TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,330
- 8,420
Habari wakuu
Huu utapeli Sasa nichukue hatua gani baada ya kufanya muamala wa milion 1 siku ya pili Sasa muamala hajafika kwenye account husika na nikiwapigia Tigo wanadai muamala wangu bado wanaufanyia kazi Kuna tatizo la kiufundi.
Mwanzoni walinitaka nisubiri ndani ya masaa 24/yamepitsa inakwenda siku ya 3 Sasa
Msaada wenu wakuu.
Huu utapeli Sasa nichukue hatua gani baada ya kufanya muamala wa milion 1 siku ya pili Sasa muamala hajafika kwenye account husika na nikiwapigia Tigo wanadai muamala wangu bado wanaufanyia kazi Kuna tatizo la kiufundi.
Mwanzoni walinitaka nisubiri ndani ya masaa 24/yamepitsa inakwenda siku ya 3 Sasa
Msaada wenu wakuu.