Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Hii ni wiki takriba ya 3 na jaribu kutuma SMS kwenda nje ya nchi South Africa/USA bila mafanikio,niki tuma SMS kwenda South ina kwenda na nakatwa pesa kwenye simu ila haifiki kwa muusika aliyetumiwa,kwa upande wa USA ina goma kabisa kwenda na inanionyesha alama ya X badala ya tick...Nimejaribu kupiga namba 100 ya Customer services bila mafanikio yoyote jibu ninalo lipata ni kwamba ni "Akikisha namba unayo piga na upige tena" Swali: hawa jamaa wamebadilisha namba ya huduma kwa wateja au ndio wametuchoka wateja wao? Najuta kujiunga na huu mtandao!
Wadau wa JF je kuna mtu yoyote amekumbana na tatizo kama la kwangu?
Wadau wa JF je kuna mtu yoyote amekumbana na tatizo kama la kwangu?