TIGO ni hatari kuwatumia kutuma pesa Mpesa- usijaribu, ni wezi

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Aug 23, 2015
3,261
7,394
jamani huu mchezo wanaofanya tigo ni mbaya sana tena ni wizi wa waziwazi.
ni hivi:
ukituma pesa kutoka tigopesa kwenda Mpesa, pesa inakwama haiendi Mpesa, halafu ukipiga simu customer care wanakwambia subiri itaenda, Pesa haiendi hata ukae wiki mbili,

ukiwapgia uwaambie warudishe pesa zako kwenye akaunt yako ya Tigo wanakuambia subiri masaa 72 sijui ni policy ya nchi yetu au uhuni! pesa hairudi ndan ya masaa 72,
ukipga tena wanakupa masaa mengne 72! yanajirudia yale yale mpaka uende ofisi kubwa kama mliman city uwe mkali wanakuitia meneja ndo anakusaidia!

WIZI mkubwa unatokea pale wakirudisha hela yako kwenye akaunt yako, HAWARUDISHI gharama yako ya kutuma ile pesa! huu ni wizi mkubwa sana watanzania hawajaushtukia na TCRA pia wamelala hawana shda mishahara yao inaingia tu!

sasa najiuliza ni watanzania wangapi wanadhulumiwa kwa kile wanachokifanya TIGO?
mfano wakikwamisha watu milioni 1 na kila mtu alikatwa elfu 1
wanapata BILIONI 1 KWA SERVICE WASIYOIFANIKISHA!

mie imenitokea hii mara tatu! na mpaka sasa kuna hela yangu imekwama huko tokea Jumanne! leo siku ya 5 na nilienda makumbusho alhamisi wakasema itarudi na haijarudi leo jpili


Tunalia sukari, tunalia mafuta, tunalia ajira, tunalia ukata, na tunalia na TIGO

. mods naomba msiutoe ujumbe wangu nataka watanzania wajue hasara wanazozipata!
 
jamani huu mchezo wanaofanya tigo ni mbaya sana tena ni wizi wa waziwazi.
ni hivi:
ukituma pesa kutoka tigopesa kwenda Mpesa, pesa inakwama haiendi Mpesa, halafu ukipiga simu customer care wanakwambia subiri itaenda, Pesa haiendi hata ukae wiki mbili,

ukiwapgia uwaambie warudishe pesa zako kwenye akaunt yako ya Tigo wanakuambia subiri masaa 72 sijui ni policy ya nchi yetu au uhuni! pesa hairudi ndan ya masaa 72,
ukipga tena wanakupa masaa mengne 72! yanajirudia yale yale mpaka uende ofisi kubwa kama mliman city uwe mkali wanakuitia meneja ndo anakusaidia!

WIZI mkubwa unatokea pale wakirudisha hela yako kwenye akaunt yako, HAWARUDISHI gharama yako ya kutuma ile pesa! huu ni wizi mkubwa sana watanzania hawajaushtukia na TCRA pia wamelala hawana shda mishahara yao inaingia tu!

sasa najiuliza ni watanzania wangapi wanadhulumiwa kwa kile wanachokifanya TIGO?
mfano wakikwamisha watu milioni 1 na kila mtu alikatwa elfu 1
wanapata BILIONI 1 KWA SERVICE WASIYOIFANIKISHA!

mie imenitokea hii mara tatu! na mpaka sasa kuna hela yangu imekwama huko tokea Jumanne! leo siku ya 5 na nilienda makumbusho alhamisi wakasema itarudi na haijarudi leo jpili


Tunalia sukari, tunalia mafuta, tunalia ajira, tunalia ukata, na tunalia na TIGO

. mods naomba msiutoe ujumbe wangu nataka watanzania wajue hasara wanazozipata!
HAPO KUNA VITA YA KIBIASHARA KATI TIGO NA VODA, WANAKWAMISHANA ILI KUKUPA WEWE USUMBUFU UTAKAOMCHUKIA MMOJA KATI YAO. LKN TUMA TIGO JKWA TIGO AU VODA KWA VODA HUTOKUTANA NA JAMBO HILO
 
HAPO KUNA VITA YA KIBIASHARA KATI TIGO NA VODA, WANAKWAMISHANA ILI KUKUPA WEWE USUMBUFU UTAKAOMCHUKIA MMOJA KATI YAO. LKN TUMA TIGO JKWA TIGO AU VODA KWA VODA HUTOKUTANA NA JAMBO HILO
voda hawana ujinga huo! pesa ikikwama inarudi fasta ila hao tigo ndo shda! sasa matangazo ya NITIGOPESA ya nini wakat wao kutuma pesa kwa wenzao wanahujumu?
 
Mkuu pole sana, mimi nikituma heka DSTV kwa MPESA, ilikuwa. Nilipiga simu customer care ajabu nikawa napata majibu tofauti kama hayp ya 72 working hours, 5 working days, 10 working days na 14 working days. Ukiwaukiza yupi yuko sahihi Hanna jibu la maana. Ikabidi niende Mlimani City VODA nikawa mkali wakarudisha hela baada ya usumbufu mno.
 
Mkuu pole sana, mimi nikituma heka DSTV kwa MPESA, ilikuwa. Nilipiga simu customer care ajabu nikawa napata majibu tofauti kama hayp ya 72 working hours, 5 working days, 10 working days na 14 working days. Ukiwaukiza yupi yuko sahihi Hanna jibu la maana. Ikabidi niende Mlimani City VODA nikawa mkali wakarudisha hela baada ya usumbufu mno.
unajua tatizo hapa ni gharama zetu wanakata na hela yetu hawarudish kwa wakati pia
 
ata mimi ilinitokea hiyo nikazani ni kwangu tu kumbe tupo wengi...bahati ilikuwa mbaya kwangu kwani nilitumiwa fedha za ada....ikachelewa kuingia nilitamani kuwashitaki....
 
Tigo wana matatizo sana.....ama tuite wanahusika na huo uhuni.....hilo unalo lisema limetokea kwa watu wengi ninao wajua na ilikuwa shida sana muamala kufanyika ama kurudishiwa fedha zao!

Pia kuna mtu aliibiwa simu yenye line ya tigo, na yule alieibiwa akaenda kutoa taarifa tigo ili apewe line ingine yenye namba ileile......lakini kabla hajaenda huko alikuwa akiipigia line ama simu yake kwa kutumia namba nyingine, yule mwizi akawa anapokea kama kawaida ila alikuwa akitaka atumiwe hela ili airudishe! Lakini kibaya zaidi mwizi wa ile simu alikuwa aikiwapigia simu baadhi ya watu kwenye phonebook ya simu ilioibiwa ili wamtumie hela "kwamba mwenye simu ana matatizo"....wengi walimtumia hela yule mwizi kwa namba ya simu nyingine "ya mwizi" ambayo ipo hewani hadi sasa!

Kinacho shangaza ni kuwa kampuni ya tigo haikuchukua hatua yeyote ile mbali ya kujulishwa kinacho endelea. sana sana ilichokifanya ni kumpa line ya namba yake ya awali yule alieibiwa, lakini mwzi yupo na namba aliiokuwa akiitumia kupigia na kuomba ahamishiwe fedha ipo hewani. Sasa tunshinwa kuelewa kama tigo inashirikiana na hawa ama yenyewe ndio inahusika!
 
TCRA ni wazembe sana... hata ukiwapigia au uende, ukatoa claims kwao hata kwa maandishi, hakuna lolote wanafanya...

TIGO ndio kampuni ya simu TZ inaongoza kwa kuibia wateja wake... TIGO wezi sana... nilishawapigia TCRA mara 4 nikilalamika kuhusu TIGO...

1: wanaunganisha wateja wao ktk huduma za kihuni bila wateja wenyewe kujiunga.. alafu ukiwauliza wanasema wenyewe hawawezi kukunga hadi ujiunge.. huu ni uhuni na uwizi mkubwa TIGO wanafanya... wanaunganisha wateja ktk huduma zao kwa makusudi bila ww kujua kisha wanakukata fedha...!! ukiwapigia wanakwambia jitoe...!! Wezi sana..

2: Ukijiunga ktk vifurushi vyao, ni hatari tupu... kama ww kwa simu unatumia zaidi ya 1000 hv, wanaweka huduma zao kutokana na ww ulivyo... eg OFA MAALUM, ile ya dak 80 kwa siku kwa 1000 huwezi pata kama ww ni mteja mkubwa kidogo just unatumia 1000 kwa siku au zaidi.. ni wahuni sana tigo..

3: Tigo pesa niliacha muda sana.. sbb nilituma pesa kwenda mpesa, balaa likaja wamekata mara 2 kwangu na kwa aliyetoa fedha...

4: Ukiweka hela ya vocha, ujue TIGO wezi, usijiunge na huduma yoyote ile... weka vocha say 1000 acha.. icheki baada ya masaa 20 hv a siku inayofuata wanakata 100 au zaidi... jaribuni hili...!! TIGO ni wezi sana...
 
Hii INCHI kila kitu kilichopo kinaendeshwa kwa UJAMBAZI kama sio ujue ni UJAMBAZI by Proffessional. Hatari!, kila MTOA huduma ni JAMBAZI, tutapona kweli!!!!!!!!!!!
 
TCRA ni wazembe sana... hata ukiwapigia au uende, ukatoa claims kwao hata kwa maandishi, hakuna lolote wanafanya...

TIGO ndio kampuni ya simu TZ inaongoza kwa kuibia wateja wake... TIGO wezi sana... nilishawapigia TCRA mara 4 nikilalamika kuhusu TIGO...

1: wanaunganisha wateja wao ktk huduma za kihuni bila wateja wenyewe kujiunga.. alafu ukiwauliza wanasema wenyewe hawawezi kukunga hadi ujiunge.. huu ni uhuni na uwizi mkubwa TIGO wanafanya... wanaunganisha wateja ktk huduma zao kwa makusudi bila ww kujua kisha wanakukata fedha...!! ukiwapigia wanakwambia jitoe...!! Wezi sana..

2: Ukijiunga ktk vifurushi vyao, ni hatari tupu... kama ww kwa simu unatumia zaidi ya 1000 hv, wanaweka huduma zao kutokana na ww ulivyo... eg OFA MAALUM, ile ya dak 80 kwa siku kwa 1000 huwezi pata kama ww ni mteja mkubwa kidogo just unatumia 1000 kwa siku au zaidi.. ni wahuni sana tigo..

3: Tigo pesa niliacha muda sana.. sbb nilituma pesa kwenda mpesa, balaa likaja wamekata mara 2 kwangu na kwa aliyetoa fedha...

4: Ukiweka hela ya vocha, ujue TIGO wezi, usijiunge na huduma yoyote ile... weka vocha say 1000 acha.. icheki baada ya masaa 20 hv a siku inayofuata wanakata 100 au zaidi... jaribuni hili...!! TIGO ni wezi sana...
SINA UHAKIKA NA HIYO NAMBA 4. SEMA HUENDA WEWE HUJISAHAU KUZIMA DATA UNAPOWEKA VOCHA IKIWA CM YAKO HUWA HAINA MB LAZIMA SALIO LITAISHA; namba moja 1. Kuhusu wateja kuunganishwa huduma, ni kweli huwezi kuungwa huduma yeyote pasipo wewe kuitaka; ushauri Wangu, tuangalie huenda ama kuna MTU ulimwazima simu yako akajiunga, au kuna huduma zingine huanza kama offa, hizi huduma pengine waweza fikili ni bure moja Kwa moja: tujifunze kusoma au kusikiliza maelezo hadi mwisho ili kuepuka kujiunga huduma tusizozitarajia. Hayo mengine watajibu TCRA
 
ata mimi ilinitokea hiyo nikazani ni kwangu tu kumbe tupo wengi...bahati ilikuwa mbaya kwangu kwani nilitumiwa fedha za ada....ikachelewa kuingia nilitamani kuwashitaki....
Hata mie nimepiga simu mwezi sasa nimeamua kukaa kimya nimechukulia kama nimepigwa na watoto wa mjini. Kila nikiwapigia wanasema nisubiri 72 hours then hairudi. Hata nikienda TCRA Nitapoteza muda tu wapuuzi sana
 
SINA UHAKIKA NA HIYO NAMBA 4. SEMA HUENDA WEWE HUJISAHAU KUZIMA DATA UNAPOWEKA VOCHA IKIWA CM YAKO HUWA HAINA MB LAZIMA SALIO LITAISHA; namba moja 1. Kuhusu wateja kuunganishwa huduma, ni kweli huwezi kuungwa huduma yeyote pasipo wewe kuitaka; ushauri Wangu, tuangalie huenda ama kuna MTU ulimwazima simu yako akajiunga, au kuna huduma zingine huanza kama offa, hizi huduma pengine waweza fikili ni bure moja Kwa moja: tujifunze kusoma au kusikiliza maelezo hadi mwisho ili kuepuka kujiunga huduma tusizozitarajia. Hayo mengine watajibu TCRA

Stop ur nosense...!!

Am not of ur level even to quote me, nenda kwanza jifunze kuandika..!!

Ur one, tigo thieves..!! Usidhanie tunatania hapa..!!

TIGO wezi wakubwa..!! Data is OFF or any services hakuna, weka 1000 vocha kaa siku, au masaa 20+.. uone how TIGO will steal ur money..!

Wezi wakubwa nyie.. plus you..!!
 
Back
Top Bottom