yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Baada ya kuskia matangazo ya smart kitochi, nikaenda zangu mliman city kushuhudia kitochi kikoje.nikaingia tigo kuzicheki zao then nikaingia voda, lakini nikagundua za Tigo ni bora zaidi ya voda, ingawa voda zinauzwa kwa bei ya chini na ofa zao ni nyingi ,yani wanakupa gb kibao dakika sms fb ya bure kwa miezi sita, yani kila mwezi ofa zinajirudia, lakini simu zao ni 3g tofauti na matangazo yao(Utapeli huo) ,tig wao simu zao 4g na ofa yao ni fb ya bure tu kwa miezi 6 yani kila mwezi unapewa mb za bure kwaajili ya fb.
Baada ya mwezi mmoja nikaenda mliman city nikiwa na cash nikapita maduka yote mawili, hatimaye nikavutiwa na kitochi ya tigo ambayo bei yake ni ya juu zaidi na ofa zao ni chache, hii ni kutokana na ubora wake niliouna.
Baada ya kuichukua nikagundua intanet yake upande wa tigo inakula mb nyingi kuliko kawaida haswa unapoangalia video you tube yani kavideo ka dk 2 tu unaweza kukuta kamekula mb hadi 50 na kadhaa, kuna mdau mmoja aliyenunua kitochi cha voda aliwah kulalamikia hilo kwa upande wa Voda.
FB ya bure niliitumia mwezi mmoja baada ya hapo sikuipata tena nilifatilia kwa kupiga cm tigo wakanambia niende nilikonunulia nikaenda mliman city nikazungushwa nikaambiwa nitaunganishwa niende tu nikapewa namba ya customer care , kila nikipiga ni badae badae hadi nikaamua kuacha, the same to na yule jamaa aliyekuja kulalamika kuhusu kitochi chake cha voda ambaye alisema alizungushwa vifurushi vyake kama mimi.
Nilichojifunza ni kwamba hawa jamaa wanaweza kuwa ni matapeli kama matapeli wa Manzese,
Lakini TCRA wamelala
Nashauri TCRA wazichunguze hizi simu upande wa ulaji wa mb, nawahakikisia mtakusanya fine kubwa kutoka kwa haya makampuni mawili.
Baada ya mwezi mmoja nikaenda mliman city nikiwa na cash nikapita maduka yote mawili, hatimaye nikavutiwa na kitochi ya tigo ambayo bei yake ni ya juu zaidi na ofa zao ni chache, hii ni kutokana na ubora wake niliouna.
Baada ya kuichukua nikagundua intanet yake upande wa tigo inakula mb nyingi kuliko kawaida haswa unapoangalia video you tube yani kavideo ka dk 2 tu unaweza kukuta kamekula mb hadi 50 na kadhaa, kuna mdau mmoja aliyenunua kitochi cha voda aliwah kulalamikia hilo kwa upande wa Voda.
FB ya bure niliitumia mwezi mmoja baada ya hapo sikuipata tena nilifatilia kwa kupiga cm tigo wakanambia niende nilikonunulia nikaenda mliman city nikazungushwa nikaambiwa nitaunganishwa niende tu nikapewa namba ya customer care , kila nikipiga ni badae badae hadi nikaamua kuacha, the same to na yule jamaa aliyekuja kulalamika kuhusu kitochi chake cha voda ambaye alisema alizungushwa vifurushi vyake kama mimi.
Nilichojifunza ni kwamba hawa jamaa wanaweza kuwa ni matapeli kama matapeli wa Manzese,
Lakini TCRA wamelala
Nashauri TCRA wazichunguze hizi simu upande wa ulaji wa mb, nawahakikisia mtakusanya fine kubwa kutoka kwa haya makampuni mawili.