Dumelang
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 3,194
- 5,598
Wadau naombeni msaada wa mambo mawili kuhusiana na hizi tigo modem Huawei E173 zenye offer ya 4GB unaponunua, tatizo ni hili ina detect EDGE network tu, ukienda kwenye OPTIONS ubadili network uka recommend WCDMA inapoteza network, sasa hapa imekaaje na EDGE ipo slow sana au ndo tigo wameiset ivo? nawezaje i change?
Pili inaweza kuwa unlocked hii modem
ahsante wadau
Pili inaweza kuwa unlocked hii modem
ahsante wadau