mwalidebe
JF-Expert Member
- Mar 27, 2016
- 424
- 247
Kampuni ya Tigo,inalaumiwa na baadhi ya mawakala wa tigopesa kufuta Laini zao bila kuwasiliana na mawakala wao wadogo.
Mmoja wa wakala anasema ameamka asubuhi akakuta Laini yake imefutwa haina menu ya uwakala,hawezi kuangalia salio wala kufanya huduma yeyote.
Anasema alipo enda tigo kuuliza wamwambie wakala wake Mkuu alipofika kwa wakala wake Mkuu akamfukuza akidai hamtambui na hayuko chini yake.
Kinacho onekana ni kwamba mawakala wamebadilishiwa mawakala wakuu,Kama wakala Mkuu wako alikuwa mwenge unaweza kuambiwa kwa Sasa wakala wako yuko bagamoyo.
Baada ya kuwa haamisha ndipo zoezi la kufuta Laini lilipo anza na wanajua kuwa huwezi kusaidiwa kwa sababu wakala wako humjui na hata ikimjua hawezi kukuhudumia.
Mama mmoja anasema amefutiwa Laini yake ikiwa na kiasi cha laki nane na mpaka Sasa anafuatilia bila mafanikio.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii mmoja wa wahanga amesema tigo irudishe Laini zao na mawakala wakuu wawasiliane na mawakala wao.
Mtu unaamka asubuhi ukafungue ofisi,unaingia ofisini Laini haifanyi kazi hiyo siyo sawa.
Mmoja wa wakala anasema ameamka asubuhi akakuta Laini yake imefutwa haina menu ya uwakala,hawezi kuangalia salio wala kufanya huduma yeyote.
Anasema alipo enda tigo kuuliza wamwambie wakala wake Mkuu alipofika kwa wakala wake Mkuu akamfukuza akidai hamtambui na hayuko chini yake.
Kinacho onekana ni kwamba mawakala wamebadilishiwa mawakala wakuu,Kama wakala Mkuu wako alikuwa mwenge unaweza kuambiwa kwa Sasa wakala wako yuko bagamoyo.
Baada ya kuwa haamisha ndipo zoezi la kufuta Laini lilipo anza na wanajua kuwa huwezi kusaidiwa kwa sababu wakala wako humjui na hata ikimjua hawezi kukuhudumia.
Mama mmoja anasema amefutiwa Laini yake ikiwa na kiasi cha laki nane na mpaka Sasa anafuatilia bila mafanikio.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii mmoja wa wahanga amesema tigo irudishe Laini zao na mawakala wakuu wawasiliane na mawakala wao.
Mtu unaamka asubuhi ukafungue ofisi,unaingia ofisini Laini haifanyi kazi hiyo siyo sawa.