Mkulima wa Kuku
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,270
- 533
Tangu asubuhi nimenunua voucher ya Tigo nataka kufanya mawasiliano kila nikiingiza inaniambia "Sorry, the operation failed" Hawa jamaa wana nini na sisi watanzania? Tunaweza kuwafanya nini ili wakome kutusumbua kabisa? Je, kwa wanasheria kuna uwezekano wa kuwashtaki hawa jamaa na kuwafanya wasirudie tena michezo hii michafu?