Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,722
- 515
Wanajamii naomba kuwasilisha changamoto inayonikabili kama mteja wa internet wa kampuni ya Tigo (Blackberry internet service). Ni zaidi wiki moja sasa huduma yao imekuwa si ya kuridhisha kabisa kwa maana ya kutopatikana kwa uhakika au na mara nyingine kutokuwepo kabisa.
Nilidhani ni issue ya muda tu na kwamba itakuwa solved soon....kwa kweli ni zaidi ya wiki sasa and no word from Tigo zaidi ya kuangaika kwa masaa kwatafuta customer service ambao ukifanikiwa kuwapata huishia kukiri kuwa wana tatizo ktk mtandao na mafundi wanajitahidi kuerekebisha kasoro hiyo. Shida yangu ni kwa nini Tigo wasitume hata sms kusema kuwa kuna shida fulani? Hivi ni kweli zaidi ya wiki hupata huduma bora wakati umelipia huduma na hakuna maelezo yeyote kutoka kwa wahusika? Kwa jinsi nilivyokwa kimawasilianao nadhani itanibidi kuhamia mtandao mwingine hata ikiwa ni kwa muda mpaka hapo mtando wa Tigo utakapo kuwa sawa.
Naomba ushauri ni mtandao upi unalipa zaidi kwa Blackberry internet service (kwa maana ya reliability) kati ya voda na airtel?
Nilidhani ni issue ya muda tu na kwamba itakuwa solved soon....kwa kweli ni zaidi ya wiki sasa and no word from Tigo zaidi ya kuangaika kwa masaa kwatafuta customer service ambao ukifanikiwa kuwapata huishia kukiri kuwa wana tatizo ktk mtandao na mafundi wanajitahidi kuerekebisha kasoro hiyo. Shida yangu ni kwa nini Tigo wasitume hata sms kusema kuwa kuna shida fulani? Hivi ni kweli zaidi ya wiki hupata huduma bora wakati umelipia huduma na hakuna maelezo yeyote kutoka kwa wahusika? Kwa jinsi nilivyokwa kimawasilianao nadhani itanibidi kuhamia mtandao mwingine hata ikiwa ni kwa muda mpaka hapo mtando wa Tigo utakapo kuwa sawa.
Naomba ushauri ni mtandao upi unalipa zaidi kwa Blackberry internet service (kwa maana ya reliability) kati ya voda na airtel?