Tigo,voda,zain na zantel nani wenye wateja wengi

Naomba data,kampuni inayoongoza kwa wateja ni ipi?
Kama unafanya field, elective, research ama dissertation. Zungukia hizo kampuni upate data halisi. Ukitegemea humu itakula kwako. Acha uvivu alaaaaah! madent wa cku hizi bana.
 
zaidi ya asilimia 70 wanamiliki line za simu tz noma aisee na bado wanaongezeka
 
Si kweli, data alizotoa king kong zina ukweli asilimia 100 kwa sababu tigo iko tu mijini hasa dar, pwani na morogoro na zantel iko zaidi Zanzibar. Huku kwingine ni voda na Airtel

tigo inaongoza kuwa na wateja wengi, kwenye phone book yangu 75% ni namba za tigo, 20% voda, 5% airtel

na huwezi amini ninazo laini zote na zote zipo hewani, lakini kwa takwimu ya kupiga na hata kupigiwa naweza kaa hata wiki mbili mtu hajaipiga laini yangu ya airetel !
 
tigo inaongoza kuwa na wateja wengi, kwenye phone book yangu 75% ni namba za tigo, 20% voda, 5% airtel

na huwezi amini ninazo laini zote na zote zipo hewani, lakini kwa takwimu ya kupiga na hata kupigiwa naweza kaa hata wiki mbili mtu hajaipiga laini yangu ya airetel !

Hauna tofauti na ndugu zetu wa dini moja kubwa hapa nchini wanaoiangalia Tanzania kwa macho ya Dsm na maeneo ya Pwani,wakadai wao ndiyo dini yenye wafuasi wengi hapa Tanzania! Huyo jamaa aliyekupatia takwimu za TCRA yupo sahihi!
 
Hauna tofauti na ndugu zetu wa dini moja kubwa hapa nchini wanaoiangalia Tanzania kwa macho ya Dsm na maeneo ya Pwani,wakadai wao ndiyo dini yenye wafuasi wengi hapa Tanzania! Huyo jamaa aliyekupatia takwimu za TCRA yupo sahihi!

Kabisaaaa..
 
Naomba data,kampuni inayoongoza kwa wateja ni ipi?

Vodacom wanaweza kuwa na wateja wengi lakini hawaweki vocha na wapo kwa ajili ya Mpesa tu, isingekuwa mpesa nadhani wangekuwa walishatupa laini siku nyingi.

Airtel hasa ni vijijini ndio imetapakaa na ndio mtandao bora kwa vijijini.

Tigo kwa wakazi wa Dar na sehemu za Mjini ndio mtandao wao wa kujidai.

Zantel ni mtandao mzuri hasa kwa matumizi ya Internet ila wateja wengi wapo Zanzibar.
 
Tigo maana njia nzima za main route za Tanzania wanapatikana kote.
 
Vodacom wanaweza kuwa na wateja wengi lakini hawaweki vocha na wapo kwa ajili ya Mpesa tu, isingekuwa mpesa nadhani wangekuwa walishatupa laini siku nyingi.

Airtel hasa ni vijijini ndio imetapakaa na ndio mtandao bora kwa vijijini.

Tigo kwa wakazi wa Dar na sehemu za Mjini ndio mtandao wao wa kujidai.

Zantel ni mtandao mzuri hasa kwa matumizi ya Internet ila wateja wengi wapo Zanzibar.
Nenda Arusha,k/njaro,Mwanza,Mbeya,Songea,MAnyara,singida,Dodoma,Iringa,Katavi, Geita, Rukwa,Kigoma Mara,Kagera na n.k kawatajie laini za Tigo kama watakuelewa
 
Tigo mijini tuu na wanafunzi,ila kwa mtu mzima anayesafiri ndani na nje ya nchi atatumia AirTel
 
Back
Top Bottom