Mbona kwangu hamna kitu kama hiki?Asante vodaView attachment 1753722
Hii namm sinaMbona kwangu hamna kitu kama hiki?
Na bado unabaki na line hyo kwa simu yako🤔🤔🤔Ukinidanganya mimi hua nakuchukia kwa muda mrefu sana menyu inasema 3000 unapata gb 1.5 kwa siku saba nimelipia 3000 napewa gb 1.2 alafu Internet iko chini sana kwakweli nimechukia sanaView attachment 1753651View attachment 1753652
Sawa mteja, ila baadae tusilaumianeAsante vodaView attachment 1753722