donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,031
- 21,499
hawa tigo walitangaza kwamba uki top up salio lako kwanzia buku litakua doubled. cha ajab kila nkiweka wanauchuna af kesho yake wanajifanya kuommba radhi na wananipa dk.13 za kuongea. nikafanya calculcation nikagundua hata hzo dakika wanazokupa sio actual. je hili tatizo ni kwang peke yang au kuna wakuu wengine limewakuta?