Sunshow
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,140
- 391
Habari wana jamvi,
Kwa yeyote mwenye uelewa juu ya hili naomba msaada. Niliomba line ya wakala wa tigo yapata mwaka sasa.
Cha ajabu juzi kati niliambiwa na Ofisa mmoja wa tigo kuwa zoezi lilishindikana na kwamba kama bado nahitaji line niombe upya.
Je jambo hili ni kweli nina wasiwasi line ilitoka wakauza.
Kwa yeyote mwenye uelewa juu ya hili naomba msaada. Niliomba line ya wakala wa tigo yapata mwaka sasa.
Cha ajabu juzi kati niliambiwa na Ofisa mmoja wa tigo kuwa zoezi lilishindikana na kwamba kama bado nahitaji line niombe upya.
Je jambo hili ni kweli nina wasiwasi line ilitoka wakauza.