dennoo_appliances
Senior Member
- Nov 28, 2018
- 136
- 190
Nilikuwa nasikiliza Amplifier ya Millard Ayo, ghafla nasikia tangazo la Tigopesa App na kugundua wamecopy na kupaste features za NALA app.
Ila mwaka Jana nilivyoiona hii app nilihisi kabisa hawa mobile money transfer wengine watacopy features zake na imetokea.
Ushaur wangu kwa Benjamin Fernandes ni aendelee kujikita katika advertising kama njia ya kui-scale up kwa sababu watu wengi hawajajua uwepo wa NALA app.
Ila mwaka Jana nilivyoiona hii app nilihisi kabisa hawa mobile money transfer wengine watacopy features zake na imetokea.
Ushaur wangu kwa Benjamin Fernandes ni aendelee kujikita katika advertising kama njia ya kui-scale up kwa sababu watu wengi hawajajua uwepo wa NALA app.