Tigo inamilikiwa na nani?

Eti wanasemaga TIGO ni mtandao wa wanafunzi sjui kweli huenda kweli wanafunzi ndio wamiliki maaana wao faragha zao hua ni mapenzi na kula mihogo tu Ova
 
Kampuni ya Mawasiliano ambayo mtu mmoja anaweza kuwa Mwanasheria, akawa afisa tehama, akawa na uwezo wakusoma taarifa za wateja, akaziprint, akazipeleka anapoona panafaa kwa kugonga mhuri wa kampuni, akazisafirisha, akaenda kuzitetea mahakamani ...hii Ni taasisi inayomiliki data za wananchi na wasio wananchi?

Hii kampuni imeruhusu data za watu wanagapi zitumike kinyume Cha sheria? Watu wangapi taarifa za wapenzi wao zimevujishwa na matokeo yake wameumizwa au kuuwawa? Wafanyabiashara wangapi taarifa zao zimeuzwa kwa washindani wao? Viongozi wangapi wamedukuliwa? Raia wa kigeni wangapi taarifa zao za Mawasiliano zimevujishwa?

Kampuni hii wamiliki wake Ni wakina Nani na inajiamini Nini? Kesi ya Nondo Iringa mtu huyuhuyu alikwenda Iringa akatoa ushahidi wa uongo kwa mwamvuli wa Tigo, leo kwa kiburi kabisa anaeleza umma kwamba usiri wa taarifa siyo kipaombele cha kampuni, hiki kiburi anatoa wapi? Hata Kama ni afisa wa Serikali kwanini aruhusiwe atumike adharani kiasi hiki? Huu ni ujima? Serikali imekosa watu hadi inatumia hopeless people kama huyu?

Tigo lazima washtakiwe kuvujisha siri za wateja na kukosa mfumo sahihi wa utoaji taarifa. Wasipofilisiwa ipo siku data za mkuu wa nchi au wasaidizi wake zitapelekwa kwa maasiamu wa nchi jirani au ipo siku mataifa asimu watapandikiza watu wakuhamisha taarifa za wateja
TIGO NI BALAA , MKOSI MKUBWA.....HAINA HESHIMA KWA WATEJA....KUTOA TAARIFA BILA KUFATA SHERIA
 
Kampuni ya Mawasiliano ambayo mtu mmoja anaweza kuwa Mwanasheria, akawa afisa tehama, akawa na uwezo wakusoma taarifa za wateja, akaziprint, akazipeleka anapoona panafaa kwa kugonga mhuri wa kampuni, akazisafirisha, akaenda kuzitetea mahakamani ...hii Ni taasisi inayomiliki data za wananchi na wasio wananchi?

Hii kampuni imeruhusu data za watu wanagapi zitumike kinyume Cha sheria? Watu wangapi taarifa za wapenzi wao zimevujishwa na matokeo yake wameumizwa au kuuwawa? Wafanyabiashara wangapi taarifa zao zimeuzwa kwa washindani wao? Viongozi wangapi wamedukuliwa? Raia wa kigeni wangapi taarifa zao za Mawasiliano zimevujishwa?

Kampuni hii wamiliki wake Ni wakina Nani na inajiamini Nini? Kesi ya Nondo Iringa mtu huyuhuyu alikwenda Iringa akatoa ushahidi wa uongo kwa mwamvuli wa Tigo, leo kwa kiburi kabisa anaeleza umma kwamba usiri wa taarifa siyo kipaombele cha kampuni, hiki kiburi anatoa wapi? Hata Kama ni afisa wa Serikali kwanini aruhusiwe atumike adharani kiasi hiki? Huu ni ujima? Serikali imekosa watu hadi inatumia hopeless people kama huyu?

Tigo lazima washtakiwe kuvujisha siri za wateja na kukosa mfumo sahihi wa utoaji taarifa. Wasipofilisiwa ipo siku data za mkuu wa nchi au wasaidizi wake zitapelekwa kwa maasiamu wa nchi jirani au ipo siku mataifa asimu watapandikiza watu wakuhamisha taarifa za wateja
Kwani mlishawashitaki voda walipovujisha sauti za akuna nape na mkakata laini zao na mkasema mnajitoa kuzitumia, je mlifanikiwa?
 
Hii sio tigo tu hata mitandao ya kijamii kama fb na nyinginezo ikionekana mtu ana mienendo ya kutilia shaka wao wanaripot kwenye mamlaka husika
Yaan mnawasiliana ili kufanya ugaidi ijulikane wenye mitandao wakae kimya kisa privacy hahaaaaa not to that extent
Haa mbona umenikumbusha mbali hivi!? You ara noti furii to zati extent -JPM to journalist 2018
 
Msituzingue hhumu. Ya Voda mlichana. Ya Tigo mliachana. Ya TTCL hamtumii na ya Halotel hamuitaki. Ila kila siku mko mitandaoni! Ajili za kuambiwa......!
Natumia Airtel na Halotel

Una swali jingine?

Screenshot_20211103-124815_SIM%20card%20manager.jpg
FB_IMG_1635926463166.jpg
 
Hii sio tigo tu hata mitandao ya kijamii kama fb na nyinginezo ikionekana mtu ana mienendo ya kutilia shaka wao wanaripot kwenye mamlaka husika
Yaan mnawasiliana ili kufanya ugaidi ijulikane wenye mitandao wakae kimya kisa privacy hahaaaaa not to that extent
Kwenye issue ya tigo, muomba taarifa hakutaja kosa linalotishia kuhitajika taarifa za mteja na mtoa taarifa hakuuliza sababu za kuombwa taarifa yeye alitoa tu. Shida inaanzia hapo.
 

Revealed: Manji owns 99pc of Tigo Tanzania​

Wednesday February 22 2017​



Lawyers representing a British registered company associated with Mr Yusuf Manji have claimed that the billionaire businessman owns 99 per cent of telecoms company, Tigo.





Revealed: Manji owns 99pc of Tigo Tanzania

IN SUMMARY​

  • Brick House Law Associates have sought the stoppage to the planned sale of Tigo shares at the Dar es Salaam Stock Market, terming the move illegal as their client was not consulted.
  • According to the law firm, Golden Globe International Services is the absolute majority shareholder of MIC Tanzania Limited with 34,479 shares of 34,480 shares. The remaining one share is shown as belonging to Shai Holdings.
 
kwamba ulitaka tigo waambiwe mawasiliano ya mbowe yanahitajika maana ana tuhuma za ugaidi ndipo watoe.

hiyo sio kazi yao,ndio maana kibataka akajiwa simple tu,sio jukumu letu kuhakikisha usalama wa mteja,polisi au TCRA wakichukua wakazibwaga sehemu isiyo sahihi huko watawajibika wao.
Sio kweli, Chini ya FCC Kila kampuni inatakiwa kulinda haki ya mteja. Kusema kwamba makampuni ya simu hayawajibiki kulinda mteja ni kutoa mwanya kwa wafanyakazi kuingilia mawasiliano ya mteja bila kuguswa.
 
Kwani mlishawashitaki voda walipovujisha sauti za akuna nape na mkakata laini zao na mkasema mnajitoa kuzitumia, je mlifanikiwa?
Walifanikiwa sana. VODA walipata hasara kiasi Cha kukimbia kufadhili ligi kuu. Pia mkurugenzi wao mkuu alikamatwa na kushitakiwa kwa kuendesha genge la uhalifu na alikiri. Ilipelekea VODA kulipa sio Chini ya bilioni mbili.
 
A
Walifanikiwa sana. VODA walipata hasara kiasi Cha kukimbia kufadhili ligi kuu. Pia mkurugenzi wao mkuu alikamatwa na kushitakiwa kwa kuendesha genge la uhalifu na alikiri. Ilipelekea VODA kulipa sio Chini ya bilioni mbili.
Alikamatwa na chadema na wafuasi wake au na nani?
Je wale waluovunja line wanatumia nini kwa sasa?

Wakati wa tozo mitandao imesema imepata hasara unadhani ni kwa sababu ya kutoa taarifa?
Kila biashara ina changamoto kuna kupanda na kushuka, hasara na faida.

Hao wanao hama mitandao watahama mpaka lini kama hawataki kubadili tabia?

Ni upuuzi kujidanganya kwa kukimbia mitandao ili hali nduguzo wengi unawatumia huduma kwa ule mtandao uliokimbia.
 
Sio kweli, Chini ya FCC Kila kampuni inatakiwa kulinda haki ya mteja. Kusema kwamba makampuni ya simu hayawajibiki kulinda mteja ni kutoa mwanya kwa wafanyakazi kuingilia mawasiliano ya mteja bila kuguswa.

kumlinda mteja sio kumficha.

haki ya faragha ya mteja iko baina yake na mtu mwingine,sio kwa jamhuri na taasisi zake.
kama taarifa zitatumika kinyume,hilo ni swala jingine.

ila kwa sasa mwanasheria wa tigo yupo kwenye mstari.
 
Walifanikiwa sana. VODA walipata hasara kiasi Cha kukimbia kufadhili ligi kuu. Pia mkurugenzi wao mkuu alikamatwa na kushitakiwa kwa kuendesha genge la uhalifu na alikiri. Ilipelekea VODA kulipa sio Chini ya bilioni mbili.

huu ni ujinga umeandika.
 
Back
Top Bottom