi apo kisayansi imekaaje Ile na je alieendelea kukua?
 
Upande wa tafiti za kisayansi zinasema kua hapo zamani miaka billion kadhaa iliyopita kulitokea mlipuko mkubwa huko angani ambao wanauita The big Bang,
"Kulitokea mlipuko mkubwa huko angani"..... Kwa hiyo kumbe anga lilikuepo kabla ya The big Bang
 
"Kulitokea mlipuko mkubwa huko angani"..... Kwa hiyo kumbe anga lilikuepo kabla ya The big Bang
How do you translate the term "Space" in swahili?
Wanasema anga lilikuwepo ili kulikua hakuna sayari na solar system
 
mtu anapokaribia kufa muda ndio huwasiliana na subconscious mind, kisha S mind inaiambia nature kua muda umefika wa mtu huyu kuondoka..nature sasa itakachofanya itachagua aina ya kifo anachotaka muhusika aondoke nacho kutokana na mazingira
"Muda huwasaliana na Subconscious mind"..... Hizi facts ni research-based au evidence-based?
 
Upuuzi mtupu, muda unafika subsconcious mind inaambia nature muda umefika alafu nature inaangalia njia ya kukuua. Hahaha upuuzi grade A, proof ya hii kitu mmetoa wapi? research ilifanyika lini? experiment nani alifanya? mnajitungia mambo ovyo mnaleta huku. Endelea kugeuza watu wawe stupid, sijasoma hata sehemu nyingine, nimeona hapo tuu nikajua yaliyobaki yote ni ushenzi
 
Upuuzi mtupu, muda unafika subsconcious mind inaambia nature muda umefika alafu nature inaangalia njia ya kukuua. Hahaha upuuzi grade A, proof ya hii kitu mmetoa wapi? research ilifanyika lini? experiment nani alifanya? mnajitungia mambo ovyo mnaleta huku. Endelea kugeuza watu wawe stupid, sijasoma hata sehemu nyingine, nimeona hapo tuu nikajua yaliyobaki yote ni ushenzi
Dah mbona huheshimu mitazamo ya watu mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom