mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Wadau leo nimeingia tiktok sikukaa hata dakika kumi sababu nilihisi Kama vile nimeingia muhimbili wodi ya vichaa
Mimi binafsi naweza sema tiktok ni janga lingine
Nimekuta wanaume wanafanya kila kitu hata Cha ujinga wa Hali ya juu
Wanawake wanafanya vitu ambavyo unaweza sema ni laana inatutafuna wanadamu
Kiukwel Kuna Mambo ni mazuri tiktok na yakufuraisha Ila mengi Yana udhunisha
Mimi binafsi naweza sema tiktok ni janga lingine
Nimekuta wanaume wanafanya kila kitu hata Cha ujinga wa Hali ya juu
Wanawake wanafanya vitu ambavyo unaweza sema ni laana inatutafuna wanadamu
Kiukwel Kuna Mambo ni mazuri tiktok na yakufuraisha Ila mengi Yana udhunisha