riro23
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 788
- 771
Telma TanzaniaBuzz then tiGO halafu....
Telma TanzaniaBuzz then tiGO halafu....
Umeambiwa wanaondoka Africa na kuwekeza South America wewe umekazania Tanzania! Pumbavu!!!Liko wazi, nchi ambayo wanalazimishwa wanunue data TTCL ambayo huduma zake ni hovyo na si za kishindani
Unadhani kwanini wanakimbia Africa sweet?Umeambiwa wanaondoka Africa na kuwekeza South America wewe umekazania Tanzania! Pumbavu!!!
Merging and Acquistion ni kawaida kwenye biashara. Na hii haimaanishi kuwa ni EXIT.Habari wanabodi.
Luxembourg-based Millicom International Cellular, which trades as Tigo, has signed agreements for the sale of its operations in Tanzania and its stake in the AirtelTigo joint venture in Ghana, marking its complete exit from the African continent.
The telco said on Monday that the successful conclusion of the two transactions will complete its multi-year plan to divest its African operations and focus on its Latin American markets.
In Tanzania, Millicom has agreed to sell its entire operations to a consortium led by Axian, a Pan-African group that was part of the consortium that acquired Millicom’s operations in Senegal in 2018.
In Ghana, Millicom along with its joint venture partner Bharti Airtel Limited have signed a definitive agreement for the transfer of AirtelTigo to the Government of Ghana.
Millicom will take a $25 million charge as a result of this agreement.
“Today Tigo is a leading provider of broadband services to consumers, businesses and governments in Latin America, where penetration and data speeds remain low by the standards of more mature markets,” said Mauricio Ramos, the chief executive of Millicom.
Naunga mkonoUjamaa kwangu ni sawa sawa na umasikini sitaki kusikia kabisa upuuzi wa ujamaa.
Dawa ya den nikulipa😎😎Tuliokopa tigo niwezeshe sijui watatusamehe!!au kudaiwa kupo pale pale
... Afrika biashara hazitabiriki; uwekezaji ni kizungumkuti. Tanzania hii huwezi ku-project kesho itakuwaje; atakaloamka nalo kiongozi kesho linaweza kuwa sheria on the spot! Mfano rahisi ni suala la vifurushi; serikali imeingilia badala ya kuboresha wameboronga halafu wanataka virudi kama ilivyokuwa mwanzoni!
Sheria za kodi nazo ni balaa jingine; wakuu wa makampuni hawana uhakika kesho wataamkia jela au watakuwa maofisini maana kuna sheria ya uhujumu uchumi ambayo ina tafsiri zaidi ya elfu in favour of the watawala! Hakuna mwekezaji makini anayeweza kuwekeza katika mazingira ya "kichawi" kama haya!
Kata wewe kata weweEnzi hizo kama nakumbuka vizuri muda ilikua kuanzia saa 3 usiku ni mwendo wa free calls tu mpaka kuchee!
Buzz ni bomba!
Millicom haiajiri, bali hutumia third party kufanikisha shughuli zaoKwahiyo wafanyakazi wa millicom waanze kupanga foleni nssf..!?
Sina mpango wa kuwalipa mkuu....ni parefu mnoDawa ya den nikulipa😎😎
Ukianza process ni tag mkuu...Mimi nahama hapa Tanzania, natafuta uraia wa Canada
UsiwazeUkianza process ni tag mkuu...
Voda mali ya mtu binafisi"Socialist economy" ndiyo Lugha sahihi na siyo "socialism economy" wewe kibaraka wa mabeberu usiyejua hata Lugha ya unaowatumikia.