BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,032
- 3,944
Bila kujua, bwana mdogo alisajili line yake ya Tigo kupata huduma ya Utabiri kutoka 15501. Alichokuwa hafahamu ni kuwa meseji hizo zinapoingia kwenye simu yako zinakula pesa kiasi cha shilingi 150. Simu yake ikiwa haina Credit message hizo haziingii lakini mara awekapo tu vocha message hizo hufululiza kuingia na kutahamaki simu inabaki haina hata senti tano huku akiwa hajapiga hata simu moja.
Amejaribu kupiga 100 ili kujiondoa kwenye huduma hiyo hajafanikiwa. Je anaweza kufanya nini kingine ili kujitoa kwenye huduma hiyo??? Msaada Tafadhali.
Amejaribu kupiga 100 ili kujiondoa kwenye huduma hiyo hajafanikiwa. Je anaweza kufanya nini kingine ili kujitoa kwenye huduma hiyo??? Msaada Tafadhali.