Tigo wamenikopesha pesa

Tomahawk

JF-Expert Member
Apr 12, 2015
232
217
Kuna huduma tigo wameanzisha ya kukopesha pesa kuanzia 10000 mpaka 20000 na kulipa ndani ya siku saba hadi 21 kwa riba ya 2000 mpaka 4000..Dahh tigo banaaaaa...
 
Nami nimepokea msg nikaipotezea. Lkn naona wanaangalia kama acc yako ina transactions nyingi.
 
MPAWA wananipatia zaidi ya laki mbili kama mkopo kwa mwezi kila nikihitaji, sembuse elfu kumi!
 
Kuna huduma tigo wameanzisha ya kukopesha pesa kuanzia 10000 mpaka 20000 na kulipa ndani ya siku saba hadi 21 kwa riba ya 2000 mpaka 4000..Dahh tigo banaaaaa...
Hiyo namba ya kutaka kukopa ni namba gani?
 
Asante asee , ila nimeangalia hapa wameniambia sina vigezo..

Sasa sijui wanataka vigezo gani hawa vichaa

Hahahahahahahah.......

We utakuwa maisha yako yote tangu ununue lune ya tigo na kusajiliwa kwenye Tigo pesa, hujawahi kutuma au kutumiwa pesa Au kwenye Mawasiliano yako na jamaa zako labda umekuwa ni mtu wa kuombaomba kwa kila mmoja ....sasa wanaanzaje kukukopesha. .!!???

BACK TANGANYIKA
 
Back
Top Bottom