Kapepo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,063
- 1,188
- Thread starter
- #21
asee hii noma sana bossHahah hao wajinga kila walivyoona kila wiki naunga bando kubwa, nao wakaanza kamchezo ka Kunipandishia Gharama za Bando, wakati huo wanapunguza GB na Dakika.
Nilawapandia hewan, jaman kulikon??
Wananiambia Ooohooo wee tumeona matumizi yako makubwa, ohoooo nini ,
Nkawauliza mtaa ,wilaya niliyopo. Mbona Rafiki zangu Mabando na gharama viko vilevile
Wakajibu..ohooo kama tulivyokuambia wee unamatumizi
Nilimtukana yule mtoa huduma..
Nikatoa hela yangu Tgopesa yote... Nikakopa Kifurushi.
Sijawah tena kuweka salio Tgo!