Kuna nchi za kidictator na kisocialist kama Latin America? Tanzania haioni ndaniUjamaa na kujitegemea.
Kuna nchi za kidictator na kisocialist kama Latin America? Tanzania haioni ndaniUjamaa na kujitegemea.
Mimi nataka nikope mpunga mrefu Ili wakiuza niwe mdaiwa mpya kwenye kampuni hio ingine. Pengine wanaweza nisamehe Kama mdaiwa suguTuliokopa tigo niwezeshe sijui watatusamehe!!au kudaiwa kupo pale pale
Wachaa wee!(UNFORECASTED TYPE OF COUNTRY ECONOMY IS A DISASTER) Nashukuru RAIS samia alishaliongelea hili toka mwanzo taifa ni lazima liwe na ajenda na misimamo juu ya uwekezaji na sio kiongozi akibadilika ajaye anakuja na yake nchi sio kampuni binafsi nchi inaongozwa na SERA MADHUBUTI.
Tigo possibly walichoshwa na mfumo uliokuwepo yaelekea walikuwa centers of the process then reversing ikashindikana moyoni nawaona wanaondoka kwa shingo upande huku wakisikitika kuachia kampuni nyingine.
Walianza Celtel-Zain-Airtel sDuuh......yale yale ya airtel, Zain......back to airtel