Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,089
WADAU NIELEWESHENI HAWA TIGO WAMEKUWAJE MBONA WAMEBANIA KUPITA KIASI HADI KUTAKA SIFA?
yaani ukiweka 700/= hela ya kutwa hupati mtandao wowote labda Jamii Forum tu au simu yangu ndo uwezo wake nimehamisha line katika modem (siitaji) bado hamna kitu sio facebook wala yahoo
pia tangazo lao chini ya page linatunyima vitu vingi liondolewe au liwekwe juu
yaani ukiweka 700/= hela ya kutwa hupati mtandao wowote labda Jamii Forum tu au simu yangu ndo uwezo wake nimehamisha line katika modem (siitaji) bado hamna kitu sio facebook wala yahoo
pia tangazo lao chini ya page linatunyima vitu vingi liondolewe au liwekwe juu