Rocky City
JF-Expert Member
- Nov 22, 2017
- 874
- 662
Uhakika ni kwamba mwaka huu wale watu wa fiesta hakuna msanii wa kimataifa,,sababu ni uzalendo,,wadau hapa kuna ukweli na huu uzalendo umeeanza ili na kwa nn mwanzo aukuwepo kama hoja ni uzalendo kweli??hili limekaa vipi????