Time and tide wait for no man ''2020'' Magufuli: Tanzania ya viwanda hii hapa

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,573
depositphotos_5839707-Time-and-tide-wait-for-no-man.jpg


Kuwatenga wazawa suala la kuanzisha viwanda na kukumbatia vietnam ,china ,naliona anguko la awamu ya tano kama awamu ya 3 sekta ya viwanda.

Naona serikali ya awamu ya tano si rafiki wa wafanyabiashara wa kitanzania. Naona wametengwa wamekuwa wapweke , tukitegemea wageni .

Wazawa ni rahisi kuwa control , tumeona kwenye ukwepaji kodi wamerudisha pesa, swali je wangekuwa wageni hizo pesa zingerudishwa?

Naamini katika watanzania na wanaweza.

Tanzania ya viwanda hii hapa.

Wenye viwanda wazawa kwanza wachambuliwe historia zao , uzoefu wao katika biashara , ubinifu wao katika masoko ya tanzania. Wapewe mikoa na mitaji wafungue viwanda vya ubia na serikali. Hata wakiwa 7 wanatosha .

Mbona bakhresa ana viwanda nchi tano (kigali, kenya , zimbabwe, uganda ) mashamba zambia. Kwanini ashindwe kuvijenga tanzania. Awe anasafirisha bidhaa huko?

Ata uchumi wa marekani unaendeshwa kwa 1% ambao ndo matajiri.

Mfano.

Bakhresa, mo, nyati, tembo cement, asas, alsco holding . Wameshapanga kufungua viwanda kila jiji , proposal wanazo. Tatizo ni mtaji

Ni suala la waziri wa viwanda kuitisha proposal zao za uwekezaji za miaka 50.

Na serikali kuwadhamini katika benki ya kilimo .BOT Au biashara na kuwapa mtaji wa kununua viwanda hiyo kwa ubia na serikali ; serikali iwe ni 60, wazawa ni 30, 10 ni hisa za watanzania.

Sharti kuu wazawa(bakhresa, mo, nyati, tembo cement, asas, alsco holding .) Wapewe kuweka management. Serikali iwe watch dog.

Ata reli ya dar es salaaam ya abiria , wapewe wazawa kwa ubia na serikali 60 kwa 40 mzawa lakini awe mmoja ili kuondoa conflict. Na apewe kuweka management yake mzawa bila kuingiliwa. Serikali iwe watch dog kwa kutumia system .

Hii.

Serikali ipigane kwa kila hali hii, serikali isitake ubia suala la umeme ; ikae na wataalamu 100% izalishe umeme yenyewe kufikia mwaka huu iwe 15,000w badala ya sasa 1500w.

Hili litasaidia wenye viwanda kuwa na umeme wa uhakika , bila masharti na ni rahisi kunegosiate na serikali juu ya bei , kwani serikali itakuwa inamiliki umeme kwa kutumia kampuni yake 100%

Tanzania ya viwanda itakuwa ndoto kama umeme tutubinafsisha kama sasa, iptl ,pap n.k

Kuhusu suala la nyumba za bati ;

Rais , kiwanda kinauzwa 5,000,000(bati za kawaida) - 12,ooo,0000 (mabati ya kisasa) lete hivyo viwanda tawanya kwenye veta zote kila wilaya . Hizo veta ndo ziwe zina tengeneza na kuuza mabati.

Halmashuri zitenge fungu kwa ajiri ya kununua viwanda hivyo ; sio mpaka seikali kuu.

Ni mawazo kama mtanzania mwingine.
 
Mimi nilikuwa na la ziada, natamani VETA na SIDO zifanywe kuwa injini muhimu za mageuzi ya teknolojia na viwanda nchini.VETA malengo yake yabadilishwe iwe ni taasisi inayozalisha wataalamu wa masuala ya IT, iwe inabuni programs mbalimbali za IT kwa matumizi ya ndani ya nchi na hata kuuza nje ya nchi baadhi ya huduma. Iwe wale wote watakaojiunga na VETA wawe na alama nzuri ktk masomo ya IT,electronics, nk.
SIDO kwa upande wake iongoze ktk uanzishwaji wa viwanda vidogo na vya kati nchini,hususan viwanda vya usindikaji mazao ya kilimo na mifugo.Ktk vyuo vyote vikuu idarà za sayansi na teknolojia za vyuo hivyo vijenge uhusiano wa karibu na SIDO na hata ikiwezekana wanafunzi wa vyuo hivyo waende kufanya field huko kwaajili ya kupeana uzoefu na kujenga misingi imara na endelevu ya maendeleo ya viwanda.Pia VETA na SIDO vinaweza vikahitajiana sana ktk shughuli zao, kwa mfano wahitimu wa VETA wanaweza kuajiriwa na SIDO, na SIDO inaweza kuwapatia VETA vifaa ambavyo vitazalishwa na SIDO.
 
Hakuna aliyekatazwa kuwekeza Magufuli alishakaribisha na kawaaidi kila aina ya sapoti. Illi la kutaka serikali iwape pesa waanzishe viwanda si bora serikali ianzishe sasa viwanda vyake. Kodi ya mwananchi akapewe bepari ajenge kiwanda alafu akipata faida inakuwa yake akipata hasara inakuwa ya serikali huu ujinga mimi siukibali
 
ukiongea mambo bila facts unaonekana mpuuzi tu, bora unyamaze ili utunze utu wako, taarifa kama hizi inatakiwa ziwe verified before placing them to public domain. kazi kwenye MODERATORS.
 
Ni sahihi kabisa kama SIDO ikaimalishwa ni nyenzo muhimu kwa maendeleo viwanda vidogo. Na uhakika kama serikali itaipa VETA kipaumbele, VETA inauwezo wa kuzalisha technicians ambao wanaweza kufanya kazi Mzuri tu kwenye viwanda vyetu vya SIDO na viwanda vikubwa pia. Hata China na Korea zimepiga hatua kwa kuthamini hizi vocational training ambao ndiyo wafanyakazi kwenye viwanda vidogo vidogo "SIDO" nadhani serikali ikitoa kipaumbele kwa taasisi hizi tutakuwa tumepiga hatua mmoja mbele.
 
Hakuna aliyekatazwa kuwekeza Magufuli alishakaribisha na kawaaidi kila aina ya sapoti. Illi la kutaka serikali iwape pesa waanzishe viwanda si bora serikali ianzishe sasa viwanda vyake. Kodi ya mwananchi akapewe bepari ajenge kiwanda alafu akipata faida inakuwa yake akipata hasara inakuwa ya serikali huu ujinga mimi siukibali
hongera sana mdau umetoa ufafanuzi yakinifu aise keep it up
 
Ni lazima huyu mzawa tunayetaka kumwongezea nguvu awe ameishademonstrate business/ enterpreneurship acumen
 
depositphotos_5839707-Time-and-tide-wait-for-no-man.jpg


Kuwatenga wazawa suala la kuanzisha viwanda na kukumbatia vietnam ,china ,naliona anguko la awamu ya tano kama awamu ya 3 sekta ya viwanda.

Naona serikali ya awamu ya tano si rafiki wa wafanyabiashara wa kitanzania. Naona wametengwa wamekuwa wapweke , tukitegemea wageni .

Wazawa ni rahisi kuwa control , tumeona kwenye ukwepaji kodi wamerudisha pesa, swali je wangekuwa wageni hizo pesa zingerudishwa?

Naamini katika watanzania na wanaweza.

Tanzania ya viwanda hii hapa.

Wenye viwanda wazawa kwanza wachambuliwe historia zao , uzoefu wao katika biashara , ubinifu wao katika masoko ya tanzania. Wapewe mikoa na mitaji wafungue viwanda vya ubia na serikali. Hata wakiwa 7 wanatosha .

Mbona bakhresa ana viwanda nchi tano (kigali, kenya , zimbabwe, uganda ) mashamba zambia. Kwanini ashindwe kuvijenga tanzania. Awe anasafirisha bidhaa huko?

Ata uchumi wa marekani unaendeshwa kwa 1% ambao ndo matajiri.

Mfano.

Bakhresa, mo, nyati, tembo cement, asas, alsco holding . Wameshapanga kufungua viwanda kila jiji , proposal wanazo. Tatizo ni mtaji

Ni suala la waziri wa viwanda kuitisha proposal zao za uwekezaji za miaka 50.

Na serikali kuwadhamini katika benki ya kilimo .BOT Au biashara na kuwapa mtaji wa kununua viwanda hiyo kwa ubia na serikali ; serikali iwe ni 60, wazawa ni 30, 10 ni hisa za watanzania.

Sharti kuu wazawa(bakhresa, mo, nyati, tembo cement, asas, alsco holding .) Wapewe kuweka management. Serikali iwe watch dog.

Ata reli ya dar es salaaam ya abiria , wapewe wazawa kwa ubia na serikali 60 kwa 40 mzawa lakini awe mmoja ili kuondoa conflict. Na apewe kuweka management yake mzawa bila kuingiliwa. Serikali iwe watch dog kwa kutumia system .

Hii.

Serikali ipigane kwa kila hali hii, serikali isitake ubia suala la umeme ; ikae na wataalamu 100% izalishe umeme yenyewe kufikia mwaka huu iwe 15,000w badala ya sasa 1500w.

Hili litasaidia wenye viwanda kuwa na umeme wa uhakika , bila masharti na ni rahisi kunegosiate na serikali juu ya bei , kwani serikali itakuwa inamiliki umeme kwa kutumia kampuni yake 100%

Tanzania ya viwanda itakuwa ndoto kama umeme tutubinafsisha kama sasa, iptl ,pap n.k

Kuhusu suala la nyumba za bati ;

Rais , kiwanda kinauzwa 5,000,000(bati za kawaida) - 12,ooo,0000 (mabati ya kisasa) lete hivyo viwanda tawanya kwenye veta zote kila wilaya . Hizo veta ndo ziwe zina tengeneza na kuuza mabati.

Halmashuri zitenge fungu kwa ajiri ya kununua viwanda hivyo ; sio mpaka seikali kuu.

Ni mawazo kama mtanzania mwingine.
Naona na wewe umeanza kuisoma namba utanyooka tuu nyambaf
 
ukiongea mambo bila facts unaonekana mpuuzi tu, bora unyamaze ili utunze utu wako, taarifa kama hizi inatakiwa ziwe verified before placing them to public domain. kazi kwenye MODERATORS.
Umenena mkuu
 
Viwanda tunavipenda, ila inaonekana hatujajua pa kuanzia. Me kwa mtazamo wangu nadhani kufanya assessment ya viwanda inategemea:
1.uhitaji wa bidhaa husika, hii inaweza kufanyiwa analysis kutokea kwenye bidhaa tunazotumia sana, higher demanded consumer goods.
2. Upatikanaji wa malighafi, na hatua za uchakataji wa malighafi hizo
3.umeme wa uhakika
4.rasilimali watu, kwa maana ya kuwa na watu wenye expertise bila ku import
5. Na mwisho ni fedha.
Inawezekana kabisa tukawa hatuna advantage katika yote hayo, lakin ni vizuri kulazimisha hiyo advantage hiyo kwa angalau kuanza na viwanda vya msingi, hapa naongelea viwanda vya vyuma, yan tuwekeze kwenye steel and metal industry, na mazao ya kilimo, japokuwa tutahangaika kwenye umeme na utaalamu tunaweza hata ku import utaalamu. Imagine kampuni ya bia TBL inavuna mauzo zaid ya trilion moja kwa mwaka, na kulipa kodi zaid ya bil 100, ukiwa sehemu kubwa ni uwekezaji wa nje, je ingekuwa ni yetu yote, halafu tuwe nazo kama tano tu, ingekuwaje?
 
Viwanda tunavipenda, ila inaonekana hatujajua pa kuanzia. Me kwa mtazamo wangu nadhani kufanya assessment ya viwanda inategemea:
1.uhitaji wa bidhaa husika, hii inaweza kufanyiwa analysis kutokea kwenye bidhaa tunazotumia sana, higher demanded consumer goods.
2. Upatikanaji wa malighafi, na hatua za uchakataji wa malighafi hizo
3.umeme wa uhakika
4.rasilimali watu, kwa maana ya kuwa na watu wenye expertise bila ku import
5. Na mwisho ni fedha.
Inawezekana kabisa tukawa hatuna advantage katika yote hayo, lakin ni vizuri kulazimisha hiyo advantage hiyo kwa angalau kuanza na viwanda vya msingi, hapa naongelea viwanda vya vyuma, yan tuwekeze kwenye steel and metal industry, na mazao ya kilimo, japokuwa tutahangaika kwenye umeme na utaalamu tunaweza hata ku import utaalamu. Imagine kampuni ya bia TBL inavuna mauzo zaid ya trilion moja kwa mwaka, na kulipa kodi zaid ya bil 100, ukiwa sehemu kubwa ni uwekezaji wa nje, je ingekuwa ni yetu yote, halafu tuwe nazo kama tano tu, ingekuwaje?
UKISEMA HIVYO UNAKOSEA INAKUWAJE ; WATU KAMA BAKHRASE KWA KUTUMIA WABONGO NA WAGENI KIDOGO KAFIKA HAPO. NA ANA VIWANDA NCHI TATU . NA ALIYEMPA PROPOSAL YA TV KUONYESHA LIGI YA BONGO. MAN POWER HIPO .
 
WAPO
Ni lazima huyu mzawa tunayetaka kumwongezea nguvu awe ameishademonstrate business/ enterpreneurship acumen
; KAMA BAKRESAA, GSM, MO, STEEL , WAMEONYESHA WAZI WAMEWEZA; KWANINI SERIKALI ISIFANYE NAO UBIA.

TATIZO SERIKALI IKIFANYA BIASHARA , KUMFUKUZA KAZI MTU NI SHIDA.
MANAGEMENT WAPEWE WAFANYABIASHARA.
ILI KUWEKA NIDHAMU
 
ukiongea mambo bila facts unaonekana mpuuzi tu, bora unyamaze ili utunze utu wako, taarifa kama hizi inatakiwa ziwe verified before placing them to public domain. kazi kwenye MODERATORS.
FACT IPI UNATAKA ;KUWA WABONGO HAWAWEZI KUFUNGUA VIWANDA MPK SERIKALI.
 
Serikali ipigane kwa kila hali hii, serikali isitake ubia suala la umeme ; ikae na wataalamu 100% izalishe umeme yenyewe kufikia mwaka huu iwe 15,000w badala ya sasa 1500w..

Mkuu tulia ; andika vizuri; hizo watt gani...
 
Mkuu me naongelea biashara ambazo zinaeleweka, ziko listed taarifa zake zinapatikana. Bakhresa tunasikia ana biashara kubwa, na tunajua ni tajiri lakin hakuna mtanzania anaweza kuforecast chochote kwa kutumia portfolio za bakhresa sababu haijulikani biashara gani anafanya na weight yake katika economy ya nchi.
UKISEMA HIVYO UNAKOSEA INAKUWAJE ; WATU KAMA BAKHRASE KWA KUTUMIA WABONGO NA WAGENI KIDOGO KAFIKA HAPO. NA ANA VIWANDA NCHI TATU . NA ALIYEMPA PROPOSAL YA TV KUONYESHA LIGI YA BONGO. MAN POWER HIPO .
 
Hakuna aliyekatazwa kuwekeza Magufuli alishakaribisha na kawaaidi kila aina ya sapoti. Illi la kutaka serikali iwape pesa waanzishe viwanda si bora serikali ianzishe sasa viwanda vyake. Kodi ya mwananchi akapewe bepari ajenge kiwanda alafu akipata faida inakuwa yake akipata hasara inakuwa ya serikali huu ujinga mimi siukibali
NI KWELI ILA KWA MANENO HAKUNA MWALIKO RASMI;
MBONA WAWEKEZAJI WA NJE WANAFUATWA NA KUBEMBELEZWA, NA KUAIDIWA KILA SUPPORT, KWANINI HAWA WABONGO WASIFANYIWE HIVYO WAKAPEWA MPK MUDA WA KULIPA MAREJESHO NDO WALIPE KODI,
UTADHANI NCHI YA KUKOMOANA.

USHAURI AANDAE WABONGO WACHACHE , WAWEKEWE ULINZI NA SERIKALI MASLAHI YAO .
LAKINI SIO KUWAAIBISHA KAMA WANAVYOFANYA VIONGOZI KUDHALILISHA BAKHRESAA. MPK NCHI ALIZOWEKEZA INAKUWA NI RAHISI KUMJENGEA FITNA KWENYE SERIKALI ZAO.

AONYESHE ANAWAJALI WAFANYA BIASHARA ; TOKA KAANZA URAISI WAFANYABIASHARA WALIJIPELEKA KUMUONA , SIJAONA KAWAITA . JANA WAWAKILISHI WAMEPELEKWA KWA SIMBACHAWENE , NI KUWAKOSEA ADABU.
 
Mkuu me naongelea biashara ambazo zinaeleweka, ziko listed taarifa zake zinapatikana. Bakhresa tunasikia ana biashara kubwa, na tunajua ni tajiri lakin hakuna mtanzania anaweza kuforecast chochote kwa kutumia portfolio za bakhresa sababu haijulikani biashara gani anafanya na weight yake katika economy ya nchi.
ok
 
Back
Top Bottom